
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ
@_zack255 โข 95,767 subscribers
Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Kiboko ya wanaharakati East Africa | Alhamdulillah
Shorts
Videos

Hii nchi ina mali nyingi mno๐ฅ๐ฅ๐ฅ ni vile siku nzima tunashinda tunapigizana kelele na Hilda na domo lake
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ191,832 gรถrรผntรผleme โข 3 ay รถnce

Nawakumbusha Tu Ukiingia Jela Mwaka Huu Unatoka 2055๐
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ299,153 gรถrรผntรผleme โข 1 yฤฑl รถnce
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

VIJANA MNANYIMANA HADI DHAMBI? haya video zote hizi hapa Thread ๐
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ88,170 gรถrรผntรผleme โข 4 ay รถnce

Ni hatari na nusu wazee wenzangu ๐ฅ๐
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ258,025 gรถrรผntรผleme โข 1 yฤฑl รถnce

WAUMINI WA DHEHEBU LA KIKATOLIKI WAMKANA WAZI FATHER CHARLES KITIME Zikiwa zimepita siku mbili tangu maaskofu wa kanisa la kikatoliki watoe tamko lao kuhusu sakata la uwekezaji wa bandari lililowakilishwa na Father Kitime, hali mtaani hasa kwa waumini wa dhehebu lilo imekuwa tofauti baada ya kuonekana baadhi ya matamko yaliyotamkwa kupigwa wa waumini hao na kusema sio msimamo wa kanisa bali maneno yake binafsi. Utofauti huu umejitokeza na kuibua hisia kali kwa waumini na kujitokeza kutoa mauni yao na kuonesha dhamira ya wazi kutokuunga mkono tamko hilo, huku wengine wakisema hawana shida na uwekezaji wa bandari kikubwa ni Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuzingatia maoni na ushauri uliotolewa kwajili ya maboresho zaidi.
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ386,681 gรถrรผntรผleme โข 3 yฤฑl รถnce

๐๐๐๐๐huyu jamaa bhana
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ185,826 gรถrรผntรผleme โข 1 yฤฑl รถnce

Hii nchi ina hekaheka nyingi sana kila mmoja anatamba upande wake
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ20,948 gรถrรผntรผleme โข 1 ay รถnce

Wanaharakati wenu familia zao tu zinawashinda ๐๐๐ MalisaGJ ๐
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ21,805 gรถrรผntรผleme โข 1 ay รถnce
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Baada ya michango ya Tone Tone Arusha Sugu aonekana kwenye night Club akila bata na Wanawake usiku wa manane. Kufuatia kufanyika kwa mkutano wa hadhara wa CHADEMA Jijini Arusha na kukusanya fedha kiasi cha Tshs Milioni mbili,Joseph Mbilinyi maarufu SUGU ameonekana usiku wa manane akiwa kwenye night club ya The Hub akiwa amelewa chakari na Wanawake wa Jiji hilo.Hii ikimaanisha michango ya Tone Tone inatumiwa na wahuni wachache wa CHADEMA.
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ32,044 gรถrรผntรผleme โข 3 ay รถnce

Huyu Abigail Chams ana balaa ๐ค
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ111,919 gรถrรผntรผleme โข 2 yฤฑl รถnce

Pasta wenu leo yupo na Wakatoliki ๐๐
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ41,525 gรถrรผntรผleme โข 1 yฤฑl รถnce

Wazanzibar wanajikuta vijukuu vya mtume! Et kwamba hapa sio bara nyokooo ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ74,083 gรถrรผntรผleme โข 2 yฤฑl รถnce

Dkt. Tulia hapa alimaliza kila kitu. ๐ค
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ45,564 gรถrรผntรผleme โข 1 yฤฑl รถnce

BONI YAI AKUMBANA NA AIBU NZITO BAGAMOYO Picha hii iliyopigwa Bagamoyo Aprili 26, 2026 katika Mkutano wa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani, Boniface Jacob (BoniYai) inaacha ujumbe mmoja mzito kwamba Vijana wa Tanzania wamechoshwa na harakati za CHADEMA za kuwatumia kuleta vurugu na machafuko huku Viongozi wa chama hicho wakineemeka kwa kupata fedha toka kwa wafadhili wao. Kwa taswira hii, ni wazi kuwa wananchi wengi hawavutiki kujitokeza kusikiliza sera cha kuleta mpasuko ndani ya Nchi, jambo linaloweza kutafsiriwa kama ujumbe wa kimya kutoka kwa jamii kwamba siasa zisizogusa maisha yao moja kwa moja hazina nafasi kubwa mioyoni mwao. Huu ni mwitikio hafifu, taswira ya aibu, na ishara kwamba wananchi wanataka hoja zenye majibu ya maisha yao โ si maneno ya majukwaani pekee. #RipotiYaTumeImefichua #TumeYaUchunguziReport Wafanya Vurugu Walilipwa
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ12,196 gรถrรผntรผleme โข 4 ay รถnce

Kwaya za Kizanzibar ๐๐ค
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ36,173 gรถrรผntรผleme โข 2 yฤฑl รถnce