joseph_selasini's banner
joseph_selasini's profile picture

joseph_selasini

@joeselasini90,851 subscribers

Jesus is truly Present in the Eucharist.

Shorts

Wanaotengeneza hizi video za AI kumsakama Fr Kitima wamesaidia kuwaamsha Wakatoliki kurudi kwenye Katekesi(mafundisho) kuwajibu. UVCCM wanadhani siasa ni kwa wanasiasa tu. Baada ya kudhoofisha vyama vya upinzani sasa hawana cha kujibu zaidi ya kipambana na Fr Kitima.

Wanaotengeneza hizi video za AI kumsakama Fr Kitima wamesaidia kuwaamsha Wakatoliki kurudi kwenye Katekesi(mafundisho) kuwajibu. UVCCM wanadhani siasa ni kwa wanasiasa tu. Baada ya kudhoofisha vyama vya upinzani sasa hawana cha kujibu zaidi ya kipambana na Fr Kitima.

37,716 просмотров

Baada ya ujumbe wa jana wa Capt Tesha, wananchi wanaonyesha furaha, mapenzi na tumaini lao kwa wanajeshi wakiwa ndani ya gari lao mitaani.😂😂😂 Raia hawana imani na chombo kingine zaidi ya jeshi. Kwanini tusiache kiburi na kutafuta muafaka wa taifa kabla mambo hayajaharibika?

Baada ya ujumbe wa jana wa Capt Tesha, wananchi wanaonyesha furaha, mapenzi na tumaini lao kwa wanajeshi wakiwa ndani ya gari lao mitaani.😂😂😂 Raia hawana imani na chombo kingine zaidi ya jeshi. Kwanini tusiache kiburi na kutafuta muafaka wa taifa kabla mambo hayajaharibika?

52,609 просмотров

Kuna viwango vya umilivu kwa kila binadamu na jamii. Huyo ni Wakili Deogratius Mahinyila akikamatwa mbele ya Mahakama kuu DSM. Ukamataji huo wa kinyama unavumilika? Mamlaka zilikemea? Wakili mahakamani ni ofisini kwake wasingeweza kutumia njia nyingine kama walikuwa na haja nae?

Kuna viwango vya umilivu kwa kila binadamu na jamii. Huyo ni Wakili Deogratius Mahinyila akikamatwa mbele ya Mahakama kuu DSM. Ukamataji huo wa kinyama unavumilika? Mamlaka zilikemea? Wakili mahakamani ni ofisini kwake wasingeweza kutumia njia nyingine kama walikuwa na haja nae?

36,970 просмотров

Ujumbe ndio huo; mtauwa wasema kweli wangapi?

Ujumbe ndio huo; mtauwa wasema kweli wangapi?

10,368 просмотров

Videos

joeselasini's profile picture

Mhe Kessy anatakiwa sana ktk kipindi hiki.

joseph_selasini

15,671 просмотров • 3 дней назад

joeselasini's profile picture

Hii hesabu ngumu sana. Wataalam naomba msaada wenu.

joseph_selasini

116,778 просмотров • 2 месяцев назад

joeselasini's profile picture

Dah! eh! haya bwana wakili.

joseph_selasini

70,958 просмотров • 9 месяцев назад

joeselasini's profile picture

Kwamba hii akili wajumbe wote wa kamati ya Chande hawana?

joseph_selasini

11,860 просмотров • 1 месяц назад