John Heche's banner
John Heche's profile picture

John Heche

@HecheJohn806,026 subscribers

Vice Chairman Chadema Tanganyika, former Member of Parliament for Tarime rural constituency, a reformer.

Shorts

Kwa ukatili kama huu na mauaji ambayo mmefanya kwa Watanzania leo mnasema mtaongoza? Mnataka kumuongoza Nani? Mnazungumza eti maendeleo ya nini? Kwaajili ya nani kama mmeua watanzania na kuwatesa hivi? Maji, umeme, Barabara au kitu chochote bila binadamu kuwepo vina maana gani? Hili jeshi la polisi wanafundishwa nini huko kwenye vyuo vyao? Kuwa katili? Said Mwema kwenye kitabu chake aliandika kuhusu huu ukatili, Tume ya haki jinai ya Samia imeandika kwamba hili jeshi linapaswa kufumuliwa kwasababu lina element za kikoloni, baada ya haya nani tena anaweza kuwa na imani na jeshi hili? Nani anaweza kubisha. Lazima tutabadili namna ya utendaji wa jeshi la polisi. Madaraka ya damu hayatasimama kwenye Nchi yetu.

Kwa ukatili kama huu na mauaji ambayo mmefanya kwa Watanzania leo mnasema mtaongoza? Mnataka kumuongoza Nani? Mnazungumza eti maendeleo ya nini? Kwaajili ya nani kama mmeua watanzania na kuwatesa hivi? Maji, umeme, Barabara au kitu chochote bila binadamu kuwepo vina maana gani? Hili jeshi la polisi wanafundishwa nini huko kwenye vyuo vyao? Kuwa katili? Said Mwema kwenye kitabu chake aliandika kuhusu huu ukatili, Tume ya haki jinai ya Samia imeandika kwamba hili jeshi linapaswa kufumuliwa kwasababu lina element za kikoloni, baada ya haya nani tena anaweza kuwa na imani na jeshi hili? Nani anaweza kubisha. Lazima tutabadili namna ya utendaji wa jeshi la polisi. Madaraka ya damu hayatasimama kwenye Nchi yetu.

73,678 görüntüleme

Usiku huu Mimi na wasaidizi wangu, tumeachiwa na polisi baada ya kututeka na kutushikilia kinyume cha utaratibu kwa mda mrefu. Hakuna kiwango cha udhalilishaji, vitisho wala mauji kinachoweza kuzuia kiu yetu ya kutafuta mabadiliko. Tutaipigania demokrasia kwa gharama yoyote. Nitaeleza kilichotokea leo, katika hatua za baadae. Asanteni Watanzania.

Usiku huu Mimi na wasaidizi wangu, tumeachiwa na polisi baada ya kututeka na kutushikilia kinyume cha utaratibu kwa mda mrefu. Hakuna kiwango cha udhalilishaji, vitisho wala mauji kinachoweza kuzuia kiu yetu ya kutafuta mabadiliko. Tutaipigania demokrasia kwa gharama yoyote. Nitaeleza kilichotokea leo, katika hatua za baadae. Asanteni Watanzania.

101,290 görüntüleme

Hii sio Chadema yetu, hii sio Chadema tunayoitaka, hii sio Chadema ambayo watu wamekufa kuipigania… Hawa watoa rushwa hawataweza kuwazidi watu wema nguvu.

Hii sio Chadema yetu, hii sio Chadema tunayoitaka, hii sio Chadema ambayo watu wamekufa kuipigania… Hawa watoa rushwa hawataweza kuwazidi watu wema nguvu.

100,784 görüntüleme

Thank you champ.

Thank you champ.

61,548 görüntüleme

Tuko mkuyuni Mwanza saa nzima hakuna gari inasogea mbele wala kurudi nyuma, kujenga kadaraja hapa imechukua miaka miwili. Hali ni hii kila siku asubuhi na jioni.. watu wanateseka kama vile tumepata uhuru jana. Nchi haina uongozi kabisa ni uozo tu…

Tuko mkuyuni Mwanza saa nzima hakuna gari inasogea mbele wala kurudi nyuma, kujenga kadaraja hapa imechukua miaka miwili. Hali ni hii kila siku asubuhi na jioni.. watu wanateseka kama vile tumepata uhuru jana. Nchi haina uongozi kabisa ni uozo tu…

24,332 görüntüleme

Rais Samia Suluhu uliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta reforms kwanini serikali yako imekua katili kuliko serikali zote Nchi hii? Maisha ya binadamu yanaonekana sio kitu!!! Watu wanatekwa kila siku na Nyie mko kimya.

Rais Samia Suluhu uliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta reforms kwanini serikali yako imekua katili kuliko serikali zote Nchi hii? Maisha ya binadamu yanaonekana sio kitu!!! Watu wanatekwa kila siku na Nyie mko kimya.

17,037 görüntüleme

Videos

HecheJohn's profile picture

Huyu Saada Mkuya Salum amekua mbunge na waziri wa fedha huku bara.. Maneno muhimu kutoka kwako: Unaelekeza mtu akienda hospital akitoa kitambulisho cha Taifa asitibiwe mpaka atoe cha Mzanzibari!!!! Ni mtu gani anaweza kuwa na kitambulisho cha Mtanzania lakini hana cha Mzanzibari? Bila shaka ni mtu kutoka Tanganyika. Umesema hatuna uwezo wa kutibu watu milioni 60 ambayo hiyo ni idadi ya Watanzania ambao wengi ni Watanganyika. Je kuna siku wote wamevuka kuja kutafuta matibabu huko? 1. Saada unaweza kuwambia watu deni la Taifa ambalo kila mwezi tunalipa karibia trilioni moja na kadhaa ni kiasi gani kinatoka kwenye makusanyo ya Zanzibar? 2. Serikali za mitaa sio suala la muungano kwa katiba yetu, Je unajua kuna wakurugenzi wa halmashauri za miji na majiji wameteueliwa kutoka Zanzibar huku Tanganyika? Unajua kuna MADC wengi tu wameteueliwa kutoka Zanzibar wako huku bara? Umefuatilia kwenye idara za madini, utaliii na wizara nyingi ambazo sio za Muungano kuna wakuu wa idara wangapi, wakurugenzi wa idara na maafisa wangapi kutoka Zanzibar? Unataka Watanganyika wanaoishi huko wabaguliwe na wasipewe matibabu kwasababu ya kukosa kitambulisho cha Mzanzibari hata kama ana matibabu kadi ambayo ni sawa na bima ya afya…. Je Wazanzibari wanaoishi huku Tanganyika na wana bima za afya za NHIF nao wanyimwe matibabu? Huyu ni waziri wa pili ndani ya mda mfupi kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya Watanzania wengine na hakuna kauli yet kutoka kwa aliewateua… Kwahiyo huu ndio msimamo wa ccm na ndio msimamo wa wateuzi wao. Nani anaewatuma hawa kusema haya? Maana sio bahati mbaya… nani anaewatuma kuwabagua Watanganyika?

John Heche

58,286 görüntüleme • 1 ay önce

HecheJohn's profile picture

Asante sana Njombe.

John Heche

21,269 görüntüleme • 19 gün önce

HecheJohn's profile picture

Asante sana Njombe.

John Heche

16,298 görüntüleme • 18 gün önce

HecheJohn's profile picture

Ukitaka kujua aina ya watu wanaojiita watawala na level ya fikra zao na uwezo wao, Msikilize huyu bwana Ulega!!!! Yaani una Nchi yenye kilometa za mraba 945,000. Nchi pekee yenye Tanzanite duniani, Nchi pekee yenye mbuga kubwa kuliko zote Duniani, Serengeti, Ngorongoro nk. Nchi ya tatu kwa wingi wa dhahabu duniani, Nchi yenye mlima Kilimanjaro, makaa ya mawe, almasi, Victoria gesi na kila kitu. Miaka 65 ya Uhuru una mtandao wa barabara zenye urefu wa kilometa 182,000 lakini kwa miaka 65 hiyo mmejenga barabara 16,000 tu! Yaani ni sawa na 9%. Tena barabara zenyewe hizi zimejaa mashimo kama ubao wa kuchezea bao!!! Hakuna barabara hata moja ambayo ni nzima … Anzia Tunduma Dar, Mwanza Dar , Kigoma Dar, Babati to Singida, Tabora Manyoni Yaani ni takataka… Barabara zenyewe finyu zisizowezesha hata kupishana wala kwenda km 120 kwa saa.. Barabara haina ubora inajengwa leo kabla hata mkandarasi kuondoka site imeishajaa mashimo.. Kama Imewachukua miaka 65 kujenga barabara za lami mbovu asimilia 9 ya Barabara zilizopo… maana yake wanahitaji miaka 130 kufikisha asimilia 18 ya Barabara zilizopo… achilia Mbali maeneo ambayo hayajaingizwa kwenye kanzi data ya Barabara zilizopo na zitakazofunguliwa …. Alafu bila aibu anajitokeza kusema uongo kwamba tuna mtandao mrefu wa barabara za lami kuliko Kenya!!! Hivi hawa watu hawaoni aibu? Kenya ina mtandao wa barabara za lami kilometa 25,411 sisi 16,700 kama alivyodai… Lakini factor ya pili ukubwa wa Nchi ya Kenya ni km za mraba 582,650 sisi 945,000. Kenya hawana dhahabu kama sisi, hawana tanzanite, hawana makaa ya mawe na chuma, hawana Serengeti is ala Ngorongoro kama sisi.. Yaani kwa hiki anachokisema Ulega, tukibaki chini ya huu Utawala dhalimu wa ccm tunahitaji miaka 600 ili kumaliza mtandao wote. Hapo kuna barabara kibao za mitaa na maeneo ambayo hayajapimwa mpaka sasa ambazo hazijajumlishwa hapo! Shame on you.

John Heche

37,682 görüntüleme • 2 ay önce