
Jebra Kambole
@Advocate_Jebra • 354,024 subscribers
Law Guards Advocates, Criminal, Corporate and Civil Litigation lawyer. Togo Tower, kinondoni Business Only Call +255748334032
Shorts
Videos

Chande Chende Chindi Chondo ………….Chundu!!! 😂😂😂 Kimewaka hapa!!!!
Jebra Kambole26,740 просмотров • 26 дней назад
0:40
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
0:25
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Huyu ni nani? Maana naona amekamua kisawasawa!! Kawapa makavu
Jebra Kambole85,651 просмотров • 1 год назад

Hizi dharau zimezidi sana, mtu nafasi yenyewe ya kupewa kwenye kisosi alafu unadharau watafutaji? Ulitaka wakaibe?, unaenda mbali na kudai wataolewa! Serikali haitoi ajira za kutosha, watu wakipambana unaleta dharau? Hii kiburi ya mboga mboga ni ya kukomeshwa kabisa!
Jebra Kambole93,448 просмотров • 1 год назад

Wakuu endeleeni kuchochea moto, nyoka wameanza kutoka vichakani sasa!
Jebra Kambole71,265 просмотров • 1 год назад

Mdude amekamatwa na Police Force TZ Usiku huu nyumbani kwake, wamevunja mlango na kumpiga sana!, KWa kuwa tumeamua kuwakabidhi watu wa aina hii bunduki basi matokeo yake ndo haya. Mungu wetu wa mbinguni tunakuomba umponye Mdude Nyagali , kila siku story ni za aina hii, haiwasaidii!!
Jebra Kambole70,209 просмотров • 1 год назад

Bibi amenyooka sana, anawazidi ndezi kibao uelewa wa mambo na ujasiri! Ukweli lazima usemwe!!!
Jebra Kambole37,074 просмотров • 6 месяцев назад

Hivi huyu anadhani dunia ya Sasa ni ya kuleta Siasa za kishamba za ukichagua upinzani wanaleta vita? Kwanza anaowaambia wanamshangaa! Watanzania sio wajinga! Siasa za ulaghai zishapitwa na wakati!!! Unashindwa kujenga hoja unaamua kuwapumbaza watanzania!! #NoReformNoElection
Jebra Kambole67,312 просмотров • 1 год назад

TAL huwa anambinu za kukabiliana na changamoto maeneo ambayo wengi hawana majibu! TAL ni Mwalimu pia na anaifahamu vema nchi hii!!! Hapa ofisi imezingirwa na police hakuna kutoka mtu wala kuingia mtu, yeye anaamua watu wote wabaki ndani waanze kula nondo sasa!
Jebra Kambole72,232 просмотров • 1 год назад

Neno Moja kWa Mbangaizaji John Heche atasoma comments zenu!!! 👇🏽
Jebra Kambole61,406 просмотров • 1 год назад

Kama hujasikiliza utumbo leo! Başı sikiliza hoja za huyu Francis Luziga ambaye ni Ofisi Mchunguzi Mkuu Daraja La Kwanza Kutoka Tume za Haki Za Binadamu na Utawala Bora!! Huyu ndo unategemea akafanye uchunguzi na bado anakula kodi zetu Kama mishahara!! Safari ni ndefu bado!
Jebra Kambole59,865 просмотров • 1 год назад