
Jebra Kambole
@Advocate_Jebra • 354,363 subscribers
Law Guards Advocates, Criminal, Corporate and Civil Litigation lawyer. Togo Tower, kinondoni Business Only Call +255748334032
Shorts
Videos

Wakuu Ijumaa ni sherehe unajua ni kwa nini? 1. Akionekana hana kesi ya kujibu tunaondoka naye 2. Nolle 3. Akionekana ana kesi ya kujibu tutapanga mashahidi na kwenye hiyo list tutaanza na samia na wengine watuambie yale maneno yaliitisha serikali? Labda HC ihairishe yenyewe😁
Jebra Kambole34,517 просмотров • 25 дней назад

Peleka Moto!!!! Peleka Motooooo!!!! Peleka Motooooo!!!
Jebra Kambole17,936 просмотров • 1 месяц назад
0:40
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
0:25
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Huyu ni nani? Maana naona amekamua kisawasawa!! Kawapa makavu
Jebra Kambole85,688 просмотров • 1 год назад

Chande Chende Chindi Chondo ………….Chundu!!! 😂😂😂 Kimewaka hapa!!!!
Jebra Kambole26,875 просмотров • 4 месяцев назад

Hizi dharau zimezidi sana, mtu nafasi yenyewe ya kupewa kwenye kisosi alafu unadharau watafutaji? Ulitaka wakaibe?, unaenda mbali na kudai wataolewa! Serikali haitoi ajira za kutosha, watu wakipambana unaleta dharau? Hii kiburi ya mboga mboga ni ya kukomeshwa kabisa!
Jebra Kambole93,525 просмотров • 1 год назад

Wakuu endeleeni kuchochea moto, nyoka wameanza kutoka vichakani sasa!
Jebra Kambole71,289 просмотров • 1 год назад

Tundu tushampa Nondo zote zinazotakiwa kesho pale mahakama ya Rufaa!! Kesho ni siku nyingine ya kiwanda cha elimu kutoka shule kuu ya sheria!! Tujiandae kupata burudani. Kesho ni mwendo wa kuweka vyuma tu, Sisi hatuchekeshi kwenye maswala yanayohusu uhai na haki za watu.
Jebra Kambole17,980 просмотров • 3 месяцев назад

Hivi huyu anadhani dunia ya Sasa ni ya kuleta Siasa za kishamba za ukichagua upinzani wanaleta vita? Kwanza anaowaambia wanamshangaa! Watanzania sio wajinga! Siasa za ulaghai zishapitwa na wakati!!! Unashindwa kujenga hoja unaamua kuwapumbaza watanzania!! #NoReformNoElection
Jebra Kambole67,323 просмотров • 1 год назад

Bibi amenyooka sana, anawazidi ndezi kibao uelewa wa mambo na ujasiri! Ukweli lazima usemwe!!!
Jebra Kambole37,105 просмотров • 9 месяцев назад