
joseph_selasini
@joeselasini • 90,851 subscribers
Jesus is truly Present in the Eucharist.
Shorts
Videos

Walianza: - kukataza kuonyesha kesi mubashara. - wakaleta mashahidi kwenye vibox. - sasa wanapunguza wasikilizaji. Lissu alisema "kama dhamira ni kuniuwa niuweni hadharani watu wakiona." Makakama inatia kinyaa. Nyerere alionya; polisi na mahakama vikikamatwa amani itapotea.
joseph_selasini12,090 Aufrufe • vor 3 Tagen

Naibu Waziri wa Elimu wa Tanganyika Wanu Hafidhi. 😂😂😂😂😂
joseph_selasini76,736 Aufrufe • vor 2 Monaten

Hiki chama kinaleta taharuki huko KATORO kifuteni 😂😂; hata kile kinachosaidiwa na dola hakifui dafu. Walidhani wanamfuata LISSU wakamkamata imekuwa balaa. Raia wako na chama chao. Hata mipango ya kumkamata John Heche haitawarudisha nyuma. Ni jeshi linalozidi kusonga mbele.
joseph_selasini32,500 Aufrufe • vor 29 Tagen

Tumekuwa wajinga kiasi hiki; mambo ya kushikwa bega yamemfikia afisa magereza 😅😅😅
joseph_selasini49,504 Aufrufe • vor 1 Monat

"Parokia ya Mtakatifu Father Mapendo." "Tunamuombea kwa jina la Baba Mtakatifu." Anaefanya ujinga huu afanye kautafiti au ahusishe wenye akili. Kanisa jimbo kuu la DSM halina parokia ya Mtakatifu Father Mapendo. Hatuombi kwa jina la Baba Mtakatifu. Mnamwaibisha mnaemtumikia.
joseph_selasini46,765 Aufrufe • vor 4 Monaten

Dharau za Wazanzibar kwa Watanganyika zimetoka ktk kero za Muungano kuhamia kwenye dini. Haya matusi sidhani Mashekhe wa Tanganyika wataendelea kuuchambua Ukristu na kuacha hili lipite. Kwani Muungano Una faida gani kwa sasa? Ulinzi? Kombora linaweza toka Marekani hadi Dodoma.
joseph_selasini24,192 Aufrufe • vor 2 Monaten

Kwamba hii akili wajumbe wote wa kamati ya Chande hawana?
joseph_selasini11,860 Aufrufe • vor 1 Monat

Hali ya nchi sio mzuri. Wapumbavu wanapuuza na kupambana na Chadema utadhani ndio waliouwawa peke yao au ndio wauwaji ilhali inajulikana wauwaji ni vyombo vya dola. Hatua za haraka za uwajibikaji zisipochukuliwa ili kuwatuliza wananchi tunakoelekea ni kibaya zaidi.
joseph_selasini16,638 Aufrufe • vor 2 Monaten
