(---) Onesmo Mushi's banner
(---) Onesmo Mushi's profile picture

(---) Onesmo Mushi

@EduTalkTz43,577 subscribers

Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely — Lord Acton

Shorts

😂😂😂😂😂😂 Aaaah nimecheka kinoma!

😂😂😂😂😂😂 Aaaah nimecheka kinoma!

196,632 views

Mtukufu mama Samia Suluhu , kuna ujumbe wako hapa kutoka kwa mwanamke mwenzako. Cheers!

Mtukufu mama Samia Suluhu , kuna ujumbe wako hapa kutoka kwa mwanamke mwenzako. Cheers!

100,854 views

Wow, ukweli una tabia moja mbaya sana, haujui kuficha siri😎. Ni kama mimba!

Wow, ukweli una tabia moja mbaya sana, haujui kuficha siri😎. Ni kama mimba!

25,569 views

Haya maelfu unayoyaona kwa huyu tapeli wa madhabahu, Mwamposa, ni watanzania desperate. Umaskini na magonjwa vimewakatisha tamaa kabisa kiasi kwamba wamepoteza tumaini. Wanaamini shetani ndio chanzo cha matatizo yao na Mwamposa anafanya kazi ya kuwapa anesthesia waendelee kufikiri hivyo hivyo. June 2023 Rais Samia Suluhu alimtumia Mwamposa “sadaka ya shukrani” kupitia Mkuu wa Mkoa Chalamila. Hiki kinachoitwa “sadaka” ni jina tu la kutakatifusha pesa haramu inayotumiwa kuhonga viongozi wa dini kwa kazi nzuri ya kuupumbaza umma. Ni rushwa ya wazi pia inayotolewa na viongozi wa serikali ili kujitengenezea political legitimacy. It’s all about kleptocracy.

Haya maelfu unayoyaona kwa huyu tapeli wa madhabahu, Mwamposa, ni watanzania desperate. Umaskini na magonjwa vimewakatisha tamaa kabisa kiasi kwamba wamepoteza tumaini. Wanaamini shetani ndio chanzo cha matatizo yao na Mwamposa anafanya kazi ya kuwapa anesthesia waendelee kufikiri hivyo hivyo. June 2023 Rais Samia Suluhu alimtumia Mwamposa “sadaka ya shukrani” kupitia Mkuu wa Mkoa Chalamila. Hiki kinachoitwa “sadaka” ni jina tu la kutakatifusha pesa haramu inayotumiwa kuhonga viongozi wa dini kwa kazi nzuri ya kuupumbaza umma. Ni rushwa ya wazi pia inayotolewa na viongozi wa serikali ili kujitengenezea political legitimacy. It’s all about kleptocracy.

51,186 views

Kipindi hicho Job Ndugai alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Humphrey Polepole alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Abraham Kinana alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Magufuli mwenyewe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Bernard Membe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Thadei Ole Mushi alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Ole Sabaya alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yeye ameshika kwenye mpini. Mpina alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo salama. Wakina Nape, January Makamba, Tulia etc., walikuwa wanasikiliza na kucheka wakiamini wapo very safe. Leo wote hawa ama ni marehemu au ni wafungwa kwenye open prison, hakuna hata mmoja aliyepo safe kama alivyofikiri. Mwalimu Nyerere aliona mbali sana aliposema “UKWELI UNA TABIA YA KUJILIPIZA KISASI ENDAPO UTAPUUZWA.” Tusome tena ANIMAL FARM, kuna mengi kwenye kile kitabu.

Kipindi hicho Job Ndugai alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Humphrey Polepole alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Abraham Kinana alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Magufuli mwenyewe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Bernard Membe alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Thadei Ole Mushi alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo safe. Ole Sabaya alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yeye ameshika kwenye mpini. Mpina alikuwa anasikiliza na kucheka akiamini yupo salama. Wakina Nape, January Makamba, Tulia etc., walikuwa wanasikiliza na kucheka wakiamini wapo very safe. Leo wote hawa ama ni marehemu au ni wafungwa kwenye open prison, hakuna hata mmoja aliyepo safe kama alivyofikiri. Mwalimu Nyerere aliona mbali sana aliposema “UKWELI UNA TABIA YA KUJILIPIZA KISASI ENDAPO UTAPUUZWA.” Tusome tena ANIMAL FARM, kuna mengi kwenye kile kitabu.

19,849 views

“Walioandamana walilipwa na watu kutoka nje, tupo kwenye vita ya uchumi.”🤐🤐

“Walioandamana walilipwa na watu kutoka nje, tupo kwenye vita ya uchumi.”🤐🤐

21,915 views

Sio muda mrefu hatutawahitaji tena wale wagumu wanaopandisha watalii pale mlima Kilimanjaro. You might be wrong to think this is futuristic!!

Sio muda mrefu hatutawahitaji tena wale wagumu wanaopandisha watalii pale mlima Kilimanjaro. You might be wrong to think this is futuristic!!

25,063 views

Ni wivu, chuki, na husda tu vinawasumbua, hakuna kingine.😎

Ni wivu, chuki, na husda tu vinawasumbua, hakuna kingine.😎

34,126 views

Videos

EduTalkTz's profile picture

Mtaka ni mbegu nzuri iliyoanguka kwenye udongo mbaya. Kuna mambo hauwezi kufake, ni ama unayo au hauna. Ameuliza swali muhimu sana ambalo Mwal. Richard Mabala amekuwa akisisitiza kila mara anaposema “Mungu pekee ndio mwenye uwezo wa kusema iwe ikawa.” Huu “uchumi wa dola trillion moja” by 2050 unatengenezwa na human resource ipi? Mtoto anayezaliwa leo hii ana mazingira yoyote ya kumwandaa kushiriki kikamilifu kwenye uchumi, tofauti na mama yake aliyezaliwa miaka 15 - 20 iliyopita? Ni kipi haswa kilichobadilika kwenye elimu ya Tanzania ambacho unaweza kusema “hawa wa jana hakika hawakuandaliwa lakini hawa wa leo wana uhakika wa kuwa rasilimali watu?” JIBU LA MSINGI NI HAKUNA. Mazingira ni yale yale, miundombinu duni ni ile ile, tatizo la walimu ni lile lile, vifaa vya TEHAMA ni changamoto vile vile, na bajeti ni kiduchu vile vile. Tena kama haitoshi ndio kwanza tumeongeza idadi ya wanafunzi mara dufu halafu juu yake tukakopi sehemu ya sera ya elimu ya Finland na kuitumbukiza Tanzania. Mwanafunzi mzuri wa policy borrowing anaweza kutabiri with certainty kuwa tulichofanya ni mbili jumlisha mbili toa nne, haswa kwa kuzingatia uhalisia wetu wa kimiundombinu. Hoja nyingine nyeti ni hii ya KUSUBIRI KUSAIDIWA KILA KITU. Yani hata kutumia wataalam wetu kama wakina Kipanya na Mabala kututengenezea makala za kufundishia imekuwa changamoto, mpaka tusubiri “WAHISANI.” Pata picha hadithi za ucheshi wa kufundishia za Mabala, ambaye ni mtaalam wa literacy, zimekutana na katuni za Kipanya, vyote kwenye program moja. Ameuliza Mtaka, ni kipi haswa kwenye katuni ya Akili and Me kinachohitaji mtu kutoka nje?? Mwisho Mtaka akagusa panapouma. Katuni za HakiElimu kuhusu uhalisia wa mazingira ya kufundishia zilikuwa na shida gani?? Hatutaki kuambiwa ukweli kuhusu hali ya madawati mashuleni, vyoo, changamoto kubwa ya walimu na uwezo wao, pepo la lugha ya kufundishia n.k. Kila mara jamaa wakidepict uhalisia, mnasema “oohhhh wanashusha moral ya walimu; ooohhh wanamdharaulisha mwalimu; ooohhh wanaondoa utu wa wanafunzi; ooohhhh blah blah blah.” Tunapenda political correctness kiasi kwamba tupo tayari kuficha ukweli na kuacha watoto waendelee kusomea kwenye mazingira ya tabu na mateso kuliko kukabiliana na ukweli.

(---) Onesmo Mushi

26,991 views • 20 days ago