Hussein M Bashe's banner
Hussein M Bashe's profile picture

Hussein M Bashe

@HusseinBashe563,096 subscribers

Former Minister of Agriculture 🇹🇿 | MP - Nzega Urban Constituency | Farmer | Politician #TanzaniaKwanza

Shorts

Hali ilivo katika Mashamba ya viwanda vya kuzalisha Sukari hapa nchini uzalishaji unaathiriwa na mvua •TPC uwezo ni Tani 450 but now inazalisha 180 •Kagera uwezo ni Tani 500 now inazalisha 200 •Mtibwa uwezo ni Tani 450 sasa inazalisha 120 •Bagamoyo uwezo Tani 160 now 70

Hali ilivo katika Mashamba ya viwanda vya kuzalisha Sukari hapa nchini uzalishaji unaathiriwa na mvua •TPC uwezo ni Tani 450 but now inazalisha 180 •Kagera uwezo ni Tani 500 now inazalisha 200 •Mtibwa uwezo ni Tani 450 sasa inazalisha 120 •Bagamoyo uwezo Tani 160 now 70

303,899 次观看

Videos

HusseinBashe's profile picture

Safari hii ilianza 2016

Hussein M Bashe

26,182 次观看 • 3 个月前

HusseinBashe's profile picture

Mwaka 2019 mwezi wa kumi, alikuja ofisini kwangu Dada Fatma Mwasa ambaye sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera Pamoja na Mzee Mwilima, kunielezea kukwama kwao kwa mradi waliokua wameanza kuutekeleza katika mkoa wa Kigoma. Mradi huo ulihusisha ujenzi wa kiwanda cha kuchakata chikichi na kuweza kupata Refined Palm Oil. Baada ya majadiliano ya muda mrefu na kuielezea Serikali juu ya changamoto waliyokuwa wanakabiliana nayo, Wizara ya Kilimo ilifanya jitihada ya kuiandikia Benki ya Kilimo Tanzania Agricultural Development Bank (TADB), Leo ni miaka karibu minne, mradi huo ninashukuru sasa umekamilika na sasa umeanza uzalishaji wa mafuta ya kula ya mchikichi kwa maana ya Refined Palm Oil. Kiwanda hicho kimepata ithibati za ISO na TBS, na leo hii ndio kiwanda pekee Tanzania ambacho kinanunua chikichi ya mkulima, kinachakata na kuzalisha Crude Oil na mwisho kinafanya Refinery na kupack. Hivi sasa wameanza packaging ya lita 20 kwa lita 10, na brand yao inaitwa Wese na imeshaanza kuuza Kigoma. Wanakabiliwa na changamoto ya kuanzisha kituo cha utafiti, Serikai imeamua kupitia kituo chetu cha Kihinga watasaidiana kwenye suala la utafiti na uzalishaji wa miche. Wameomba ardhi kwa ajili ya kuwa na shamba la Serikali na kuanzisha Out-Growing scheme, Wizara ya Kilimo kupitia Tume ya Umwagiliaji - NIRC tutashirikiana nao katika kujenga Out-growing scheme. Wataalamu wa Wizara ya Kilimo watakwenda Mkoa wa Kigoma kwa ajili ya kuanzisha mfumo wa Contract Farming yaani kulima kwa mkataba na wakulima wa mkoa wa Kigoma wanaozalisha chikichi ili kiwanda hicho kiweze kupata malighafi ya mwaka mzima. Kwetu kama Taifa hii ilikua ni safari ya zaidi ya miaka minne au mitano, leo tumeanza kuzalisha chikichi wenyewe ndani ya nchi hii. Hivi karibuni vile vile tutazindua kiwanda kingine katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Kyela. Nashukuru benki za CRDB na TADB kwa kusupport mradi huu. Kiwanda hiki hata mkopo waliokopa benki wanalipa vizuri. Tunashukuru Mungu this is a first trial kwa nchi yetu, Ni Hatua inatupa mafundisho makubwa kwenye uwekezaji wa eneo hili. Kazi Iendelee

Hussein M Bashe

37,785 次观看 • 1 年前

HusseinBashe's profile picture

Salaam Ndugu zangu. Nafarijika kuwataarifu sukari imeanza kuingia mtaani na LEO sukari iliyoletwa na kampunj ya KILOMBERO SUGAR ambaye ni mmoja ya ya wazalishaji nchini imeanza kusambazwa kama anavyoeleza Bwana Fimbo Butalla hapa,Sales manager wa Kilombero Sugar Company. Nafahamu changamoto iliyopo ya bei bado ipo na kuna maeneo wafanyabiashara hawafuati bei elekezi. Wapo tulio wakamata na baadhi tumeanza mchakato wa kuwafutia uwakala. Tutaipitia upya sheria na mfumo mzima wa uuzaji na uzalishaj wa sukari toka kiwandani mpaka kwa mlaji na hivi sasa tumewataka wazalishaji kuhakikisha wanafungua Depot mikoani wao wenyewe na kuondoa UHODHI wa Distributor wachache Tutaipitia sheria upya ya uzalishaji wa sukari ili kuweka mazingira BORA ya kuwalinda walaji na wazalishaji kwa pamoja na ushindani ulo wahaki kwa WOTE . Niwahakikishie hali hii haitajirudia TENA hivi sasa tunapitia mfumo wote wa uzalishaji wa kisheria na kibiashara ili kumlinda mlaji. Tunawajibika kulinda Mzalishaji na pia kumlinda MLAJI na nimeziomba mamlaka za mikoa kufuatilia hili na nimeagiza kila kampuni itangaze mawakala wake kwenye Magazeti ili Umma upate kuwafahamu. Naendelea kuwaomba Watanzania utulivu, Serikali imechukua hatua na Bodi ya sukari itaendelea kusimamia mchakato huu ili kudhibiti wanaojinufaisha na Upungufu huu. Tutaendelea kutoa taarifa zaidi. Sekta hii kisheria ina mfumo wa Uhodhi ambao tutaupitia upya bila kuathiri Ajira za watanzania Ninawashukuru TPA na TRA kwa ushirikiano na kutoa pruority kwa meli zote . Ninaheshimu mawazo ushauri na mijadala inayoendelea kwa wananchi kwenye swala hili nawashukuruni sana

Hussein M Bashe

39,941 次观看 • 2 年前