John Heche's banner
John Heche's profile picture

John Heche

@HecheJohn805,431 subscribers

Vice Chairman Chadema Tanganyika, former Member of Parliament for Tarime rural constituency, a reformer.

Shorts

Kwa ukatili kama huu na mauaji ambayo mmefanya kwa Watanzania leo mnasema mtaongoza? Mnataka kumuongoza Nani? Mnazungumza eti maendeleo ya nini? Kwaajili ya nani kama mmeua watanzania na kuwatesa hivi? Maji, umeme, Barabara au kitu chochote bila binadamu kuwepo vina maana gani? Hili jeshi la polisi wanafundishwa nini huko kwenye vyuo vyao? Kuwa katili? Said Mwema kwenye kitabu chake aliandika kuhusu huu ukatili, Tume ya haki jinai ya Samia imeandika kwamba hili jeshi linapaswa kufumuliwa kwasababu lina element za kikoloni, baada ya haya nani tena anaweza kuwa na imani na jeshi hili? Nani anaweza kubisha. Lazima tutabadili namna ya utendaji wa jeshi la polisi. Madaraka ya damu hayatasimama kwenye Nchi yetu.

Kwa ukatili kama huu na mauaji ambayo mmefanya kwa Watanzania leo mnasema mtaongoza? Mnataka kumuongoza Nani? Mnazungumza eti maendeleo ya nini? Kwaajili ya nani kama mmeua watanzania na kuwatesa hivi? Maji, umeme, Barabara au kitu chochote bila binadamu kuwepo vina maana gani? Hili jeshi la polisi wanafundishwa nini huko kwenye vyuo vyao? Kuwa katili? Said Mwema kwenye kitabu chake aliandika kuhusu huu ukatili, Tume ya haki jinai ya Samia imeandika kwamba hili jeshi linapaswa kufumuliwa kwasababu lina element za kikoloni, baada ya haya nani tena anaweza kuwa na imani na jeshi hili? Nani anaweza kubisha. Lazima tutabadili namna ya utendaji wa jeshi la polisi. Madaraka ya damu hayatasimama kwenye Nchi yetu.

73,656 views

Usiku huu Mimi na wasaidizi wangu, tumeachiwa na polisi baada ya kututeka na kutushikilia kinyume cha utaratibu kwa mda mrefu. Hakuna kiwango cha udhalilishaji, vitisho wala mauji kinachoweza kuzuia kiu yetu ya kutafuta mabadiliko. Tutaipigania demokrasia kwa gharama yoyote. Nitaeleza kilichotokea leo, katika hatua za baadae. Asanteni Watanzania.

Usiku huu Mimi na wasaidizi wangu, tumeachiwa na polisi baada ya kututeka na kutushikilia kinyume cha utaratibu kwa mda mrefu. Hakuna kiwango cha udhalilishaji, vitisho wala mauji kinachoweza kuzuia kiu yetu ya kutafuta mabadiliko. Tutaipigania demokrasia kwa gharama yoyote. Nitaeleza kilichotokea leo, katika hatua za baadae. Asanteni Watanzania.

101,284 views

Hii sio Chadema yetu, hii sio Chadema tunayoitaka, hii sio Chadema ambayo watu wamekufa kuipigania… Hawa watoa rushwa hawataweza kuwazidi watu wema nguvu.

Hii sio Chadema yetu, hii sio Chadema tunayoitaka, hii sio Chadema ambayo watu wamekufa kuipigania… Hawa watoa rushwa hawataweza kuwazidi watu wema nguvu.

100,784 views

Thank you champ.

Thank you champ.

61,543 views

Tuko mkuyuni Mwanza saa nzima hakuna gari inasogea mbele wala kurudi nyuma, kujenga kadaraja hapa imechukua miaka miwili. Hali ni hii kila siku asubuhi na jioni.. watu wanateseka kama vile tumepata uhuru jana. Nchi haina uongozi kabisa ni uozo tu…

Tuko mkuyuni Mwanza saa nzima hakuna gari inasogea mbele wala kurudi nyuma, kujenga kadaraja hapa imechukua miaka miwili. Hali ni hii kila siku asubuhi na jioni.. watu wanateseka kama vile tumepata uhuru jana. Nchi haina uongozi kabisa ni uozo tu…

24,332 views

Usiku mchana hakuna kulala mpaka kieleweke.. Tukutane Tunduru kesho. #NoReformsNoElection

Usiku mchana hakuna kulala mpaka kieleweke.. Tukutane Tunduru kesho. #NoReformsNoElection

27,236 views

Rais Samia Suluhu uliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta reforms kwanini serikali yako imekua katili kuliko serikali zote Nchi hii? Maisha ya binadamu yanaonekana sio kitu!!! Watu wanatekwa kila siku na Nyie mko kimya.

Rais Samia Suluhu uliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta reforms kwanini serikali yako imekua katili kuliko serikali zote Nchi hii? Maisha ya binadamu yanaonekana sio kitu!!! Watu wanatekwa kila siku na Nyie mko kimya.

17,037 views

Videos

HecheJohn's profile picture

Ukitaka kujua aina ya watu wanaojiita watawala na level ya fikra zao na uwezo wao, Msikilize huyu bwana Ulega!!!! Yaani una Nchi yenye kilometa za mraba 945,000. Nchi pekee yenye Tanzanite duniani, Nchi pekee yenye mbuga kubwa kuliko zote Duniani, Serengeti, Ngorongoro nk. Nchi ya tatu kwa wingi wa dhahabu duniani, Nchi yenye mlima Kilimanjaro, makaa ya mawe, almasi, Victoria gesi na kila kitu. Miaka 65 ya Uhuru una mtandao wa barabara zenye urefu wa kilometa 182,000 lakini kwa miaka 65 hiyo mmejenga barabara 16,000 tu! Yaani ni sawa na 9%. Tena barabara zenyewe hizi zimejaa mashimo kama ubao wa kuchezea bao!!! Hakuna barabara hata moja ambayo ni nzima … Anzia Tunduma Dar, Mwanza Dar , Kigoma Dar, Babati to Singida, Tabora Manyoni Yaani ni takataka… Barabara zenyewe finyu zisizowezesha hata kupishana wala kwenda km 120 kwa saa.. Barabara haina ubora inajengwa leo kabla hata mkandarasi kuondoka site imeishajaa mashimo.. Kama Imewachukua miaka 65 kujenga barabara za lami mbovu asimilia 9 ya Barabara zilizopo… maana yake wanahitaji miaka 130 kufikisha asimilia 18 ya Barabara zilizopo… achilia Mbali maeneo ambayo hayajaingizwa kwenye kanzi data ya Barabara zilizopo na zitakazofunguliwa …. Alafu bila aibu anajitokeza kusema uongo kwamba tuna mtandao mrefu wa barabara za lami kuliko Kenya!!! Hivi hawa watu hawaoni aibu? Kenya ina mtandao wa barabara za lami kilometa 25,411 sisi 16,700 kama alivyodai… Lakini factor ya pili ukubwa wa Nchi ya Kenya ni km za mraba 582,650 sisi 945,000. Kenya hawana dhahabu kama sisi, hawana tanzanite, hawana makaa ya mawe na chuma, hawana Serengeti is ala Ngorongoro kama sisi.. Yaani kwa hiki anachokisema Ulega, tukibaki chini ya huu Utawala dhalimu wa ccm tunahitaji miaka 600 ili kumaliza mtandao wote. Hapo kuna barabara kibao za mitaa na maeneo ambayo hayajapimwa mpaka sasa ambazo hazijajumlishwa hapo! Shame on you.

John Heche

37,633 views • 1 month ago

HecheJohn's profile picture

No funding for dictators.

John Heche

56,036 views • 6 months ago

HecheJohn's profile picture

Ukitaka kujua hakuna Nchi Sikiliza mambo kama haya. Watu walikua wnashangaa kwanini Bashite anaendesha gari mabilioni na misafara ya kutisha. Watu walikua wanashangaa kwanini anaapa hata kudhuru au kuumiza watu aliosema “wanacheza na Urais wa mama” Ukisikia wanasema tutamlinda kwa gharama yoyote unaelewa nini? Wataua. Watadhuru kumlinda ili na yeye awalinde katika uchafu huu.. you scratch my back i scratch yours. Watu wanasema na kusikia utajiri mkubwa wa ghafla wa bwana Gerson, akiongea kwa kufoka kana kwamba Nchi ni yake.. kiburi kinatoka huku. Yaani uwanja ulikadiriwa ujengwe kwa Tsh bilioni 187 alafu mkataba ukasainiwa wa Tsh bilioni 338!!!! Alafu mzabuni alipatikana bila kushindanishwa au tenda kutangazwa!!!! Sijui Kama wengi tunaelewa maana ya hili jambo. Tenda ikitangazwa makampuni ya ujenzi yakashindana bei ingekua chini zaidi, licha ya kwamba sheria ya manunuzi inakataza kutoa tenda bila ushindani, mtu mmoja au kikundi cha watu wachache wakaamua kuipa kampuni moja hiyo kazi bila ushindani!!! Hakuna anaejua kama kweli ni kampuni au ni wao wamechukua vibarua wanawalipa per day au ni kampuni ya mmoja wao ya mfukoni. Yaani bei mara mbili ya ile iliyokadiriwa!!! Watanzania wanakufa mafuriko, hakuna barabara, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna shule bora wala hospital! Watu wanachezea fedha za wananchi kiasi hiki!!! Morocco imejanga viwanja vya kisasa na vyenye ubora wa Kimataifa, viwanja hivyo vimetumika kwenye Afcon 2025 na vitatumika kwenye Kombe la dunia 2030. Bei ya chini kuliko hicho cha mafisadi na bora zaidi. 1.Khouribga stadium billioni 150 2.Stade Municipal de Nador & Shabiba Bilioni 200 3.Prince Moulay Abdellah Stadium USD 75 m sawa na bilioni 187. Unaweza kutaja na vingine na vingine kwa mamia. Huu ni ujambazi kwa Nchi yetu, na vijana mpo hamna kazi, ajira wala matumaini mnasema tunamuachia Mungu!!!! Ukijiari iwe shamba au hata kwenye mtandao wanakuja kuchukua fedha yako kama kodi, ukinunua gari au bodaboda kodi ni mara mbili ya kununulia.. alafu pesa inachezewa hivi.

John Heche

23,303 views • 2 months ago