
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
@_zack255 • 95,977 subscribers
Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Alhamdulillah
Shorts
Videos
0:27
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
0:41
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Baada ya michango ya Tone Tone Arusha Sugu aonekana kwenye night Club akila bata na Wanawake usiku wa manane. Kufuatia kufanyika kwa mkutano wa hadhara wa CHADEMA Jijini Arusha na kukusanya fedha kiasi cha Tshs Milioni mbili,Joseph Mbilinyi maarufu SUGU ameonekana usiku wa manane akiwa kwenye night club ya The Hub akiwa amelewa chakari na Wanawake wa Jiji hilo.Hii ikimaanisha michango ya Tone Tone inatumiwa na wahuni wachache wa CHADEMA.
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿31,912 次观看 • 13 天前
0:53
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

BONI YAI AKUMBANA NA AIBU NZITO BAGAMOYO Picha hii iliyopigwa Bagamoyo Aprili 26, 2026 katika Mkutano wa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani, Boniface Jacob (BoniYai) inaacha ujumbe mmoja mzito kwamba Vijana wa Tanzania wamechoshwa na harakati za CHADEMA za kuwatumia kuleta vurugu na machafuko huku Viongozi wa chama hicho wakineemeka kwa kupata fedha toka kwa wafadhili wao. Kwa taswira hii, ni wazi kuwa wananchi wengi hawavutiki kujitokeza kusikiliza sera cha kuleta mpasuko ndani ya Nchi, jambo linaloweza kutafsiriwa kama ujumbe wa kimya kutoka kwa jamii kwamba siasa zisizogusa maisha yao moja kwa moja hazina nafasi kubwa mioyoni mwao. Huu ni mwitikio hafifu, taswira ya aibu, na ishara kwamba wananchi wanataka hoja zenye majibu ya maisha yao — si maneno ya majukwaani pekee. #RipotiYaTumeImefichua #TumeYaUchunguziReport Wafanya Vurugu Walilipwa
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿12,178 次观看 • 1 个月前
没有更多内容可加载