Think Different's banner
Think Different's profile picture

Think Different

@lifeofmshaba454,389 subscribers

#ChangeTanzania |#KatibaMpya | #WenyeNchiWananchi | #ARUDISHULE |Personal Views| God Is Good All The Time

Shorts

Kwani CCM hakuna watu wazima siku hizi ? Na hii hali Tuliyonayo tuna spika ana slay !!? Huyu sio drug abuser kweli ? Mbona hata kusoma chakati awezi? Huyu ni mzima ?

Kwani CCM hakuna watu wazima siku hizi ? Na hii hali Tuliyonayo tuna spika ana slay !!? Huyu sio drug abuser kweli ? Mbona hata kusoma chakati awezi? Huyu ni mzima ?

108,345 views

Nchi imeanza kuamka, Tutafika mahali pazuri sio muda , Hali imeanza kukaa sawa wananchi wanajitambua sasa, na wanakwenda kuikomboa hii nchi sio muda

Nchi imeanza kuamka, Tutafika mahali pazuri sio muda , Hali imeanza kukaa sawa wananchi wanajitambua sasa, na wanakwenda kuikomboa hii nchi sio muda

39,970 views

Hawa walipokuja mara ya kwanza alimtaja Mafwele na Waziri Rajabu Iliposhindikana kuchukua nyumba walisema watamtafuta kwa njia tofauti

Hawa walipokuja mara ya kwanza alimtaja Mafwele na Waziri Rajabu Iliposhindikana kuchukua nyumba walisema watamtafuta kwa njia tofauti

36,863 views

Bongo flava na wasanii waliweka ulafi mbele

Bongo flava na wasanii waliweka ulafi mbele

13,314 views

CCM wengi walisha left group

CCM wengi walisha left group

21,448 views

Videos

lifeofmshaba's profile picture

Kwa msiojua anachosema huyu mwana wa wana mtandao — Ikuluu imeomba kutumia Trilion 1.5 — Fedha kwa matumizi ya kawaida trilioni moja hii ni kwa ajili ya ulinzi , TISS NA SAFARI za Raisi pamoja na nguo na chai za Ikulu hayo ndio uwa matumizi ya kawaida , mishahara ya watu wa ikulu na TISS, hii pesa yote haikaguliwi na CAG ni ya Iddi Amin mama kugawana na washikaji wake — Pia inatumika kwenye matukio na sherehe za Ikulu iko kwenye hiyo trilion pia haikaguliwi na CAG kwa kifupi hiyo Trilion ni pesa ya mfukoni ya Samia kwa maana nyingine hiyo Trillion moja ndio sadaka tumetoa kwa maisha ya Samia Ikulu na wenzake — Wameomba pia billion 500 kwa matumizi ya maendeleo, Hii inakwenda kwenye ukarabati wa Ikulu , kununua mapazia , magari , kununua siraha za TISS na uniform, kujenga Ikulu au chochote hapo ikulu , kununu furniture za ndani , kununua mapambo ya Ikulu Hii pia haikaguliwi na CAG uwezi thibitisha imetumikaje Fedha yote hii inazidi matumizi ya wilaya ya Afya , inadizi matumizi ya bodi ya mikopo kwa wanafunzi nchi nzima Inazidi mbali bajeti ya kilimo nchi nzima , inalingana na matumizi ya Wizara ya ujenzi inakaribiana na bajeti ya nchi nzima ya Jeshi lote Inazidi matumizi ya polisi , inazidi bajeti ya maji nchi nzima Ndio maana tunataka katiba mpya Hatuitaji trilioni 1.5 isiyokaguliwa kwa usawa huu, ambayo ni pelemende kwa mtu mmoja Machawa wote wanalipwa na hii bajeti Hii ni bajeti pekee utekelezwa kwa 100% yaani pesa yote inapatikana na kupelekwa IKULU , hizo bajeti nyingine uwa zinatekelezwa kwa 40% or chini kuna ambazo uwa wanasoma lakini mwisho wa siku wanapeleka pesa 35% na ndio maana unasikia kama barabara wanasema Barabara moja hata kwa miaka 4 sababu bajeti haikutekelezwa kwa 100% Lakini hii ya IKULU uwa wanapelekewa pesa kwenye malori kutoka BoT kisha wanaanza tumia watakavyo Hakuna pesa ya bure dunia kama hii, kuna wakati Kikwete akiwa Raisi Ikulu ilinunua mapazi ya million 300 ikavuja na kuleta maneno Kuna hizo saa na pete za millioni 400 anazofaa Samia zinatoka kwenye hii bajeti Kuna nguo hizo mnaona anavaa za mabilioni zinatoka kwenye hii bajeti Kwa ukubwa wa TISS na kwa namna ambayo tayari imeshawekezwa hata kutumia billion 500 ni nyingi sana Hii ndio pesa mara furani Samia amekwenda na wasanii Korea wakafanyia shopping mabegi mawili yamejaa kila msanii na kupewa pesa ndefu Ndio pesa pia ilitumika marekani kufunga Hotel mbili zimejaa machawa na wasanii wakiwemo waandishi wa habari ikaleta gumzo kubwa

Think Different

28,415 views • 1 month ago

lifeofmshaba's profile picture

Wanaficha ukweli

Think Different

22,964 views • 1 month ago