
Simba Sports Club
@SimbaSCTanzania • 2,000,179 subscribers
The official account of Simba Sports Club. (Follow English account - @SimbaSC_EN)
Shorts
Videos

𝐂𝐇𝐀𝐌𝐀 𝐅𝐎𝐑 𝐅𝐈𝐅𝐀 𝐏𝐔𝐒𝐊Á𝐒 𝐀𝐖𝐀𝐑𝐃. Dunia imeona bao bora zaidi mwaka huu ni kutoka kwa Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama. Utamu wa bao hili zaidi ni kumfunga mtani na kuchangia mtu kuliwa kichwa. Jambo la kufanya kwa Mwanasimba ni kutag akaunti ya FIFA ujumbe uwafikie mapemaaaaa!!! #NguvuMoja
Simba Sports Club37,497 просмотров • 1 месяц назад

Goli bora la msimu wa 2025/26 limeshapatikana 🤩 #NguvuMoja
Simba Sports Club32,440 просмотров • 1 месяц назад

Mwalimu alivyomchapa bakora mtani inayowauma hadi kesho, na kutupa ubingwa wa Kombe la Muungano 2026. #NguvuMoja
Simba Sports Club14,304 просмотров • 27 дней назад
3:12
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Huu ndio msimamo wa Klabu ya Simba uliobarikiwa na viongozi wote. #WenyeNchi #NguvuMoja
Simba Sports Club159,167 просмотров • 1 год назад

“Hili linaweza kushinda tuzo ya goli bora la mwaka duniani.”- haya sio maneno ya semaji au admin, haya ni maneno ya mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand kuhusu uzuri wa bao la Clatous Chota Chama dhidi ya mtani Young Africans. Basi kuna watu wanaumia 😂😂😂 🎥 Clouds Media #NguvuMoja
Simba Sports Club16,472 просмотров • 1 месяц назад

Kutoka kina kirefu cha Bahari ya Hindi, sanduku la Usajili 2025/26 limewafikia Watu wa Republic (kitengo cha Habari na Mawasiliano Msimbazi). Mabibi na mabwana sasa tuko tayari kushusha Simba hatari wa kula maadui wa nchi kavu 🐅🦅🍦👮♂️🍇🐕🦍 na majini / matopeni 🐸 📲 Lipia Simba App, jiunge na Simba Mastori au Instagram Subscriptions ili kuwa wa kwanza kupata raha hizi. #NguvuMoja
Simba Sports Club94,792 просмотров • 11 месяцев назад

“Mwamuzi atakayeharibu huo mchezo, sio tu kwamba ataondoka kwenye mpira maisha, tutamfungulia na mashtaka ili tumfunge, hatutakuwa na masihara, hilo mimi nalizungumza wazi kwasababu sehemu kubwa wanaotuletea matatizo ni wao.” - Rais wa TFF, Wallace Karia.
Simba Sports Club39,432 просмотров • 3 месяцев назад

Huyu kijana anapewa chakula kweli? 🤔 asije tuletea shida na majirani zetu Uganda. #NguvuMoja
Simba Sports Club38,650 просмотров • 3 месяцев назад

🎥 Kiwango cha Kibu Denis akiwa mazoezini kimemkosha kocha Oliviera na kuamua kumchagua kuwa mchezaji bora wa mazoezi ya jana na hata kumpa zawadi. Kocha amesema huo ni utaratibu wake wa kutoa zawadi kwa mchezaji anayemvutia. Hapa anaeleza kilichomfurahisha kwa Kibu. #NguvuMoja
Simba Sports Club270,202 просмотров • 3 лет назад

Ukiacha kuwafunga na mateso pia walipata kiwanjani. #NguvuMoja
Simba Sports Club11,573 просмотров • 1 месяц назад

Neno la Clatous Chama kwenda kwa Wanasimba. #WenyeNchi #NguvuMoja
Simba Sports Club120,474 просмотров • 2 лет назад

Muda wa kazi kwa Che Malone, Onana, Kramo na Baleke 💪 #NguvuMoja
Simba Sports Club131,645 просмотров • 2 лет назад