Tanzania Leaks's banner
Tanzania Leaks's profile picture

Tanzania Leaks

@TanzaniaLeaks115,809 subscribers

Tanzania Leaks: Inform. Share. Embrace confidentiality. Whistleblowing. Tuna tunza siri. Inbox or Email Leaks: [email protected].

Shorts

Serikali ya ovyo inayoua watu wake kwa kuwapiga risasi ndio wale wale wanaoua watu wake kifikra Hawa watoto wamewekewa Pocker Machines za kuchezea kamari muda wa shule. Wawekezaji wetu hao! Nchini kwao huu upumbavu haupo, utakuta kuna chawa wanatetea wawekezaji wa Kichina

Serikali ya ovyo inayoua watu wake kwa kuwapiga risasi ndio wale wale wanaoua watu wake kifikra Hawa watoto wamewekewa Pocker Machines za kuchezea kamari muda wa shule. Wawekezaji wetu hao! Nchini kwao huu upumbavu haupo, utakuta kuna chawa wanatetea wawekezaji wa Kichina

36,192 görüntüleme

Msigwa Gerson, Mmnamtumia mama wa watu kujineemesha. Umejenga majumba ya kifahari Masaki na kwingineko, lakini utambue hamtaweza kumkimbia unavyodhania. ICC inawahusu wote. Watch the Space.

Msigwa Gerson, Mmnamtumia mama wa watu kujineemesha. Umejenga majumba ya kifahari Masaki na kwingineko, lakini utambue hamtaweza kumkimbia unavyodhania. ICC inawahusu wote. Watch the Space.

27,404 görüntüleme

Samuya, Damu za watu haziendi Bure. Wakina Msigwa wanakudanganya kwa maslahi yao Binafsi. Mapete anapiga hela kama hana akili nzuri, ila Jumba linakuangukia. ICC ni yako na mwanao Abdul

Samuya, Damu za watu haziendi Bure. Wakina Msigwa wanakudanganya kwa maslahi yao Binafsi. Mapete anapiga hela kama hana akili nzuri, ila Jumba linakuangukia. ICC ni yako na mwanao Abdul

20,347 görüntüleme

Watanzania, EU washaweka Vikwazo. Tunasubiria vikwazo vya Wamarekani. Maisha yetu yatakuwa magumu sana. Kwa nini tukubali kupata shida sababu ya watu wachache? Tunakila sababu kuandamana 9 Disemba na kuiondoa hii serikali kharam ya Samuya.

Watanzania, EU washaweka Vikwazo. Tunasubiria vikwazo vya Wamarekani. Maisha yetu yatakuwa magumu sana. Kwa nini tukubali kupata shida sababu ya watu wachache? Tunakila sababu kuandamana 9 Disemba na kuiondoa hii serikali kharam ya Samuya.

17,766 görüntüleme

JIBU: GEN- Z wa Kitanzania tunafurahi mnaanza kujitambua. Polis atakaye washambulia kwa mabomu, kumpiga mawe ni kujilinda. Hili lipo kisheria kabisa. Jilindeni Oktoba 29. #TanzaniaLeaks

JIBU: GEN- Z wa Kitanzania tunafurahi mnaanza kujitambua. Polis atakaye washambulia kwa mabomu, kumpiga mawe ni kujilinda. Hili lipo kisheria kabisa. Jilindeni Oktoba 29. #TanzaniaLeaks

14,149 görüntüleme

Wakenya wamechoka na Uongo wa Rais wao Ruto. Jamaa kaponea chuchupu kula ngeu. Amerushiwa kiatu kuonyesha kuwa Ruto ni takataka na hastahili heshima ya Wakenya. Watanzania tunaomba muwaambie Wakenya hata sisi huku na Rais Samia ndio hivyo hivyo, tupo pamoja.

Wakenya wamechoka na Uongo wa Rais wao Ruto. Jamaa kaponea chuchupu kula ngeu. Amerushiwa kiatu kuonyesha kuwa Ruto ni takataka na hastahili heshima ya Wakenya. Watanzania tunaomba muwaambie Wakenya hata sisi huku na Rais Samia ndio hivyo hivyo, tupo pamoja.

13,098 görüntüleme

Videos