Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Tanzania tuko Matopeni hatujielewi
257,250 görüntüleme • 2 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Watanzania Ukitaka uone hasira zao ziguse Simba na Yanga au Mwamposa 🚮

Pitia hii ndio utaelewa wa tz ni mazuzu

Jamaa limetuchamba lakini limesema ukwelii wa TZ sisi ni makunguru tu kmmke👀

Manipulation ya social engineering imefanikiwa Tanzania kuliko sehemu yoyote ukiacha marekani, social engineering ni ku-i programu akili ya jamii, kuanzisha hofu katika nyuzi fulani, kuinyima baadhi ya dondoo na maarifa muhimu ambayo yangeweza kubadili dhana zao, kuanzisha vitu..

Kabisa, sisi ni matopeni

Sisi Watanzania Tuuzwe Tu mana hatuna Akili, Kenya Kujeni tu kuchukua madini yetu mana Sisi wenyewe yani kila kitu hatuelewi, Tutakuja nchi hii iuzwe Na bado tupo kimya, Nawanachi watasifia Uongozi kaz nzur just imagne 😂😂😂

"Sio kukaa kama KONDOO ya kienyeji... Unaambiwa GOOD MORNING unakodoa macho kama CHURA" 😂😂😂😂😂😂😂😂 jamaa ana matusi huyu ila sisi tunaanguka nayo😂😂

Tutajitukana mbaka lini tupangeni maandamano ndio kilicho baki hii statement vuguvugu lake lianzishwe

Watuache wapumbavu wakubwa hao wakenya. Haiwahusu sio kila lao ni zuri kwa wengine. Linalowauma ni kitu gani. Uchafuzi na ushenzi tupu.

Kauli ya Dr. Bashiru Ally Kakurwa alisema Viongozi wanapaswa kutishwa na wananchi siyo kusifiwa, ndiyo hicho anachosema Mkenya. Chakula kwa Kenya ni shujaa
