
Vitus Nkuna
@VitusNkuna • 92,560 subscribers
Mwanachama wa CHADEMA|| Previous BAVICHA Chairman Nyasa Zone|| Ex- Katibu Bavicha Iringa|| Devotee.🙏✌️
Videos

Professa Anna Kajumulo Tibaijuka Msikilize kwa makini. Asante Mama 🙏
Vitus Nkuna11,686 Aufrufe • vor 2 Monaten

William Nchimbi alikuwa Mjumbe wa cc ya CCM iliyoketi Jul 11 2015 na alipinga wazi maamzi ya mchakato kumpata Magufuli na mgombea mwenza Mhe Samia 2015. Leo Nchimbi ni Mgombea mwenza wa Rais Samia 2025. Hii ndio siasa. Vijana wengi tunachukulia Siasa ni kama kulala na kahaba!.
Vitus Nkuna33,844 Aufrufe • vor 1 Jahr

Maelezo ya RPC Mkoa wa Iringa Allan Bukumbi kuhusu kifo cha aliekuwa dereva wa kampuni ya Asas.👇
Vitus Nkuna47,811 Aufrufe • vor 2 Jahren

Tarehe 12/08/2024 CHADEMA na Baraza la Vijana tuliratibu namna ya kuwa na Kongamano la Vijana na tukapanga lifanyike MBEYA. Katika hali ya kushangaza tulizuiwa na polisi na Vijana walizuiwa kuingia Mbeya, Viongozi tulikamatwa na kuwekwa selo na wengine kupigwa . Leo CCM wanafanya
Vitus Nkuna35,447 Aufrufe • vor 1 Jahr

Honestly speaking kwa upande wa Vyama vya Siasa ni Mikutano ya Chadema Tanzania wananchi wanakuja kwa hiari yao wenyewe bila kubebwa wala kulazimishwa. Bila wataalam wa mazingaombwe wala wasanii na hii ndio inaifanya Chadema kuwa chaguo la Watanzania. #PeoplesPower
Vitus Nkuna21,345 Aufrufe • vor 11 Monaten

"CHADEMA sio wakorofi CHADEMA wameonewa"- M/Kiti Msitaafu Freeman Mbowe
Vitus Nkuna12,716 Aufrufe • vor 6 Monaten

Naona jana na leo watu wanasema na kutafuta huruma kuhusu neno alilosema Mhe Freeman Mbowe wakati wa hotuba yake. Neno "mimi sio MBANGAIZAJI" . Hii haiwapi huruma na hakutukana mtu wala hakumlenga mtu, Sikilizeni👇. Lakini pia CHADEMA sio Chama cha WANYONGE,tunakataa UNYONGE.
Vitus Nkuna21,869 Aufrufe • vor 1 Jahr