
Mnyawami
@jacksonmnyawam2 • 30,221 subscribers
Secretary CHADEMA Serengeti Zone(Mara,Shinyanga &Simiyu
Shorts
Videos

Namna Mwenyekiti wa Jimbo la Iringa Mjini Frank Nyalusi alivyokamatwa Polisi leo Iringa mjini,
Mnyawami116,209 görüntüleme • 1 yıl önce

Ripoti ya Kituo cha Habari cha kimataifa Aljazeera Kuhusu kesi ya Mh Tundu Antiphas Lissu #NoReformsNoElection
Mnyawami85,181 görüntüleme • 1 yıl önce

“Inavyoonekana ni kuwa wanaonufaika na mapungufu yaliyomo katika sheria za sasa, hawana haraka kufanya maboresho hayo.Wito wetu Maaskofu kwa mamlaka zinazohusika ni kuwa sauti na vilio vya watu wanaotaka kufanyika kwa maboresho ya katiba na sheria visikilizwe na visipuuzwe (TEC)
Mnyawami21,004 görüntüleme • 1 yıl önce

Kuna taarifa kutoka Jimbo la Tarime Vijijini uwepo wa Magari ya Jeshi la Wananchi JWTZ,Maeneo ambayo Magari ya Jeshi la Wananchi yameonekana ni Nyamongo,Nyamwaga na Nyanungu Chama Cha Mapinduzi imeona kutumia Jeshi la Polisi kupola Uchaguzi haitoshi na sasa wameliingiza Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Uwepo wa Jeshi la wananchi kwa nyakati hizi ambazo kumekuwepo na Maelfu ya Kura Feki zikiingizwa kwenye vituo vya kupigia kura unaleta hofu na Wasiwasi mkubwa kwa wananchi
Mnyawami22,153 görüntüleme • 1 yıl önce

Huko mbele tunakoenda huko, ni kugumu hakufai Tundu Antiphas Lissu
Mnyawami16,218 görüntüleme • 1 yıl önce

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International Amnesty International limeonesha nia ya kuanza kwa uchunguzi wa tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Jeshi la Polisi wananchama na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Mnyawami11,039 görüntüleme • 1 yıl önce

Wanatamani sisi tufanye amani wale waendelee kupiga Ufisadi Mange Kimambi
Mnyawami10,564 görüntüleme • 1 yıl önce
Daha fazla içerik yok.