#tanzania
5:40
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
1:26
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

#TANZANIA: WANANCHI WAMEFICHUA WAHARIFU NA TUMEWEZA KUWANYAKUWA - KATAMBI Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi hii leo Julai 07, 2026 akizungumza na Wanahabari maeneo ya Ubungo maji jijini Dar Es Salaam alipokuwa akiangalia hali ilivyo baada ya uwepo wa tishio la maandamano nchini hapo amesema hali ni shwari kote nchini na kwamba Wananchi walitoa taarifa ya waharifu na wakafanikiwa kuwanyakuwa mapema sana, "wananchi wamefichua waharifu na tumeweza kuwanyakuwa ili waweze kufika kwenye vyombo vya sheria" Zaidi:
MwanzoTvPlus56,906 次观看 • 15 天前
3:53
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
0:58
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Tanzania-Korea Critical Mineral Roadshow 2025 🇹🇿🇰🇷 - Seoul - South Korea 🎥👇🏾 # AFRIKA KAZI LTD Volt Resources Limited ASX:VRC Resource Mining Corporation Limited ASX:RMI #tanzania #korea #graphite #copper #nickel #lithium Volt Resources $VRC.ax @ResourceMining $RMI.ax Afrika Kazi
Asimwe Kabunga807,124 次观看 • 1 年前
0:30
Sensitive content
This media may contain sensitive content.
1:38
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Tumewaonya sana mkatuita wachochezi! Vijana wa #Tanzania wamechoka na wamewachokeni madhulmat! Kutwa mnawakamata mnawatesa Wao wako mamilioni - wakigundua kuwa wao ni wengi kuliko ninyi mnafikiri mwisho wenu utakuwa mzuri? Leo Arusha mmeonja joto la jiwe Police Force TZ na watekaji! Acheni huu upumbavu wa kamatakamata! Mnapeleka nchi kubaya! Sitachoka kuwatahadharisha! Hivi kuna mwenye akili na ujasiri kwenye mfumo anayeweza kusimamisha huu uendawazimu? #TutaelewanaTu Young man resists brutal illegal arrest/ abduction and others stand up to police brutality in Arusha today! Tanzania is headed down a disastrous path with Samia Suluhu - a complete collapse of rule of law and the economy! Hear ye! Hear ye! That is why #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai64,438 次观看 • 1 个月前

Sabasaba is supposedly Workers’ Day in #Tanzania but it is also the founding date of Tanganyika liberation party TANU There is an internattional fair ongoing every year and it is a public holiday where businesses are open and thrive while shoppers roam the busy streets of Kariakoo and the fair! Today with the planned mega protest all shops are closed and Dar es Salaam is like a war zone - deserted! This is already an indication that Samia Suluhu and her murderous cabal have lost civilian control and are now ruling by force! This is not a democracy or Republic but a country occupied by a junta called CCM They now claim there is TRANQUILITY not Peace but it is the calm before the storm! Without justice there is no peace! CCM wameanza kuelewa tofauti ya Amani na Utulivu Amani ni maduka yangekuwa yako wazi watu wako bize na shopping - hapa kuna utulivu kabla ya dhoruba kulipuka! Hata wao wanazurura mtaani na mabunduki hawana amani! #77Tunatoka #SamiaMustGo #FreeTunduLissu #JusticeForMO29
Maria Sarungi Tsehai25,866 次观看 • 15 天前



