#tec
0:35
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

TEC: BUNGE LILIWAKATAA WANANCHI, MTU PEKEE ALIYEBAKI KUWAOKOA NI RAIS Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (#TEC), Padri Charles Kitima amesema Rais akifuta Mkataba wa Bandari hata kama ni kwa hasara fulani atarejesha imani kubwa ya Wananchi kwa Serikali yao, kwani Bunge liliwakataa Wananchi kuhusu mkataba huo ndio maana Wananchi wakaamua kwenda kwa Rais wakiwa na mkataba Soma #JamiiForums #Governance #FreeSpeech #DPWorldSaga #TamkolaTEC
Jamii Forums62,889 次观看 • 2 年前
没有更多内容可加载



