Loading video...
Video Failed to Load
maCCM yamechanganyikiwa sana!
30,149 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Dah nimecheka sana , kwamba ccm ndo fikra zao zipo hapa, kuandikisha kwenyewe kumewashinda watu wanakuja kituoni 200 wanaandikishwa 60 wengine wanashinda tu mwishowe wanaondoka vituon, yaan hii nchi vituko ni vingi sana

Sasa VISA hakuna sahivi kwenda DRC ikitokea Mripuko wa Ebola DRC unafikiri BONGO itakuwa salama.? Sasa kama ndo hivyo mbona kuna virus na bacteria 🦠🧫 wapo Maabara wameifadhiwa wengine kama Control, wengine kama specimen, kwanini wasichukue hao ambao hutumii pesa kuwapata. Hizi mambo kidwanzi, naona mambo ya kuchafuana yana Anza, Lakini XXM wakichafuliwa dadeq utakula virungu na kulambwa kichwa. Wazee sahivi hawana hoja watupe nchi vijana tuinyooshe kana rula. Hizi propaganda baaaana mimi hata si waamini.

just published some posts in the new page in @CoinMarketCap Community 🤩🎉 🔥 Join HUDI on CMC 👇

Hapana nadhani ni moja ya mbinu zao

Kwali makala cpa amosi makala ndo maneno yaliyomtoka kinywani mwake au hawa jamaa wasipobadili namna ya kuomba kura watapotea raia mjinga wa kuamini ujinga huu ni yupi kwa karne hii???

@WHO wamepata pakuanzia. Shahidi wanae

Haya yote yanawezekana CHADEMA sio chama cha Malaika

Kama mnaweza kuwaza hivi? maCCM mmekuwa WAJINGA sana!

Daah yani CCM ndipo ilipo fikia kweli?😱😱😱🙌

Mno kila siku wanazidi kuongea ujingaa

wenyewe wanauwa wanateka hawaumizi wananchi wanakula Kodi zawananchi wanadanganya wananchi wamejilimbikizua mali kwa ufisadi kilakukicha wanawaza kuiba wezi wakubwa
