#abdul

Kama mabinti wadogo warembo kama hawa tu -Wanakataa utekaji. -Wanakemea uovu wa gavoo. -Wanapinga ufisadi -Wanakemea uchawa uchawa -wanadai reforms Wewe na ndevu zako unaendaje Kutiki?🤷🏿 Unaendaje kuhalalisha uhuni wa kisiasa? COME ON MAN GO AND LISTEN #ABDUL SONG
#NIPENI_MAUA_YANGU💐29,280 views • 10 months ago
No more content to load

