ะะฐะณััะทะบะฐ ะฒะธะดะตะพ...
ะะต ัะดะฐะปะพัั ะทะฐะณััะทะธัั ะฒะธะดะตะพ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
178,945 ะฟัะพัะผะพััะพะฒ โข 1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด โขvia X (Twitter)
ะะพะผะผะตะฝัะฐัะธะธ: 9

Daktari Wa Manesi ๐๐1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
Mwanasiasa anaweza kutoa ahadi ya kujenga reli kwa kiwango cha lami na wananchi wakakubali ๐

Maulid Kitenge1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
Duh

Coat of arms.1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
IMAGINE HUYU NI ASKOFU ๐๐

Jogoo La Shamba1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
Sasa hii ndio Tanzania ninayoijua mimi , " kura namba 5 msisahau" hahaha

Coat of arms.1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
HAKUNA MWANACCM ALIYE NA AKILI TIMAMU ๐

John kalage ๐น๐ฟ1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
Wanaomsikiliza hata hawacheki๐๐

Coat of arms.1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
MSHAMBULIAJI HIYO NDIYO CCM NINAYOIJUA SASA, NI WAONGO KULIKO SHETANI ๐๐

~BINGWAโก1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
Huyu 1. Anaongea kwa niaba ya Rais? 2.Anagombea uRais? 3.Anagombea mwenyekiti wa mtaa? ๐๐

AL HelmsMan1 ะณะพะด ะฝะฐะทะฐะด
Hahaha ๐ kanikumbusha way back ya ProJ nitajenga mambomba ya maziwa Nchi nzima, Ndio Mzee ๐๐
