Bin Kazumari's banner
Bin Kazumari's profile picture

Bin Kazumari

@jemedarisaid119,228 subscribers

Public Figure

Shorts

GK wa Coastal Union amekuwa na mechi nzuri kwa dakika 90, BAHATİ MBAYA sana yeye ndio ameifungisha timu yake bao 1 ambalo GONGOWAZI wamepata na kushinda 1-0. Kimsingi kama GK huwezi kuucheza mpira, baki golini, that simple. Vinginevyo ulikuwa mchezo wenye thamani ya Ligi Kuu.

GK wa Coastal Union amekuwa na mechi nzuri kwa dakika 90, BAHATİ MBAYA sana yeye ndio ameifungisha timu yake bao 1 ambalo GONGOWAZI wamepata na kushinda 1-0. Kimsingi kama GK huwezi kuucheza mpira, baki golini, that simple. Vinginevyo ulikuwa mchezo wenye thamani ya Ligi Kuu.

59,821 views

FT: Yanga 1-0 KMC Nchi haina makipa, hawa hakuna anaewapa pesa kufungisha hawana uwezo tu. Wengine hawana hata sifa ya kuwa makipa wa akiba kwenye klabu ya Ligi Kuu.

FT: Yanga 1-0 KMC Nchi haina makipa, hawa hakuna anaewapa pesa kufungisha hawana uwezo tu. Wengine hawana hata sifa ya kuwa makipa wa akiba kwenye klabu ya Ligi Kuu.

120,528 views

“Niwe mkweli Yanga Afrika msimu uliopita wameanza kucheza kimataifa sikufahamu sana kuhusu Yanga, kwetu sisi, kwa miaka saba iliyopita nilikuwa nafanyakazi Morocco na tuliwaona kila mara Simba kwenye mashindano ya namna hii…” Miguel Garmond kocha wa Yanga

“Niwe mkweli Yanga Afrika msimu uliopita wameanza kucheza kimataifa sikufahamu sana kuhusu Yanga, kwetu sisi, kwa miaka saba iliyopita nilikuwa nafanyakazi Morocco na tuliwaona kila mara Simba kwenye mashindano ya namna hii…” Miguel Garmond kocha wa Yanga

65,113 views

Pashakua Pagumu 😂😂😂

Pashakua Pagumu 😂😂😂

44,477 views

Ukiuza Samaki lazima uwajue majina. Kahama hapo napokea mali mbele ya difenda halafu nageuka, nataka kushuti jamaa akaingilia mipango ikaharibika.

Ukiuza Samaki lazima uwajue majina. Kahama hapo napokea mali mbele ya difenda halafu nageuka, nataka kushuti jamaa akaingilia mipango ikaharibika.

11,733 views

“Uwanja uko tayari kwa ukaguzi wa CAF hata leo au kesho,Simba watacheza Robo fainali yao. Serikali imefanya kazi kubwa sana kwa kushirikiana na TFF & CAF, labda kama wanataka kutuhujumu” Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, akiongelea Kwa-Mkapa kufungiwa na CAF kwa pitch mbaya

“Uwanja uko tayari kwa ukaguzi wa CAF hata leo au kesho,Simba watacheza Robo fainali yao. Serikali imefanya kazi kubwa sana kwa kushirikiana na TFF & CAF, labda kama wanataka kutuhujumu” Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, akiongelea Kwa-Mkapa kufungiwa na CAF kwa pitch mbaya

31,262 views

UBAYAAAAA, UBWELAAAAAA Wamefika FAINALI kwa kustahili, wamecheza mashindano haya kwa umakini mkubwa tangu mwanzo mpaka hapo walipo. Si ajabu wakirudi na Kikombe mwaka huu, uwakilishi wao kwenye ukanda wa CECAFA na Tanzania ni wa kupigia mfano.

UBAYAAAAA, UBWELAAAAAA Wamefika FAINALI kwa kustahili, wamecheza mashindano haya kwa umakini mkubwa tangu mwanzo mpaka hapo walipo. Si ajabu wakirudi na Kikombe mwaka huu, uwakilishi wao kwenye ukanda wa CECAFA na Tanzania ni wa kupigia mfano.

18,773 views

Uchambuzi kabla ya mchezo wa leo kati ya Stellenbosch na Simba SC pale Durban, kupitia DStv (TZ) ambapo umerushwa channel namba 225 (Soccer Africa), tunamwaga yai lililochanganywa na lugha mama

Uchambuzi kabla ya mchezo wa leo kati ya Stellenbosch na Simba SC pale Durban, kupitia DStv (TZ) ambapo umerushwa channel namba 225 (Soccer Africa), tunamwaga yai lililochanganywa na lugha mama

18,199 views

I’m humbled 🙏🙏🙏

I’m humbled 🙏🙏🙏

17,816 views

Videos

No more content to load