Mohammed Dewji MO's banner
Mohammed Dewji MO's profile picture

Mohammed Dewji MO

@moodewji2,303,653 subscribers

Pan-African Entrepreneur, President @MeTL_Group & @SimbaSCTanzania, Philanthropist @DewjiFoundation, Georgetown Alumni #Hoya

Shorts

Hakuna Matata 🦁🌊

Hakuna Matata 🦁🌊

152,429 views

Dah: Wametunyima penalty: Kwanini hawaja counter check na VAR? Haki haijatendeka.

Dah: Wametunyima penalty: Kwanini hawaja counter check na VAR? Haki haijatendeka.

114,388 views

Najiandaa kuvaa jezi mpya ya Simba Sports Club. Wangapi mmeikubali? #TrueLove #Nguvumoja🦁

Najiandaa kuvaa jezi mpya ya Simba Sports Club. Wangapi mmeikubali? #TrueLove #Nguvumoja🦁

85,271 views

Hatushikiki ki ki ki… 🦁💪🏽 #Simba #Flex #Nguvumoja rashwan dirshad othm

Hatushikiki ki ki ki… 🦁💪🏽 #Simba #Flex #Nguvumoja rashwan dirshad othm

65,053 views

Ijumaa Iyoooo #TGIF #RahaJipeMwenyewe Opostudios Tunapoongoza kwa kusudi na maono, tusisahau pia kupumzika. Furahia wikendi na upate muda wa mapumziko.

Ijumaa Iyoooo #TGIF #RahaJipeMwenyewe Opostudios Tunapoongoza kwa kusudi na maono, tusisahau pia kupumzika. Furahia wikendi na upate muda wa mapumziko.

57,575 views

Alhamdulillah! Onward and upward 🙏🏽🙏🏽 #Simba #Nguvumoja🦁

Alhamdulillah! Onward and upward 🙏🏽🙏🏽 #Simba #Nguvumoja🦁

48,372 views

Kituo kinachofuata ni? Mafanikio hayana kikomo—Nguvu ya Kushinda ipo juu! 🚀🔥 #MOXtra #NguvuYaKushinda // What’s the next stop? Success knows no limits—Winning energy is always Up! 🚀🔥 #XtraEnergy

Kituo kinachofuata ni? Mafanikio hayana kikomo—Nguvu ya Kushinda ipo juu! 🚀🔥 #MOXtra #NguvuYaKushinda // What’s the next stop? Success knows no limits—Winning energy is always Up! 🚀🔥 #XtraEnergy

41,345 views

Amazing to host FIFA President Gianni Infantino in Dar es Salaam last night for the African Football League’s kickoff game! #AFL #NguvuMoja

Amazing to host FIFA President Gianni Infantino in Dar es Salaam last night for the African Football League’s kickoff game! #AFL #NguvuMoja

46,299 views

Throw back Thursday! Weka caption. #tbt #Mo

Throw back Thursday! Weka caption. #tbt #Mo

34,588 views

Maji saafi kuupoza mwili 🌊

Maji saafi kuupoza mwili 🌊

39,074 views

Tanzania bado inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama. Tafiti zinaonyesha tunahitaji takribani 540,000 units kwa mwaka, lakini kiwango kinachokusanywa bado kiko mbali na mahitaji ya taifa: hali inayowaathiri mama wanaojifungua, watoto, waathiriwa wa ajali, na wagonjwa wanaohitaji upasuaji wa dharura. Changamoto kuu ni uhaba wa wachangiaji wa hiari. Takwimu zinaonyesha kuwa wachangiaji wa mara kwa mara huchangia takribani theluthi moja tu ya mahitaji ya damu, hivyo zaidi ya 66% ya mahitaji bado hayajatimizwa. Damu yako inaweza kuwa sababu ya mtu kuishi kesho. Jiunge nasi kwenye blood drive na tuweke uhai mbele.🩸🇹🇿 #ChangiaDamu #OkoaMaisha #MoCares #SaveALife

Tanzania bado inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama. Tafiti zinaonyesha tunahitaji takribani 540,000 units kwa mwaka, lakini kiwango kinachokusanywa bado kiko mbali na mahitaji ya taifa: hali inayowaathiri mama wanaojifungua, watoto, waathiriwa wa ajali, na wagonjwa wanaohitaji upasuaji wa dharura. Changamoto kuu ni uhaba wa wachangiaji wa hiari. Takwimu zinaonyesha kuwa wachangiaji wa mara kwa mara huchangia takribani theluthi moja tu ya mahitaji ya damu, hivyo zaidi ya 66% ya mahitaji bado hayajatimizwa. Damu yako inaweza kuwa sababu ya mtu kuishi kesho. Jiunge nasi kwenye blood drive na tuweke uhai mbele.🩸🇹🇿 #ChangiaDamu #OkoaMaisha #MoCares #SaveALife

12,623 views

Changia Damu Okoa Maisha 🙏🏽 #Ashura #BloodDrive

Changia Damu Okoa Maisha 🙏🏽 #Ashura #BloodDrive

11,903 views

Namkumbuka muasisi wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na urithi aliotuachia—Elimu ni ufunguo wa maisha! Alitufundisha kuwa elimu ni njia ya mabadiliko na kuinua Afrika. Imani hii ilikuwa moja ya msukumo mkubwa wa kuanzisha Mo Dewji Foudnation, kwa lengo la kuwapa vijana fursa za elimu ili kubadili maisha yao na jamii zao. Tuendelee kuenzi misingi imara aliyotuachia kwa ajili ya taifa letu. #NyerereDay #UrithiWaMwalimu #MoDewjiFoundation

Namkumbuka muasisi wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na urithi aliotuachia—Elimu ni ufunguo wa maisha! Alitufundisha kuwa elimu ni njia ya mabadiliko na kuinua Afrika. Imani hii ilikuwa moja ya msukumo mkubwa wa kuanzisha Mo Dewji Foudnation, kwa lengo la kuwapa vijana fursa za elimu ili kubadili maisha yao na jamii zao. Tuendelee kuenzi misingi imara aliyotuachia kwa ajili ya taifa letu. #NyerereDay #UrithiWaMwalimu #MoDewjiFoundation

12,793 views

Golf is different from most sports: it requires extreme concentration & focus. It calms me down, but it's frustrating at times 😡

Golf is different from most sports: it requires extreme concentration & focus. It calms me down, but it's frustrating at times 😡

12,205 views

Videos

moodewji's profile picture

Simba Nguvu Moja 🦁

Mohammed Dewji MO

301,447 views • 2 years ago

Ubaya Ubwela 💪🏽 #nguvumoja #simba #mocola
0:49

Sensitive content

This media may contain sensitive content.