
SIR TIVA
@Sativa255 • 184,978 subscribers
Survivor of Head Bullet 27.06.2024 | Human rights defender | PYALA PYALA.
Shorts
Videos

CHALAMILA ANASEMA MARIDHIANO SASA NI LAZIMA. Yani mmeuwa watanzania zaidi ya ELFU KUMI nchi nzima hakuna uwajibikaji mnataka TURIDHIANE KWA LAZIMA. Yani MMETEKA na kupoteza watanzania kwa MAMIA kisha mtanataka TURIDHIANE KWA LAZIMA. Kuna kesi ZA UGAIDI zaidi ya 30 nchi nzima kwasababu za kisiasa kisha mnataka TURIDHIANE KWA LAZIMA. MMEPOTEZA MIILI YA NDUGU ZETU mpaka leo watu tumezika NGUO hamtaki hata kutuonyesha mifupa yao kisha mnalazimisha TURIDHIANE KWA LAZIMA. Hakuna hata kiongozi mmoja aliechaguliwa na watanzania, leo hao hao waliopatikana kwa DAMU ZA WATANZANIA ndio mnatulazimisha TURIDHIANE NAO KWA LAZIMA. Nyie si mmechaguliwa kwa kura milioni 32 (98%) kwanini mnalazimisha MARIDHIANO? AKILI ZA KIPUMBAVU SANA HIZI ZINATAWALA WATANZANIA. SIJUI NANI ANAYATUMA HAYA MABANGAYEYE YAROPOKE OVYO.
SIR TIVA28,621 Aufrufe • vor 6 Tagen

Upeo wa akili wa WATANZANIA wa sasa upo juu mno. SIKILIZA KWA MAKINI KISHA REPOST JUMBE HII.
SIR TIVA63,393 Aufrufe • vor 14 Tagen

DIKTETA JIKE limeenda kuchukua MAJAJI wa UGANDA waje kuchunguza nani alitoa PESA WANANCHI WAKAANDAMANA M029. Yani majaji wa UGANDA ambao wanatumika na Museven kumshikiria MPINZANI mkuu (BESIGYE) magereza Miaka miwili hao ndio kaona WANAFAA SANA kufanya UCHUNGUZI. Yani MAJAJI kabla hawajaanza kazi YA UCHUNGUZI tayari wamepewa vyakuenda kuchunguza (Nani alitoa FEDHA WANANCHI WAANDAMANE). Afu unaita huu UCHUNGUZI HURU?
SIR TIVA36,709 Aufrufe • vor 10 Tagen

Moja kati ya Project ambayo IMELIPA 2026 ilikuwa ni kuondoka X kama platform ya kufanyia KAZI na kuenda Insta & tiktok. Mwanangu Vina aliingia Insta na njia ya KUFANYA Betting contents asilimia zote, mimi nikashika Football contents na Betting contents. Sehemu pekee iliyokuwa inatukutanisha pamoja ni Betting-mitaa imemjua mwanangu kwa kamari na tayari ana dunia yake huko. Ukitaja watu watatu wanaofanya KAMARI Tanzania jina la Mwanangu halikosekani. Haya yote yalianzia X baadae yameenda KUHESHIMISHWA IG. Bado mwaka haujaisha nadhani tunaenda kutengeneza UFALME ambao mtu kuufikia Ajiandae KUPASUKA PESA ZA KUTOSHA. New season LOADING....! TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA43,230 Aufrufe • vor 13 Tagen

Sio physics tuu-angalia dogo anavyosimulia SOMO LA HISTORY kama unaangalia movie. Kubalini kataeni hawa madogo wa sasa GEN Z uwezo wao wa akili upo juu sana kuliko nyie wazee wa KALE. Hata walimu wenu wa zamani walikuwa JAU asilimia kubwa. Hapa NECTA wakikuambia UFAULU UMEPANDA UTABISHA?
SIR TIVA67,926 Aufrufe • vor 22 Tagen

Watanzania walitaka namba ya MAKAMU HECHE ili wamtumie PESA kama kumuunga mkono kipindi hiki kigumu. MAKAMU HECHE kaamua kuomba watanzania wachangie CHAMA-Chama kina jukumu zito ndani ya huu mwezi mmoja kuitisha BARAZA KUU LA CHAMA. Baraza kuu la CHAMA linakuja kufanya maamuzi MAZITO juu ya haya mambo mawili. 1. KATIBA MPYA. 2. FREE TUNDU LISSU. Jumla MILIONI 330 inatakiwa-Kufanikisha hili BARAZA KUU. Weka mchango wako kwenye account rasmi za CHAMA. Voda (MPESA): 0744446969 JINA: CHADEMA HQ. Repost 500
SIR TIVA89,922 Aufrufe • vor 1 Monat
2:10
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Oya home boi #NIPENI_MAUA_YANGU💐 Unajiuliza huyu dada anafanya nini KYELA? Mamae 🔥🔥🔥
SIR TIVA76,431 Aufrufe • vor 1 Monat

Kuweni makini na FABRIZO ROMANO, Jana kadanganya UMMA kwamba Rb & Madrid wamemalizana ishu ya DIOMANDE kitu ambacho ni UONGO. Ni kweli mpaka sasa kuna chance kubwa Diomande kujiunga na MADRID kwasababu PSG wamejitoa kwenye hili deal kwahiyo kabaki Madrid mwenyewe kazi kwake. NB: FABRIZO ALITAKA KUWA WA KWANZA KUBREAK NEWS WAKATI MAMBO BADO. #madrid #laliga #transfer #football #tutakuwepo🫵🏾😎
SIR TIVA36,855 Aufrufe • vor 21 Tagen