
joseph_selasini
@joeselasini • 90,851 subscribers
Jesus is truly Present in the Eucharist.
Shorts
Videos

Walianza: - kukataza kuonyesha kesi mubashara. - wakaleta mashahidi kwenye vibox. - sasa wanapunguza wasikilizaji. Lissu alisema "kama dhamira ni kuniuwa niuweni hadharani watu wakiona." Makakama inatia kinyaa. Nyerere alionya; polisi na mahakama vikikamatwa amani itapotea.
joseph_selasini12,090 просмотров • 3 дней назад

Hii hesabu ngumu sana. Wataalam naomba msaada wenu.
joseph_selasini116,778 просмотров • 2 месяцев назад

Naibu Waziri wa Elimu wa Tanganyika Wanu Hafidhi. 😂😂😂😂😂
joseph_selasini76,736 просмотров • 2 месяцев назад

Hiki chama kinaleta taharuki huko KATORO kifuteni 😂😂; hata kile kinachosaidiwa na dola hakifui dafu. Walidhani wanamfuata LISSU wakamkamata imekuwa balaa. Raia wako na chama chao. Hata mipango ya kumkamata John Heche haitawarudisha nyuma. Ni jeshi linalozidi kusonga mbele.
joseph_selasini32,500 просмотров • 29 дней назад

Tumekuwa wajinga kiasi hiki; mambo ya kushikwa bega yamemfikia afisa magereza 😅😅😅
joseph_selasini49,504 просмотров • 1 месяц назад

Hawa hawafanani na Shekhe Alhad Mussa na Mwaipopo. Huku ndiko kumtumikia Mungu. Kusema kweli na kukemea uovu.
joseph_selasini13,272 просмотров • 16 дней назад

"Parokia ya Mtakatifu Father Mapendo." "Tunamuombea kwa jina la Baba Mtakatifu." Anaefanya ujinga huu afanye kautafiti au ahusishe wenye akili. Kanisa jimbo kuu la DSM halina parokia ya Mtakatifu Father Mapendo. Hatuombi kwa jina la Baba Mtakatifu. Mnamwaibisha mnaemtumikia.
joseph_selasini46,765 просмотров • 4 месяцев назад

Dharau za Wazanzibar kwa Watanganyika zimetoka ktk kero za Muungano kuhamia kwenye dini. Haya matusi sidhani Mashekhe wa Tanganyika wataendelea kuuchambua Ukristu na kuacha hili lipite. Kwani Muungano Una faida gani kwa sasa? Ulinzi? Kombora linaweza toka Marekani hadi Dodoma.
joseph_selasini24,192 просмотров • 2 месяцев назад

Huyu ndie Pastor aliyezuiwa kuhubiri Tabora eti kwa sababu ya mwelekeo wa ushoga. Msikilize. Vyombo vilivyompa taarifa ni vile vya nyumbani kwa ajili ya kupikia au vyombo vya dola? RC anatafuta umaarufu Kwa kudhihaki imani za watu au anatatizo na rangi?
joseph_selasini21,497 просмотров • 2 месяцев назад

Kwamba hii akili wajumbe wote wa kamati ya Chande hawana?
joseph_selasini11,860 просмотров • 1 месяц назад

Hali ya nchi sio mzuri. Wapumbavu wanapuuza na kupambana na Chadema utadhani ndio waliouwawa peke yao au ndio wauwaji ilhali inajulikana wauwaji ni vyombo vya dola. Hatua za haraka za uwajibikaji zisipochukuliwa ili kuwatuliza wananchi tunakoelekea ni kibaya zaidi.
joseph_selasini16,638 просмотров • 2 месяцев назад
