Hilda Newton's banner
Hilda Newton's profile picture

Hilda Newton

@HildaNewton21954,341 subscribers

Journalist/Activist/President Of Tanzania 2045

Shorts

Wabunge haram wakiongozwa na ester amos bulaya wanasema kwamba Serikali ya Marekani imewahukumu maccm bila kuwapa nafasi ya kujitetea. Sasa wao kabla hawajawapiga risasi na kuwauwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi waliwapa nafasi ya kujitetea.?

Sensitive content

Wabunge haram wakiongozwa na ester amos bulaya wanasema kwamba Serikali ya Marekani imewahukumu maccm bila kuwapa nafasi ya kujitetea. Sasa wao kabla hawajawapiga risasi na kuwauwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi waliwapa nafasi ya kujitetea.?

41,061 Aufrufe

Hii video mpya ya Oktoba 29, Wananchi wanasikika wakisema Serikali inavunja Katiba. Halafu Nduli Idd Amin Mama anasema waliondamana walikuwa hawajui kwanini wameandamana kwamba hawakuwa na sababu walifuata mkumbo.🚮🚮

Hii video mpya ya Oktoba 29, Wananchi wanasikika wakisema Serikali inavunja Katiba. Halafu Nduli Idd Amin Mama anasema waliondamana walikuwa hawajui kwanini wameandamana kwamba hawakuwa na sababu walifuata mkumbo.🚮🚮

38,989 Aufrufe

Kumbe yale makofi ya jana yamewauma sana naona leo Mwigulu katoa mlio.😂😂😂

Kumbe yale makofi ya jana yamewauma sana naona leo Mwigulu katoa mlio.😂😂😂

63,640 Aufrufe

HAKUNA ALIYESALAMA Anaandika Mdau kutoka Geita👇👇👇 Hapa ni Ililika-Nyarugusu Geita imetokea RUSH Mpya ya Uchimbaji wa Madini. Kama kawaida wakajitokeza watu wengi kwa ajili ya usimamizi na Moja ya kundi lililojitokeza ni UVINYA Umoja wa Vijana Nyarugusu, Hili ni kundi kubwa la vijana hapa Mgodini ambalo lina watu wengi wenye uzoefu mkubwa wa uchimbaji na wengine wakiwa wajasiliamali na wafanya biashara wadogo wadogo. Walifika kwa ajili ya kuomba tenda ya kusimamia rush, na wakaja na vifaa vya kujenga nyumba ya muda(temporary residence) walikua na vifaa kama mbao nk. Sasa alitokea mtu mwenye bunduki na kuaza kuamuru vifaa hivyo viondoshwe haraka sana! Mzozo ukawa mkubwa bwana huyu alishika bunduki akaanza kutumia kitako cha bunduki kumpiga huyu kiongozi wa UVINYA! Huyu kiongozi wa UVINYA ni mwanaccm tena mjumbe katika serikali ya Kijiji hiki, in short ni wale ccm kihere here. Huyu kada wa CCM ameumizwa sana na askari huyu ambae alikua akisema kwamba yeye anamaelekezo kutoka juu ni Askari mwenye rasta na mwenye muonekano ambao si wa kiaskari, Mashuhuda kadhaa wa matukio ya Oktoba 29 wanasema kwamba huyu Askari ni miongoni mwa Askari waliokua wakimimina risasi kwa raia mjini katoro siku ya Oktoba 29, 30,31 na Nivemba 1 Haya hivyo huyo Kada wa CCM pamoja na kipigo chote icho waliondoka nae na sasa anashikiliwa kituo cha Polisi, Wamemnyima hata huduma ya kwanza licha ya kwamba anajereha kubwa kichwani.

HAKUNA ALIYESALAMA Anaandika Mdau kutoka Geita👇👇👇 Hapa ni Ililika-Nyarugusu Geita imetokea RUSH Mpya ya Uchimbaji wa Madini. Kama kawaida wakajitokeza watu wengi kwa ajili ya usimamizi na Moja ya kundi lililojitokeza ni UVINYA Umoja wa Vijana Nyarugusu, Hili ni kundi kubwa la vijana hapa Mgodini ambalo lina watu wengi wenye uzoefu mkubwa wa uchimbaji na wengine wakiwa wajasiliamali na wafanya biashara wadogo wadogo. Walifika kwa ajili ya kuomba tenda ya kusimamia rush, na wakaja na vifaa vya kujenga nyumba ya muda(temporary residence) walikua na vifaa kama mbao nk. Sasa alitokea mtu mwenye bunduki na kuaza kuamuru vifaa hivyo viondoshwe haraka sana! Mzozo ukawa mkubwa bwana huyu alishika bunduki akaanza kutumia kitako cha bunduki kumpiga huyu kiongozi wa UVINYA! Huyu kiongozi wa UVINYA ni mwanaccm tena mjumbe katika serikali ya Kijiji hiki, in short ni wale ccm kihere here. Huyu kada wa CCM ameumizwa sana na askari huyu ambae alikua akisema kwamba yeye anamaelekezo kutoka juu ni Askari mwenye rasta na mwenye muonekano ambao si wa kiaskari, Mashuhuda kadhaa wa matukio ya Oktoba 29 wanasema kwamba huyu Askari ni miongoni mwa Askari waliokua wakimimina risasi kwa raia mjini katoro siku ya Oktoba 29, 30,31 na Nivemba 1 Haya hivyo huyo Kada wa CCM pamoja na kipigo chote icho waliondoka nae na sasa anashikiliwa kituo cha Polisi, Wamemnyima hata huduma ya kwanza licha ya kwamba anajereha kubwa kichwani.

70,220 Aufrufe

Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia Mwananchi kwa marungu na mateke.😭

Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia Mwananchi kwa marungu na mateke.😭

106,059 Aufrufe

Limama liuaji halina hata aibu. 🚮 🚮 🚮

Limama liuaji halina hata aibu. 🚮 🚮 🚮

50,270 Aufrufe

Tumerudi Mahakamani, Mhe. Lissu anasema kuanzia leo atabaki jela kwa sababu ya uchaguzi tu ila kesi imeshaisha, Mhe. Lissu anashangiliwa sana hapa.

Tumerudi Mahakamani, Mhe. Lissu anasema kuanzia leo atabaki jela kwa sababu ya uchaguzi tu ila kesi imeshaisha, Mhe. Lissu anashangiliwa sana hapa.

59,666 Aufrufe

Watu wa Mbeya wakienda kumzika mwenzao ambae aliuwawa kwa risasi na Vikosi vya Nduli Idd Amin Mama.

Watu wa Mbeya wakienda kumzika mwenzao ambae aliuwawa kwa risasi na Vikosi vya Nduli Idd Amin Mama.

54,505 Aufrufe

Dear Didier Drogba Are you aware that the illegitimate government that has invited you to Parliament seized power on October 29, 2025, after killing more than ten thousand Tanzanians? They have offered you money that is tainted with the blood of our brothers and sisters who were murdered. They believe that your presence in Tanzania would lend legitimacy to the atrocities they have committed against us. If those who were killed were your own relatives and their blood had been shed, would you still accept this invitation from these killers? #TanzaniaMassacre #TanzaniaIsBleeding #Mo29

Sensitive content

Dear Didier Drogba Are you aware that the illegitimate government that has invited you to Parliament seized power on October 29, 2025, after killing more than ten thousand Tanzanians? They have offered you money that is tainted with the blood of our brothers and sisters who were murdered. They believe that your presence in Tanzania would lend legitimacy to the atrocities they have committed against us. If those who were killed were your own relatives and their blood had been shed, would you still accept this invitation from these killers? #TanzaniaMassacre #TanzaniaIsBleeding #Mo29

12,112 Aufrufe

Hawa ni vijana wa Mbezi beach Goig. Walipigwa watatu mmoja ya kichwa amekufa walimzika Alhamisi tarehe 30.10.2025 Huyu alielala kapigwa ya kiuno ni Niko na huyo aliepigwa ya kifua ni Dulla. Vijana zaidi ya 20 wamekufa hapo! ila vijana wana mwamko kuliko Oktoba. Haya ndo matokeo ya kuwa na mtu aliyepewa uongozi bila kuelewa watu anaowaongoza. Halafu Idd Amin Mama alisema hawa ni raia kutoka nchi jirani. Kiukweli hatuwezi kukubali damu za ndugu zetu zipotee bure, tutapambana mpaka Haki ipatikane. #D9 #SamiaMustGo #TanzaniaIsBleeding

Hawa ni vijana wa Mbezi beach Goig. Walipigwa watatu mmoja ya kichwa amekufa walimzika Alhamisi tarehe 30.10.2025 Huyu alielala kapigwa ya kiuno ni Niko na huyo aliepigwa ya kifua ni Dulla. Vijana zaidi ya 20 wamekufa hapo! ila vijana wana mwamko kuliko Oktoba. Haya ndo matokeo ya kuwa na mtu aliyepewa uongozi bila kuelewa watu anaowaongoza. Halafu Idd Amin Mama alisema hawa ni raia kutoka nchi jirani. Kiukweli hatuwezi kukubali damu za ndugu zetu zipotee bure, tutapambana mpaka Haki ipatikane. #D9 #SamiaMustGo #TanzaniaIsBleeding

53,358 Aufrufe

Juzi alianguka Mlinzi wa Idd Amin Mama leo gari yao imekula mzinga. Tuzidishe maombi!

Juzi alianguka Mlinzi wa Idd Amin Mama leo gari yao imekula mzinga. Tuzidishe maombi!

62,996 Aufrufe

Huyu Baba kaingia Mahakamani amesema ametumwa na Mungu kuwaonya Majaji wanaoendesha kesi ya Mhe. Lissu Kabla hawajasikia ujumbe wake kabebwa ‘msobemsobe’ na askari magereza!

Huyu Baba kaingia Mahakamani amesema ametumwa na Mungu kuwaonya Majaji wanaoendesha kesi ya Mhe. Lissu Kabla hawajasikia ujumbe wake kabebwa ‘msobemsobe’ na askari magereza!

52,233 Aufrufe

Dear Fighters Gen-Z & Millennials ambao tumewapoteza tukiwa kwenye mapambano ya kupigania Taifa letu. Nyinyi ni Mashujaa wetu, nyinyi ni fahari yetu mmepigana vita kwa machozi, jasho na damu. Tanganyika itawakumbuka Daima na sisi tuliobaki hatutakubali damu zenu zipotee bure, tutapambana mpaka pumzi zetu za mwisho mpaka Haki ipatikane. Moyo unauma sana, Nendeni wadogo zetu, nendeni wapambanaji wetu, tutaonana badae. Raha ya milele uwape eeh bwana na mwanga wa milele, uwaangazie. Wapumzike kwa Amani.🙏🏻💔😭

Dear Fighters Gen-Z & Millennials ambao tumewapoteza tukiwa kwenye mapambano ya kupigania Taifa letu. Nyinyi ni Mashujaa wetu, nyinyi ni fahari yetu mmepigana vita kwa machozi, jasho na damu. Tanganyika itawakumbuka Daima na sisi tuliobaki hatutakubali damu zenu zipotee bure, tutapambana mpaka pumzi zetu za mwisho mpaka Haki ipatikane. Moyo unauma sana, Nendeni wadogo zetu, nendeni wapambanaji wetu, tutaonana badae. Raha ya milele uwape eeh bwana na mwanga wa milele, uwaangazie. Wapumzike kwa Amani.🙏🏻💔😭

44,116 Aufrufe

Hatimaye Wakatoliki wa kuchaji a.k.a Wakatoliki wa vijora wamewasilisha “Petrol Station” nzito kwa Baba Mtakatifu. Halafu huyu Mwambieni Mchange na Abdul huyu wa sasa sio Baba Mtakatifu wa 16, huyu ni Pope Leo XIV. Sasa wakatoliki gani nyie hamjui hata jina la Pope yani mnampelekea ujumbe mtu ambae hamjui hata jina lake? Nyambafuuuuu!…😂😂😂😂

Hatimaye Wakatoliki wa kuchaji a.k.a Wakatoliki wa vijora wamewasilisha “Petrol Station” nzito kwa Baba Mtakatifu. Halafu huyu Mwambieni Mchange na Abdul huyu wa sasa sio Baba Mtakatifu wa 16, huyu ni Pope Leo XIV. Sasa wakatoliki gani nyie hamjui hata jina la Pope yani mnampelekea ujumbe mtu ambae hamjui hata jina lake? Nyambafuuuuu!…😂😂😂😂

33,214 Aufrufe

Nimejaribu kumsikiliza Bi harusi lakin nimeshindwa kuelewa alikuwa anamaanisha nini.🤧

Nimejaribu kumsikiliza Bi harusi lakin nimeshindwa kuelewa alikuwa anamaanisha nini.🤧

99,518 Aufrufe

Tuko hapa magomeni mapipa tunasubiri watu waongezeke tukiamshe!…

Tuko hapa magomeni mapipa tunasubiri watu waongezeke tukiamshe!…

99,556 Aufrufe

Dear World, This is Mji Mwema- Mwanza 🇹🇿 Kindly have the courage to see the amount of terror Pres. Samia Suluhu unleashed to her own people in the past 8 days of total internet and communication blackout. These innocent souls demand justice!! Cc. UN Human Rights António Guterres Int'l Criminal Court Donald J. Trump United Nations The White House #TanzaniaMassacre #TanzaniaIsBleeding #SamiaMustGo

Dear World, This is Mji Mwema- Mwanza 🇹🇿 Kindly have the courage to see the amount of terror Pres. Samia Suluhu unleashed to her own people in the past 8 days of total internet and communication blackout. These innocent souls demand justice!! Cc. UN Human Rights António Guterres Int'l Criminal Court Donald J. Trump United Nations The White House #TanzaniaMassacre #TanzaniaIsBleeding #SamiaMustGo

41,000 Aufrufe

Gen-Z wanasema kubaki ndani Disemba 9 ni risk. #D9Tunatoka #SamiaMustGo

Gen-Z wanasema kubaki ndani Disemba 9 ni risk. #D9Tunatoka #SamiaMustGo

33,861 Aufrufe

Gen-Z wameshindika eti Waandamanaji ndo tunakuja ivo December 9.🙌🏿😂

Gen-Z wameshindika eti Waandamanaji ndo tunakuja ivo December 9.🙌🏿😂

32,364 Aufrufe

Videos

HildaNewton21's profile picture

Dear European Parliament A few months ago, Tanzania's Minister of Foreign Affairs, Mahmoud Thabit Kombo, and his delegation visited Brussels to engage with the European Parliament. During this visit, they implored you not to impose sanctions and restrictions, despite the fact that by October 29, the regime had gunned down over ten thousand Tanganyikans, many of whom were denied the right to live, reflecting a troubling disregard for human rights. However, in Parliament yesterday, Minister Kombo stood up and boasted and mocked you. He claims that when they came to speak with you, the European Union imposed "free free" conditions on them, referring to the demands you made, including the release of Hon. Tundu Lissu. Kombo has since proudly claimed that he rejected those demands, asserting that no foreign institution has the right to dictate how our country should be governed. After ridiculing you in their illegitimate Parliament, they are scheduled to return to Brussels to request grants. This behaviour suggests a concerning pattern that deserves your attention. I hope you have noted the discussions surrounding his mission in Europe. It is important to recognise that the CCM and the current regime are seeking endorsement in the form of grants and financial support. They may use such funds for political propaganda, undermining the importance of accountability. Please do not fall into the trap of becoming complicit in this situation. Cc. European Commission davidmcallister Barry Andrews MEP Michael Gahler Robert Biedroń Udo Bullmann 🇪🇺 Erik Marquardt Europe Bookmark

Hilda Newton

37,631 Aufrufe • vor 8 Tagen

HildaNewton21's profile picture

Dear United States Senate, Tanzania's Minister of Foreign Affairs, Mahmoud Kombo, recently spoke in the Tanzanian Parliament in Dodoma, claiming that your proposed bill to impose sanctions on Tanzania is politically motivated. Additionally, Bulayo, another member of Parliament, expressed concerns that the bill does not provide them an opportunity to defend themselves, arguing that you have never visited Tanzania to discuss these issues directly with them. This assertion is problematic. The Tanzanian regime is the one refusing to allow a fact-finding mission from the EU Parliament's Human Rights Committee, as well as refusing to invite the SADC or UN Missions. They are also uncooperative with the AU Mission, which is an international, independent commission. Now, the regime pretends to extend an open hand to the US Senate. Your proposal suggests that a UN Mission visit Tanzania to address this issue. Moreover, Tundu Lissu remains in prison under politically motivated charges. Do you need to visit Tanzania to know that Tundu Lissu is imprisoned? You have proposed that he and other political prisoners be released, and you do not need to be in Tanzania to confirm this situation. Kidnappings are occurring, and Tanzanians need constitutional reforms, yet the regime shows no effort to facilitate this process. Your stance reflects the perspective of many Tanzanians but runs counter to a regime that does not represent the people. In fact, Kombo has stated that they will not release Lissu, underscoring the urgency of voting on your sanctions as soon as possible to take action against the regime. Kombo further claimed that the Tanzanian government would cover your travel and accommodation expenses if you were to visit and better understand the context of police shootings that have resulted in the deaths of thousands of citizens who were allegedly accused of throwing stones at police officers. He also wants to discuss the fatal shootings that occurred on October 29, 2025. This raises an important question: Is it appropriate for US officials to accept travel expenses from foreign governments while performing their official duties? For instance, can a senator accept funding from the Tanzanian government while investigating events surrounding election day? In simpler terms, the Tanzanian government is suggesting that it will attempt to influence you to support its position, assuming that you might be motivated by political deals. This government has a history of trying to bribe individuals for praise and support, thereby positioning you alongside others viewed as corrupt and lacking integrity. The regime must be held accountable for its actions, including revealing who ordered the police to shoot and kill innocent citizens. They need to explain what happened to the thousands of bodies that were left in the streets and where these bodies have been taken. We deserve to see the final respects and burial services for our brothers and sisters. There are reports that bodies from various mortuaries across the country have been taken to a mass grave, while others have been buried in undisclosed locations. Cc. Ted Cruz Sen. Jeanne Shaheen Secretary Marco Rubio Senate Foreign Relations Committee Chairman Senator Ted Cruz Senate Foreign Relations Committee State Department Spokesperson 2013-2025 Department of State Bureau of African Affairs U.S. Embassy Dar es Salaam UN Human Rights UN Women European Parliament Treasury Department Fox News CNN International BBC News Africa

Hilda Newton

15,499 Aufrufe • vor 7 Tagen

Kwahiyo Waziri Kombo yeye akitaza hii video anaona hawa Watanganyika wanawarushia mawe Polisi au sio?😭😭😭
0:44

Sensitive content

This media may contain sensitive content.