
Mnyawami
@jacksonmnyawam2 • 30,221 subscribers
Secretary CHADEMA Serengeti Zone(Mara,Shinyanga &Simiyu
Shorts
Videos

Namna Mwenyekiti wa Jimbo la Iringa Mjini Frank Nyalusi alivyokamatwa Polisi leo Iringa mjini,
Mnyawami116,209 просмотров • 1 год назад

Ripoti ya Kituo cha Habari cha kimataifa Aljazeera Kuhusu kesi ya Mh Tundu Antiphas Lissu #NoReformsNoElection
Mnyawami85,181 просмотров • 1 год назад

“Inavyoonekana ni kuwa wanaonufaika na mapungufu yaliyomo katika sheria za sasa, hawana haraka kufanya maboresho hayo.Wito wetu Maaskofu kwa mamlaka zinazohusika ni kuwa sauti na vilio vya watu wanaotaka kufanyika kwa maboresho ya katiba na sheria visikilizwe na visipuuzwe (TEC)
Mnyawami21,004 просмотров • 1 год назад

Kuna taarifa kutoka Jimbo la Tarime Vijijini uwepo wa Magari ya Jeshi la Wananchi JWTZ,Maeneo ambayo Magari ya Jeshi la Wananchi yameonekana ni Nyamongo,Nyamwaga na Nyanungu Chama Cha Mapinduzi imeona kutumia Jeshi la Polisi kupola Uchaguzi haitoshi na sasa wameliingiza Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Uwepo wa Jeshi la wananchi kwa nyakati hizi ambazo kumekuwepo na Maelfu ya Kura Feki zikiingizwa kwenye vituo vya kupigia kura unaleta hofu na Wasiwasi mkubwa kwa wananchi
Mnyawami22,153 просмотров • 1 год назад

Huko mbele tunakoenda huko, ni kugumu hakufai Tundu Antiphas Lissu
Mnyawami16,218 просмотров • 1 год назад

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International Amnesty International limeonesha nia ya kuanza kwa uchunguzi wa tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Jeshi la Polisi wananchama na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Mnyawami11,039 просмотров • 1 год назад

Wanatamani sisi tufanye amani wale waendelee kupiga Ufisadi Mange Kimambi
Mnyawami10,564 просмотров • 1 год назад
Больше нет контента для загрузки