
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢
@Chahali • 222,578 subscribers
Editor, Ujasusi | Intelligence & Security Analysis • Former Tanzania Intelligence Officer • OSINT, African Intelligence & Security, Geopolitics
Shorts
Videos

Ile kozi ya bure ya akili mnemba itaanza siku chache zijazo. Ni muhimu sana kupata ujuzi wa akili mnemba japo kiduchu kwa sababu Mwaka huu 2026 utatawaliwa na vita vya habari ambapo kwa wasio na uelewa wa kutosha itakuwa vigumu kutofautisha kati ya fact vs matango pori. Enewei #Jasusi ameona wadau wengi wakihisi kuwa hiyo clip ya hotuba ya #Chinjachinja ni AI. Kwahiyo ili kujiridhisha, akaipandisha clip hilo #ChatGPT, na majibu ndo hayo baada ya hotuba ya chinjachinja. Na ChatGPT ipo vizuri sana kubaini kama picha au video ni halisi au fekero/famba. Cha muhimu zaidi ni asilimia ya uhalisi/ufeki. Again, majibu ya ChatGPT, sio ya Jasusi...in case hujayapenda.
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢31,534 views • 5 months ago

#Jasusi pia amesikia hili la SAMIA kuweweseka. Lakini hata bila kufahamu hilo, ile speech ya juzi imetoa clues kibao. Ofkoz, "watetezi" walisema alikuwa bwax lakini TBH there were signs of more serious problems. Is she medically fit kuongoza JMT? [That's a rhetorical question]
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢24,024 views • 6 months ago

It's true Abduli na Kitengo chake cha ovyo wanapanga kuwatumia YuViSiSiEmu kuharibu maandamano ya #D9
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢23,780 views • 6 months ago

So #Jasusi anaomba kukupatia darasa fupi lakini muhimu sana, nalo ni kwamba kwenye ujasusi ni muhimu mno kusikia kilichosemwa lakini hakikusikika (sio kwa sababu sauti ilikuwa chini bali kimetamkwa kivingine). Kwa wakati wako, unaweza kubaini moja au mawili au hata matatu ambayo Butiku kayasema lakini hayakusikika? [Hiyo video ni ya akili mnemba japo sauti ni halisi]
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢16,963 views • 4 months ago

Tuwe wakweli. Watanganyika mmemwangusha TUNDU LISSU. Watanganyika mmemwangusha POLEPOLE Watanganyika mmemwangusha Captain TESHA. Na SAMIA anaendelea kuwa madarakani kwa sababu Watanganyika mmeridhika na hilo licha ya yeye kuwatoa uhai Watanganyika zaidi ya ELFU KUMI 😢
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢14,188 views • 3 months ago

Msiingie kwenye mtego wa kusema "Waislamu wanamtetea SAMIA". Yes kuna mashehe ubwabwa wamelipwa kumsafisha lakini pia kuna viongozi wa dini wa Kikristo kama kina Mwamposa, Dkt Kimaro, Dkt Shayo, wavyotumika. ASANTENI MAUSTAADH MNAOSIMAMIA HAKI + UTU. MWENYEZI MUNGU AWAZIDISHIE
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢18,413 views • 6 months ago