Bin Kazumari's banner
Bin Kazumari's profile picture

Bin Kazumari

@jemedarisaid119,236 subscribers

Public Figure

Shorts

GK wa Coastal Union amekuwa na mechi nzuri kwa dakika 90, BAHATİ MBAYA sana yeye ndio ameifungisha timu yake bao 1 ambalo GONGOWAZI wamepata na kushinda 1-0. Kimsingi kama GK huwezi kuucheza mpira, baki golini, that simple. Vinginevyo ulikuwa mchezo wenye thamani ya Ligi Kuu.

GK wa Coastal Union amekuwa na mechi nzuri kwa dakika 90, BAHATİ MBAYA sana yeye ndio ameifungisha timu yake bao 1 ambalo GONGOWAZI wamepata na kushinda 1-0. Kimsingi kama GK huwezi kuucheza mpira, baki golini, that simple. Vinginevyo ulikuwa mchezo wenye thamani ya Ligi Kuu.

59,827 次观看

FT: Yanga 1-0 KMC Nchi haina makipa, hawa hakuna anaewapa pesa kufungisha hawana uwezo tu. Wengine hawana hata sifa ya kuwa makipa wa akiba kwenye klabu ya Ligi Kuu.

FT: Yanga 1-0 KMC Nchi haina makipa, hawa hakuna anaewapa pesa kufungisha hawana uwezo tu. Wengine hawana hata sifa ya kuwa makipa wa akiba kwenye klabu ya Ligi Kuu.

120,528 次观看

“Niwe mkweli Yanga Afrika msimu uliopita wameanza kucheza kimataifa sikufahamu sana kuhusu Yanga, kwetu sisi, kwa miaka saba iliyopita nilikuwa nafanyakazi Morocco na tuliwaona kila mara Simba kwenye mashindano ya namna hii…” Miguel Garmond kocha wa Yanga

“Niwe mkweli Yanga Afrika msimu uliopita wameanza kucheza kimataifa sikufahamu sana kuhusu Yanga, kwetu sisi, kwa miaka saba iliyopita nilikuwa nafanyakazi Morocco na tuliwaona kila mara Simba kwenye mashindano ya namna hii…” Miguel Garmond kocha wa Yanga

65,129 次观看

Pashakua Pagumu 😂😂😂

Pashakua Pagumu 😂😂😂

44,477 次观看

Ukiuza Samaki lazima uwajue majina. Kahama hapo napokea mali mbele ya difenda halafu nageuka, nataka kushuti jamaa akaingilia mipango ikaharibika.

Ukiuza Samaki lazima uwajue majina. Kahama hapo napokea mali mbele ya difenda halafu nageuka, nataka kushuti jamaa akaingilia mipango ikaharibika.

11,748 次观看

UBAYAAAAA, UBWELAAAAAA Wamefika FAINALI kwa kustahili, wamecheza mashindano haya kwa umakini mkubwa tangu mwanzo mpaka hapo walipo. Si ajabu wakirudi na Kikombe mwaka huu, uwakilishi wao kwenye ukanda wa CECAFA na Tanzania ni wa kupigia mfano.

UBAYAAAAA, UBWELAAAAAA Wamefika FAINALI kwa kustahili, wamecheza mashindano haya kwa umakini mkubwa tangu mwanzo mpaka hapo walipo. Si ajabu wakirudi na Kikombe mwaka huu, uwakilishi wao kwenye ukanda wa CECAFA na Tanzania ni wa kupigia mfano.

18,783 次观看

Uchambuzi kabla ya mchezo wa leo kati ya Stellenbosch na Simba SC pale Durban, kupitia DStv (TZ) ambapo umerushwa channel namba 225 (Soccer Africa), tunamwaga yai lililochanganywa na lugha mama

Uchambuzi kabla ya mchezo wa leo kati ya Stellenbosch na Simba SC pale Durban, kupitia DStv (TZ) ambapo umerushwa channel namba 225 (Soccer Africa), tunamwaga yai lililochanganywa na lugha mama

18,237 次观看

I’m humbled 🙏🙏🙏

I’m humbled 🙏🙏🙏

17,820 次观看

Videos

jemedarisaid's profile picture

I’m humbled 🙏🙏🙏

Bin Kazumari

17,820 次观看 • 1 年前

没有更多内容可加载