ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

๐—–๐—›๐—”๐—š๐—จ๐—” ๐—ž๐—”๐— ๐—ฃ๐—จ๐—ก๐—œ ๐—ฆ๐—”๐—›๐—œ๐—›๐—œ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—จ๐—ข๐—ก๐—š๐—˜๐—ญ๐—˜ ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—–๐—˜ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—œ๐—ก๐——๐—” ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—จ๐—•๐—”๐—ฆ๐—›๐—œ๐—ฅ๐—œ ๐—ช๐—”๐—ž๐—ข ๐Ÿซต๐Ÿพ Kwa sasa ๐—ฃ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—ฃ๐—˜๐—ฆ๐—” ndo Kampuni inayokufaa kwa sababu inakupa uhuru wa kuweka na kutoa pesa Kwama Bado ujajumuika kwenye magroup unaweza kunicheki WHAT'S APP nikuunge Bure. Jisajili tushinde pamoja ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ Reg Link: ApK Link: Promocode: ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—Ÿ๐—ญ Kujiunga...

45,260 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

3 ๆก่ฏ„่ฎบ

Mk 15 ็š„ๅคดๅƒ
Mk 151 ๅนดๅ‰

Amanwillz

Mk 15 ็š„ๅคดๅƒ
Mk 151 ๅนดๅ‰

Amanwillz

oracool omonla ็š„ๅคดๅƒ
oracool omonla1 ๅนดๅ‰

Contact me for a business proposal @AmanWillz @giva_tips

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘

Salaam Ndugu zangu. Nafarijika kuwataarifu sukari imeanza kuingia mtaani na LEO sukari iliyoletwa na kampunj ya KILOMBERO SUGAR ambaye ni mmoja ya ya wazalishaji nchini imeanza kusambazwa kama anavyoeleza Bwana Fimbo Butalla hapa,Sales manager wa Kilombero Sugar Company. Nafahamu changamoto iliyopo ya bei bado ipo na kuna maeneo wafanyabiashara hawafuati bei elekezi. Wapo tulio wakamata na baadhi tumeanza mchakato wa kuwafutia uwakala. Tutaipitia upya sheria na mfumo mzima wa uuzaji na uzalishaj wa sukari toka kiwandani mpaka kwa mlaji na hivi sasa tumewataka wazalishaji kuhakikisha wanafungua Depot mikoani wao wenyewe na kuondoa UHODHI wa Distributor wachache Tutaipitia sheria upya ya uzalishaji wa sukari ili kuweka mazingira BORA ya kuwalinda walaji na wazalishaji kwa pamoja na ushindani ulo wahaki kwa WOTE . Niwahakikishie hali hii haitajirudia TENA hivi sasa tunapitia mfumo wote wa uzalishaji wa kisheria na kibiashara ili kumlinda mlaji. Tunawajibika kulinda Mzalishaji na pia kumlinda MLAJI na nimeziomba mamlaka za mikoa kufuatilia hili na nimeagiza kila kampuni itangaze mawakala wake kwenye Magazeti ili Umma upate kuwafahamu. Naendelea kuwaomba Watanzania utulivu, Serikali imechukua hatua na Bodi ya sukari itaendelea kusimamia mchakato huu ili kudhibiti wanaojinufaisha na Upungufu huu. Tutaendelea kutoa taarifa zaidi. Sekta hii kisheria ina mfumo wa Uhodhi ambao tutaupitia upya bila kuathiri Ajira za watanzania Ninawashukuru TPA na TRA kwa ushirikiano na kutoa pruority kwa meli zote . Ninaheshimu mawazo ushauri na mijadala inayoendelea kwa wananchi kwenye swala hili nawashukuruni sana

Hussein M Bashe

39,942 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 2 ๅนดๅ‰

MAFUTA SI MALI YA SERIKALI; NI MALI YA WATANZANIA. HIVYO, WATANZANIA WANA HAKI YA KUJUA. Mafuta ni bidhaa ya kimkakati. Bei yake huathiri gharama za usafiri, uzalishaji, kilimo, biashara na hatimaye maisha ya kila Mtanzania. Kwa sababu hiyo, mchakato wa uagizaji wa mafuta unapaswa kuwa wa uwazi, ushindani wa haki na uwajibikaji. Kwa maslahi ya umma, mamlaka husika zinapaswa kutoa majibu ya wazi kwa maswali yafuatayo: Ni kampuni gani imepewa zabuni ya kuingiza mafuta nchini kwa sasa? Zabuni hiyo ilitangazwa lini, ilitangazwa kwa utaratibu upi, na ni kampuni ngapi ziliwasilisha zabuni zao? Ni vigezo gani vya kitaalamu, kifedha na kisheria vilitumika kumchagua mshindi wa zabuni hiyo? Kampuni ya Namaro ni ya nani? Imesajiliwa katika nchi gani? Ina uzoefu gani katika biashara ya mafuta, na ilikidhi vipi masharti ya zabuni? Je, kuna uhusiano wowote wa kibiashara, kimiliki au wa kimkataba kati ya Namaro, Oilcom na Vitol? Ikiwa upo, ni wa aina gani? Mkataba huu utaongeza ushindani na kupunguza gharama za mafuta kwa wananchi, au utaongeza mkusanyiko wa nguvu za soko kwa kampuni chache? Serikali imechukua hatua gani kuhakikisha kwamba mchakato huu unazingatia sheria za manunuzi, sheria za ushindani na unalinda maslahi ya Taifa? Haya si maswali ya uadui. Haya ni maswali ya uwajibikaji. Serikali inayosimamia rasilimali za umma kwa uwazi haina sababu ya kuogopa kuyajibu. Wananchi wanapouliza kuhusu namna biashara ya mafuta inavyoendeshwa, hawafanyi hivyo kwa sababu wanapinga maendeleo. Wanafanya hivyo kwa sababu mafuta yanagusa maisha yao kila siku, na wanataka kujiridhisha kwamba maamuzi yote yanafanywa kwa uwazi, kwa ushindani wa haki na kwa manufaa ya Taifa. Uwazi hujenga imani. Ukimya hujenga mashaka.

Peter Msigwa

18,702 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ไธชๆœˆๅ‰