
Think Different
@lifeofmshaba • 454,906 subscribers
#ChangeTanzania |#KatibaMpya | #WenyeNchiWananchi | #ARUDISHULE |Personal Views| God Is Good All The Time
Shorts
Videos

BAKWATA wameona jamaa ameumbuka wameona wamkimbie, Huyu Binti na mwanae amenyanyashwa sana na sheikh mpaka kwenye makesi. Halafu anatishwa na kupewa pesa ndogo ndogo na watawala. Kila siku tunasema mahakama haina meno hii ni koko Walid aligoma kwenye mahakamani na hakuna kitu mahakama iliweza fanya, huyu ni sheikh tu anaweza fnaya mambo kama haya, je likiongozi la CCM ? Nchi imeoza , watu hawana huruma hata kwa mabinti watoto wenye watoto
Think Different111,901 görüntüleme • 10 gün önce

AIBU YA MWAKA HUKO RUSIA KWA MWENYE PhD 8 SWALI ALILOULIZWA SAMIA KWA MARAISI WA CCM NI MPAKA au NYERERE TU WANGETOBOA. Samia ameulizwa swali na mwandishi wa Habari wa Russia, tena kwenye mkutano ambao uko chini ya control ya serikali au Putin. Swali limeulizwa: 'Sisi tunafanyaje maendeleo na ushirikiano wakati kuna vikwazo?' Wakati swali linaulizwa, unaona Putin anatabasamu kwa bashasha kubwa, maana hapo ndipo Putin alitaka kujua: 'Hapa tuna rafiki au msanii tu?' Malengo ya lile swali hili ilikuwa ni Samia ongee akiwa kwenye ardhi ya Russia na kupeleka moto mkali kwa Marekani na Ulaya. Haya ni maswali ya kijasusi, si maswali ya moja kwa moja kujibiwa kienyeji kama alivyofanya, akaanza kulia kwamba ana uhusiano na Ulaya hakuna vikwazo. Hahaha, Putin yeye hana la kumtisha na Ulaya au Marekani, alitaka sasa aone Samia akijitoa kwenye network na kuongea kama kiongozi wa Korea Kaskazini na kujipiga kifua kwamba sisi vikwazo siyo kitisho kwetu, tuko huru, bla bla, tunasimama wenyewe, hatutaki kuingiliwa. Hayo ndiyo majibu Putin alikuwa anasikiliza, sababu kwa mazungumzo ya chumbani, Samia najiona mwamba kwamba yeye atishiki. Sasa walimtia pale kwenye ubao aongee tena hayo anayosema. Akashindwa, na mbaya zaidi, akabadilisha na lugha kabisa kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili. Kwa wenye akili kama ya Putin, washajua kwamba hapo hakuna mtu ni msanii tu anasaka pesa, Putin sio boya alisha mseti aseme mbele ya Dunia. Swali lenyewe liliunganishwa kwenye angle ya Ukraine, kama angekuwa na akili kidogo kusoma chumba, angesoma kwamba hapo ni wakati wa kuchagua mchumba mmoja, Rusia au Magharibi, akaamua kutembelea vyombo vyote. Kitu ambacho hakimsaidi ni kwamba kuwa na Putin tu pale ni kimeo. Putin kweli, malengo yake yametimia, wewe mwenye PhD 10 umeshindwa kuelewa walioulizwa nini. Anaruka akisema mimi sina vikwazo. Mwandishi wa Habari wa Urusi ametumwa na serikali ya Urusi, wanajua vikwazo vyanavyo, sasa unaambiwa na Urusi una vikwazo, wewe unamkatalia KGB? Wao wanafanyia kazi mambo ya mbele, wamesha confirm kwamba unapigwa vikwazo kila kona, unakana? Kwa kifupi, Rusia walikua wanamwambia Samia: kwamba wewe una vikwazo tayari je tunasonga vipi mbele na wewe? Kama uwezi kukoma kwenye mazingira ya vikwazo hatuna cha kufanya na wewe, na Samia ameshindwa kuonyesha mkakati alionao ili kufanya ushirikiano akiwa na vikwazo. Kwa Dunia ya sasa hakuna Kiongozi yeyote anayekwenda Rusia kwa sasa ambayo bado anapambana kuwa na mahusiano na Ulaya na Marekani, unapo chagua ushirika na Rusia unaachana na ushirikiano na Mataifa hayo mengine, haiwezekane ukalamba kotekote sababu hali ya sasa Dunia inakataa kutokana na Rusia kuwa kwenye mgogoro wa Kijeshi na hayo mataifa mengine. Hivi inawezekana vipi Ulaya wakaachana mpaka na nishati ya Gas ya kutoka Rusia wananchi wao wakateseka, halafu Tanzania ikaenda Rusia kufanya biashara na Mrusi kisha Tanzania hiyo hiyo ikaenda Ulaya na Marekani kufaidia na misaada na biashara pia ? Huu ujinga mbona ni wa kiwango cha lami? Matarajio ya kila mtu ilikuwa ni hii safari ya maCCM huko Rusia ni kufunga ndoa na Rusia na kuachana na Magharibi yenye masharti mengi ya haki za binadamu na demokrasia kwamba hii ndio ilikuwa point ya safari . Kwa hiyo Suala la vikwazo lilikuwa si la kukana; lilikuwa la kuelezea yeye, Samia, anapitisha vipi serikali ya CCM kwenye hivyo vikwazo au anakomaa vipi kwenye ushirikiano wake na Russia wakati huo akiwa na vikwazo hapo Putin angepima kama amepata mdau. Akili zimeganda, mnakomalia madaraka. Unakubali kwenda kuongea mbele ya media za nchi zinazosoma usichosema. Rusia ni majasusi wanajua vizuri Tayari ni suala la muda tu kina umma vikwazo vinakuja, sasa unawabishia Rusia wanajua nini kilitokea Tanzania, Lakini wanajua mambo ambayo Samia amezungumza baada ya kufanya mauaji ( nimeweka video moja hapo chini) , Nchi kama Rusia unapokwenda wanakuchungulia kwa darubini , KGB wanafanyakazi yao vizuri kujua mgeni ni wa aina
Think Different94,544 görüntüleme • 1 ay önce

Wahuni walikuwa wamejipanga kuimaliza kabisa CHADEMA na mipesa kibao waliaanza gawana Kufanya Press unapigwa million 3 Hila hii nchi watu wana Njaa, kusaliti umma unafanya kwa millioni 3 ? wakati Samia na Mwanae wana magari ya mabilioni? Abdul ana gari billion 5 hataki hata haya ma V8 naona takataka Halafu kutetea mtu kama huyu ni million 3? maana unaposhambulia upinzani au wanaharakati unachofanya ni kupalilia ufisadi wa Kikwete, Samia na CCM wanaotafuna hii nchi kama Mchwa, halafu unapewa million 3 ?!!! kama sio ujinga mkubwa ni nini? njaa tupu CHAGUA CHADEM tuendelea mapambano ya mabadiliko nchini, tutapunguza hata hizi njaa zinazodhalilisha watu M-Pesa Namba: 0744446969 Jina: CHADEMA HQ NMB Bank Namba ya Akaunti: 22606600140 Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Think Different23,031 görüntüleme • 12 gün önce

Hii imesaidia kudhibitisha wanaomshambulia Heche wote ni mawakala wa CCM, Hakuna namna huyu UVCCM afanyekazi ambayo sio ya CCM Huu ni udhibitisho mwingine wale NYOKA wa CHAUMMA ni watumishi wa CCM, wanafanyakazi na UVCCM Wale jamaa wa CHAUMMA kuweni nao makini, wako desperate, wanaweza kukuchomesha hata kwa mapolisi ukatikwa, wamefikia hatua mbaya sana
Think Different17,410 görüntüleme • 9 gün önce

Hii ndio sura alipata Dangote akaona bora kwenda kuwekeza Kenya Samia ana mgogoro mkubwa na wananchi na Dunia yote inajua Kwa sasa Tanzania ni nchi iliyopinduliwa na kundi la wahuni waliotumia mtutu october 2025 CCM kwa akili yenu mlipuuza #NoReformNoElection sasa bomu linakwenda kulipuka hapa ni hatari tupu
Think Different28,305 görüntüleme • 17 gün önce

Hili CHAGA jinga sijawahi ona Linaongea upumbavu mwingi, Mdude , Soka na Polepole kuna evidence kabisa Mimi mwenyewe David Djumbe na Maria Sarungi Tsehai watekaji wametufanyia utekaji mbele za watu na baadhi wamekamatwa Halafu huyu mpumbavu anasema hakuna utekaji? Ngoja tu nyakati za kuwajibika zikifika, hizo pesa mnapewa tunzeni.
Think Different18,978 görüntüleme • 11 gün önce

Mama Maria Nyerere pamoja ya uzee wake mwingi sana Akili yake iko vyema , ukiunganisha weledi na akili za Kikwete, Samia , Mwigulu , Kabudi na Baraza lote la Mawaziri Bibi wa Taifa ni bibi kweli wote hao wanaongea ujinga ujinga Mama Maria Nyerere anasema Taifa litajengwa na Gen Z ambao wanafanya maandamano kiza cha Tatu kwenye ukombozi Kizazi cha kwanza = Nyerere , Mwinyi, Warioba , Sarungi, Mkapa , Kikwete , Mbowe, Dr Slaa, Wasira , Bi Msumi, Zungu , Pinda n.k Kizazi cha Pili = January , Mwigulu, Lissu, Mnyika , Mwinyi, na asilimia kubwa ya takataka zikizopo Bungeni na wenye umri mpaka 1997 Kiza cha Tatu = Kiongozwa Gen Z , hawako madarakani ila wanapambana na kizazi cha kwanza na cha pili Tunakushukuru Bibi Wa Taifa, Umekuwa mnyoofu hata nyakati ngumu
Think Different28,467 görüntüleme • 20 gün önce

Hii video imejaa ukweli mtupu, kuna mambo watu wanakwepa kuyasema hasa kuhusu hali ya usalama na mauaji ya watanganyika kwa sasa -- Kuna mauaji makubwa sana ya wakristo, makubwa sana -- Kuna viongozi wa dini wakristo wameshambuliwa sana, lakini mtu kama Mwaipopo yuko mtaani, angesema hayo maneno mkristo ingekuwa balaa -- Kuna viongozi wa Dini wakristo usalama wao umeharibika mpaka wamekimbia nchi -- Kuna vijana wengi wa kristo hasa wa kiume wanauwawa kwa kasi sana na hii serikali, VIJANA WA KIUME, sijui kama mnaelewa maana yake nini kwenye ukoo na uzazi hasa kwa tamaduni za kitanzania -- Wazanzibar karibu wote wako upande wa matendo ya Samia, nadhani hata juzi mmeona Jusa, anasema wazanzibar wanapokutana, issue ya Jusa pale ni uzanzibar na udini mtupu, lakini sio kwamba hajui matendo ya Samia sio ya mwanasiasa, ila anachofanya samia kinamfurahisha kama sababu ya kufanana naye uzanzibar na dini sio suala jingine -- Mauji ya October ilikuwa ni zaidi ya uchaguzi ilikuwa ni message, yalifanywa na vikundi kutoka Zanzibar na jeshi la waganda, lakini kikosi kilichochinja sana watu kwa risasi kilitoka Zanzibar, lakini hakuna hata SISIMIZI aligushwa kule Zanzibar kama mnafikiria Samia fanyi haya mambo kwa msukumo wa kidini na Uzanzibar mtakuwa mmepotea sana, Kuita wanaharakati Magaidi ni mwanzo wa damu anayotaka kumwaga, kesi zote anazotengeneza zimelenga kumwaga damu. Kesi aliyempa Lissu ni sababu anataka kumchinja kwa kushinikiza mahakama Watanganyika tuamke, tuko na shida kubwa sana mbele yetu, tuko na vita ya kisiasa lakini pia ya kiroho, hii chinja chinja sio ya kawaida, kushambulia wakristo sio hali ya kawaida, wale Mbwa mwitu wa mwaipopo wengi ni wazanzibar na wamepewa kibali kufanya hayo mambo na Ikulu, Kuna idadi kubwa sana ya Wazanzibar wanakuja Tanganyika kufanya kazi maalumu za Abdul, Hata Walinzi wa Samia kwa sasa wote ni Wazanzibar, IKULU imejaa wazanzibar kwa 85% na Jeshi komandi zake 90% ni wazanzibar kwa malengo yale yale, kutofyeka Watanzania
Think Different16,478 görüntüleme • 11 gün önce

Kosa la Nchimbi ni iki kijembe kwamba Samia anaharibi watu maisha, hata Magufuli alikuwa na limit na alikuwa na shukuruni. Kwa wasiojua miongoni mwa watu waliokabidhia Samia kumfundisha siasa ni Nchimbi, alipokuwa mweupe ametolewa kwenye upapai, baaday kuhitimu hiyo shughuli akaanza kuwa na mentor, na Mentor wake mmoja wapo ni Nchimbi . Lakini kuna kauli kwamba sisi wote tumeinuliwa na Magufuli yaani yeye Bi Msumi asibabaishe watu hata yeye ni matokeo ya Magufuli kama wengine. Sasa Bi Msumi kila mtu anataka kumtoa roho, sio maaskofu, wanaharakati wala wanasiasa, yeye kila mtu kijana wake akiamuka amepiga vitu anaanza kuwindwa. Na msibani akwenda, Kwenye hii vita, Bi Msumi ashindwatu huyu ni ndugu ya shetani anakali kali sana kwenye kuua watu, roho yake ni nyeusi sana
Think Different50,523 görüntüleme • 1 ay önce

TISS mmeshindwa kutengeneza movie ? Mbona hii movie yenu inaboa haina utamu ya ovyo kabisa
Think Different69,420 görüntüleme • 2 ay önce
0:45
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Kusema ukweli hii BBC EYE imenipa machungu sana, kwamba huyu bibi anaweza mtesa Lissu watu kavumilia tu yaani? watanganyika wote tumeruhusu huu ushenzi kuendelea? Samia ana giza kubwa moyo mwaka, hapo IKULU anazungumza na kutuchukualia watanganyika kama wanyama tu, yeye anamuona Lissu kama kuku tu, hawezi kuwa na huruma naye, ana roho ina giza kali yawezekana ni kutoka na history yake ngumu aliyopitia, kumbukeni alipoteza ndoto zake akiwa na umri mdogo sana, hii mpaka kuja kuwa hapo alipo ni ajali, hizi ajali tunatakiwa zizuia kwa kutumia katiba, mtu asiye na ELIMU akamwe asije kuliongoza tena hili TAIFA, na viongozi wapimwe akili na history zao lazima ziwe na viwango hii kuokota okota okota watu matokeo yeke ndio haya Lissu anateseka Jela kinamvizia kumchinja kwa kupewa hukumu kinayotaka na majaji ambao hawa weledi wala uhuru Tusikubali sana huu upuuzi kuendelea, na nyie wazalendo kwenye mifumo matako yenu wote, mmevumilia huu upumbavu inetosha
Think Different12,866 görüntüleme • 11 gün önce

Kwa kifupi anasema niliua sababu walitaka nipindua Huyu amerahisha sana kazi ya ICC Hapa ni yeye kueleza tu walitumia hiyo nguvu yeye na nani nani walihusika kulinda hiyo dola anayosema Halafu kwani amepigiwa simu na Rais wa nchi gani mbona amepaniki hivi?
Think Different169,724 görüntüleme • 7 ay önce

Hakuna dikteta anajichanganya kama huyu Wakati akiwa Makamu alisema yeye ni namba mbili awezi kwenda kuwa namba tatu, baada ya muda Magufuli akafa Mbona yeye alikuwa anachafua vyeo anavyotaka leo anatuambia kuna mtu anamtunishia mabeba Kwenye nafasi zote Tanzania, mtu anayeweza mtunishia mabeba Samia ni Nchimbi pekee yake wengine wote ni wateule wake anaweza watoa akitaka hawawezi mvimbia ila kutoa Nchimbi kuna kama mchakato au afe Kufika kutuambia haya maneno ina maana huko ndani kumeungua sana, Nchimbi wewe peleka moto tu sisi hatujali mkitifuana ila binfasi kwa sasa huyu Samia hapana, huyu kazini hana mipaka ya roho zinazoweza potea, hakuna utawala umepoteza roho za watu namna hii na CCM hiyo hiyo mbovu
Think Different55,552 görüntüleme • 2 ay önce

Hili suala la Wanajeshi wa JWTZ kuumizwa Congo ni la muda mrefu na linakuja na kupotea , lakini uhalisia ni wana hali mbaya, wamegeuka target ya M23 CDF Mkunda amepotezea hili suala kwa muda mrefu, sasa tunaambiwa kuna pesa zimehusika na suala hili, kwa nini wanajeshi bado wako Congo kama hatuna vifaa vya kuwapa kujilinda vya kutosha?
Think Different29,761 görüntüleme • 1 ay önce

Kitila anasema bila kupambana na CCM hakuna namna tutapata #KatibaMpya anasema CCM wanatumia ubabe kama nchi nyingine za Afrika Kitila anasema bila kutoa CCM madarakani hakuna katiba Mpya tutapata, Wananchi ndio chimbuka la katiba sio serikali au chama Tawala
Think Different18,143 görüntüleme • 27 gün önce

Tunawashukuru sana ndugu zetu kwa kazi nzuri sana, nyi ni ndugu sio majirani tena
Think Different26,149 görüntüleme • 1 ay önce

Hawa jamaa ukiwaambia tupate katiba Mpya wanaanza kuleta longo longo hasa wakiwa kwenye kula, wakiwa na vyeo wanajiona kama miungu Wakitolewa kwenye vyeo wanageuka kama toilte paper iliyotumika kama walikuwa awatakiwi kukaa hapo kwa nini wasipokelewe kwa utaratibu, au huyo mlinzi alikuwa na sababu gani kunyoosha mikono hivyo mbele za watu ? Mtadhalilishwa sana sababu mlichagua kushirikiana na wahuni, sasa hamna hadhi mnadhalilishwa na video zinasambazwa mitandaoni Hii video inasambazwa muonekana takataka tu na huu ni mwanzo, na mtajua hasara ya kuumiza wananchi. Msipo tupu sasa mbele kuna balaa zaidi
Think Different51,919 görüntüleme • 3 ay önce

Waziri wa serikali batili ya mambo ya NDANI akipimana Nguvu na mwananchi Yeye ni mwana sheria lakini mwananchi amemzidi hoja akaamua kupandisha jaziba sasa mtu mjinga wa namna hii anawezaje simamia bunduri za nchi nzima? kama hapa tu anagombana namna hii, ukimkoroga kwenye kwa siri huko? si inakuwa kama Mc Pilipili
Think Different80,138 görüntüleme • 6 ay önce