
Kwame Kivaisi
@kwamekivaisi • 123,066 subscribers
Pan Africanist
Shorts
Videos

Hatari sana hii. Halafu wewe uende Ubelgiji sio? Ngoja tutaona. Tutakuwepo!
Kwame Kivaisi179,650 просмотров • 1 год назад

Mdau anasema hivi ni vichekesho na vilianza zamani na huwa vinakuja na kupita kwa msimu. Huyu ni Mrema 1995.
Kwame Kivaisi85,720 просмотров • 1 год назад

Hapa ni Masasi Mjini ambako jimbo zima hawa watu wana wanachama hai wasiozidi buku. Hapo uwanjani wamekuja watu wasiozidi 100. Siasa haina muujiza. HAMNA WATU na mlichokiona Masasi Mjini ni matokeo ya huu ukweli. Hii hali mtakutana nayo kila mnapokwenda hadi tunafika uchaguzi.
Kwame Kivaisi77,706 просмотров • 1 год назад

Kazi ya siasa imekuwa ngumu wameingia kwenye tasnia ya kutengeneza filamu 👏🏿👏🏿👏🏿
Kwame Kivaisi62,694 просмотров • 1 год назад

Ndugu Mwenyekiti, Mheshimiwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na JWTZ, uasi ni uhaini ama ukitajwa kwa mzaha ama kwa kumaanisha na ni hatari namba moja ya uhai na amani ya nchi. Hizi ni kauli mbaya kwa nchi yetu toka kwa huyu mkazi wa Tegeta na Ubelgiji.
Kwame Kivaisi51,800 просмотров • 1 год назад

ZA NDANI KABISA Tundu anataka kumfukuza Freeman na kumpokonya kadi. Anasema jamaa ndo anamkwamisha kufanya kazi. Siku niliwaambia Tundu ni mgonjwa wa akili na dikteta ambaye hajatoboa mkasema nina chuki. Subirini muone kazi ya chizi wodi ya vichaa. HAWAPONI. Hifadhini hii posti.
Kwame Kivaisi47,837 просмотров • 1 год назад

What Larry Madowo, CNN and commercial activists want the world to believe were peaceful protestors in Tanzania😅
Kwame Kivaisi24,908 просмотров • 7 месяцев назад

A “peaceful protestor” in Tanzania celebrating his peaceful protest after burning down a fuel station and several cars.
Kwame Kivaisi21,035 просмотров • 8 месяцев назад

These are not “peaceful protestors”. These are criminals. #Tanzania
Kwame Kivaisi16,640 просмотров • 8 месяцев назад
Больше нет контента для загрузки