NTOBI's banner
NTOBI's profile picture

NTOBI

@Ntobi_79,163 subscribers

Concerned Citizen || Ngokolo Ward Councilor 2015-2020 || Banker || Activist || UDSM Alumni || Proud Member of ACT Wazalendo||

Shorts

Spika ameliambia Bunge kuwa, ndani ya kipindi cha miaka mitatu, magari ya serikali yametumia jumla ya Tsh trilioni 1.8 kwa ajili ya huduma za matengenezo (service) pekee — bubadili oil. Hii si gharama ya ununuzi wa magari hayo, bali ni fedha zilizotumika kwa matengenezo yake tu!😳

Spika ameliambia Bunge kuwa, ndani ya kipindi cha miaka mitatu, magari ya serikali yametumia jumla ya Tsh trilioni 1.8 kwa ajili ya huduma za matengenezo (service) pekee — bubadili oil. Hii si gharama ya ununuzi wa magari hayo, bali ni fedha zilizotumika kwa matengenezo yake tu!😳

21,855 views

Madikteta uchwara ndivyo- walivyo huwa wana-panic haraka na kuropoka kwa lugha chafu. “Kuna wajinga-wajinga…!” Lugha za mgombea urais 2020, Mtia nia uRais 2025 na Chair Taifa!😀😀 G-55 #MawazoMbadala✊🏾🔥

Madikteta uchwara ndivyo- walivyo huwa wana-panic haraka na kuropoka kwa lugha chafu. “Kuna wajinga-wajinga…!” Lugha za mgombea urais 2020, Mtia nia uRais 2025 na Chair Taifa!😀😀 G-55 #MawazoMbadala✊🏾🔥

53,738 views

Umma ukaaminishwa kuwa, Dr Wilboad Peter Slaa ameshikiliwa kwa sababu ya uchaguzi wa CHADEMA Taifa. Uchaguzi umeisha, Mzee wa watu bado anashikiliwa! Kitabu cha Mathayo 7:15 na Mathayo 24:11 kinatukumbusha tujihadhari na watu wa namna hii!

Umma ukaaminishwa kuwa, Dr Wilboad Peter Slaa ameshikiliwa kwa sababu ya uchaguzi wa CHADEMA Taifa. Uchaguzi umeisha, Mzee wa watu bado anashikiliwa! Kitabu cha Mathayo 7:15 na Mathayo 24:11 kinatukumbusha tujihadhari na watu wa namna hii!

49,830 views

Tanza-Giza!

Tanza-Giza!

39,384 views

“…What’s wrong, is wrong period!”🫡

“…What’s wrong, is wrong period!”🫡

15,965 views

Ila wabongo buana! Unaweza kudhani aliyeshinda CHADEMA ni CCM na si mwanaCHADEMA!😀😀

Ila wabongo buana! Unaweza kudhani aliyeshinda CHADEMA ni CCM na si mwanaCHADEMA!😀😀

26,390 views

TANGAZO KWA UMMA DAKA MTOYO WA MBUNGE NTOBI Ninatoa zawadi ya shilingi 300,000 (laki tatu) kwa bodaboda au mtu yeyote atakayemkamata mtu anayechana bango hata moja. Lengo ni kumfanya awe mfano kwa dunia na kwa waliomtuma!

TANGAZO KWA UMMA DAKA MTOYO WA MBUNGE NTOBI Ninatoa zawadi ya shilingi 300,000 (laki tatu) kwa bodaboda au mtu yeyote atakayemkamata mtu anayechana bango hata moja. Lengo ni kumfanya awe mfano kwa dunia na kwa waliomtuma!

14,457 views

Videos

Ntobi_'s profile picture

maCCM yamechanganyikiwa sana!

NTOBI

30,149 views • 1 year ago