
Tanzania Leaks
@TanzaniaLeaks • 116,479 subscribers
Tanzania Leaks: Inform. Share. Embrace confidentiality. Whistleblowing. Tuna tunza siri. Inbox or Email Leaks: [email protected].
Shorts
Videos

Ujumbe uliofika ni ujumbe mzito sana. Jamaa ametumia " fasihii ya hali ya Juu"
Tanzania Leaks28,150 views • 1 month ago

Tanzania nchi ya ajabu sana. CCM ni chama cha kusikitisha. Huyu Ni mmoja wa viongozi tunaowategemea kutunga sheria na kutuletea maendeleo. Majuzi aliwapelekea wana Kigoma maendeleo ya Kula Wali Nyama, Leo amekuja kuwaringishia wapiga kura wake faida ya kuwa Mbunge.
Tanzania Leaks77,378 views • 8 months ago

Jeshi la Polisi wamevurugwa baada ya kupigwa chenga na Chadema! Mpango wao ulikuwa kuyasubiria magari yanayotoka mikoani ili wawakamate kama walivyo fanya Siku ya Vijana- Mbeya. Cha kushangaza, waandamanaji wengi walishafika DAR. Gesti nyingi zinapekuliwa kuwatafuta waandamani.
Tanzania Leaks110,183 views • 2 years ago

Ndugu zetu waKenya, tunashukuru sana kwa kujitoa muhanga kwaajili yetu. Mmekuwa mfano wa kuigwa barani Africa. Mmetuonyesha Watanzania tulivyo wanyonge ndani ya nchi yetu. Watawala wetu wanaamini Bunduki ndio suluhisho la changamoto. Leo wanazima X. Kumbe waoga. Tunawshukuru sana
Tanzania Leaks73,027 views • 1 year ago

Our EU friends, Thabit Kombo & the likes, stroll your streets, send their kids to your fine schools, use your facilities for propaganda. Yet Tanzanians bask in poverty while they swim in glory. davidmcallister, European Parliament. Why can’t you sanction this evil regime?
Tanzania Leaks17,193 views • 2 months ago

Pale Muuwaji mkuu Samuya anapoona mambo yamekuwa magumu, maneno yanamchoma, naye anaamuwa kususa na kuondoka. Samuya, damu za Watanganyika zitakutesa sana. Ushauri wa Bure, badala ya kujificha Zanzibar, ondoka na familia yako ukakae Oman. Watanganyika watakusamehe
Tanzania Leaks30,221 views • 6 months ago