(---) Onesmo Mushi's banner
(---) Onesmo Mushi's profile picture

(---) Onesmo Mushi

@EduTalkTz43,077 subscribers

Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely — Lord Acton

Shorts

😂😂😂😂😂😂 Aaaah nimecheka kinoma!

😂😂😂😂😂😂 Aaaah nimecheka kinoma!

196,540 views

Mtukufu mama Samia Suluhu , kuna ujumbe wako hapa kutoka kwa mwanamke mwenzako. Cheers!

Mtukufu mama Samia Suluhu , kuna ujumbe wako hapa kutoka kwa mwanamke mwenzako. Cheers!

100,780 views

😂😂😂😂😂😂😂 Fala sana!

😂😂😂😂😂😂😂 Fala sana!

149,455 views

Wow, ukweli una tabia moja mbaya sana, haujui kuficha siri😎. Ni kama mimba!

Wow, ukweli una tabia moja mbaya sana, haujui kuficha siri😎. Ni kama mimba!

25,420 views

Jamaa anamaanisha nini hapa?🤔

Jamaa anamaanisha nini hapa?🤔

68,831 views

Kipindi hicho Job Ndugai alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Humphrey Polepole alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Abraham Kinana alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Magufuli mwenyewe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Bernard Membe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Thadei Ole Mushi alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Ole Sabaya alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yeye ameshika kwenye mpini. Mpina alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo salama. Wakina Nape, January Makamba, Tulia etc., walikuwa wanasikiliza na kucheka wakiamini wapo very safe. Leo wote hawa ama ni marehemu au ni wafungwa kwenye open prison, hakuna hata mmoja aliyepo safe kama alivyofikiri. Mwalimu Nyerere aliona mbali sana aliposema “UKWELI UNA TABIA YA KUJILIPIZA KISASI ENDAPO UTAPUUZWA.” Tusome tena ANIMAL FARM, kuna mengi kwenye kile kitabu.

Kipindi hicho Job Ndugai alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Humphrey Polepole alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Abraham Kinana alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Magufuli mwenyewe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Bernard Membe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Thadei Ole Mushi alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Ole Sabaya alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yeye ameshika kwenye mpini. Mpina alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo salama. Wakina Nape, January Makamba, Tulia etc., walikuwa wanasikiliza na kucheka wakiamini wapo very safe. Leo wote hawa ama ni marehemu au ni wafungwa kwenye open prison, hakuna hata mmoja aliyepo safe kama alivyofikiri. Mwalimu Nyerere aliona mbali sana aliposema “UKWELI UNA TABIA YA KUJILIPIZA KISASI ENDAPO UTAPUUZWA.” Tusome tena ANIMAL FARM, kuna mengi kwenye kile kitabu.

19,849 views

“Walioandamana walilipwa na watu kutoka nje, tupo kwenye vita ya uchumi.”🤐🤐

“Walioandamana walilipwa na watu kutoka nje, tupo kwenye vita ya uchumi.”🤐🤐

21,859 views

Haya maelfu unayoyaona kwa huyu tapeli wa madhabahu, Mwamposa, ni watanzania desperate. Umaskini na magonjwa vimewakatisha tamaa kabisa kiasi kwamba wamepoteza tumaini. Wanaamini shetani ndio chanzo cha matatizo yao na Mwamposa anafanya kazi ya kuwapa anesthesia waendelee kufikiri hivyo hivyo. June 2023 Rais Samia Suluhu alimtumia Mwamposa “sadaka ya shukrani” kupitia Mkuu wa Mkoa Chalamila. Hiki kinachoitwa “sadaka” ni jina tu la kutakatifusha pesa haramu inayotumiwa kuhonga viongozi wa dini kwa kazi nzuri ya kuupumbaza umma. Ni rushwa ya wazi pia inayotolewa na viongozi wa serikali ili kujitengenezea political legitimacy. It’s all about kleptocracy.

Haya maelfu unayoyaona kwa huyu tapeli wa madhabahu, Mwamposa, ni watanzania desperate. Umaskini na magonjwa vimewakatisha tamaa kabisa kiasi kwamba wamepoteza tumaini. Wanaamini shetani ndio chanzo cha matatizo yao na Mwamposa anafanya kazi ya kuwapa anesthesia waendelee kufikiri hivyo hivyo. June 2023 Rais Samia Suluhu alimtumia Mwamposa “sadaka ya shukrani” kupitia Mkuu wa Mkoa Chalamila. Hiki kinachoitwa “sadaka” ni jina tu la kutakatifusha pesa haramu inayotumiwa kuhonga viongozi wa dini kwa kazi nzuri ya kuupumbaza umma. Ni rushwa ya wazi pia inayotolewa na viongozi wa serikali ili kujitengenezea political legitimacy. It’s all about kleptocracy.

51,181 views

Sio muda mrefu hatutawahitaji tena wale wagumu wanaopandisha watalii pale mlima Kilimanjaro. You might be wrong to think this is futuristic!!

Sio muda mrefu hatutawahitaji tena wale wagumu wanaopandisha watalii pale mlima Kilimanjaro. You might be wrong to think this is futuristic!!

25,063 views

Mhe. Freeman Mbowe , nguruwe hata umpake wanja, lipstick, kucha zake uzipake rangi, na rasta umsukie, bado atabaki kuwa nguruwe tu. Kwenye hili la kukalia kiti miaka 20+, hauna tofauti yoyote na regimes za kidikteta. It’s such a shame that your very actions endorse dictatorship and power mongering.

Mhe. Freeman Mbowe , nguruwe hata umpake wanja, lipstick, kucha zake uzipake rangi, na rasta umsukie, bado atabaki kuwa nguruwe tu. Kwenye hili la kukalia kiti miaka 20+, hauna tofauti yoyote na regimes za kidikteta. It’s such a shame that your very actions endorse dictatorship and power mongering.

17,284 views

Videos