Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

28,120 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Sina kipengele.'s profile picture
Sina kipengele.1 year ago

Hiyo ni ngumu mkuu kutokea.. Kwa sababu gari nyingi ikiwa kwenye gia ya reverse inapiga alarms so wakati unataka kusoma hizo message lazima itakukera na utashituka... Sijui lakini labda kama kuna gari ukiweka reverse gia inakuwa kimya

Mtanganyika's profile picture
Mtanganyika1 year ago

😂😂nmecheka sana. Ila huwezi acha gia kwenye reverse ule mlio(alert) ya reverse sio rahisi usiiisikie. Mi yamenikuta sana ya N (free) 😂😂

Mr Health💊💉's profile picture
Mr Health💊💉1 year ago

Huyo sio dereva kaka 😃

Uncle's profile picture
Uncle1 year ago

Unataka kusemaa nn apa ome boii, maana umeiweka kitaalamu sana

Bunda Icon's profile picture
Bunda Icon1 year ago

"Pwaaaah" aiiiiiiii matak* na uso vishapumlianaa🙌😁😁

Houston's profile picture
Houston1 year ago

Eti unamkanyaga mwarabu 😁😁 ( mafuta)

Mchambuzi Kipofu.'s profile picture
Mchambuzi Kipofu.1 year ago

Miaka 20 yote Chama changu

P. WAR🎧's profile picture
P. WAR🎧1 year ago

Kwani hiyo gari itakuwa haina reverse beep alarm theres no way bro hapo unatupanga labda 504 Peugeot ila kwa karne hii yenye taa za road gari zote zina alarm reverse

OldKing's profile picture
OldKing1 year ago

Hudhuria vikao ,mwanaume hatumii tissue kufuta mdomo . Unatukoseaaa ✍🏿📌

Ezb Classic's profile picture
Ezb Classic1 year ago

Unataka kutuaminisha nini mkato

Related Videos

🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🎥
0:22

Sensitive content

🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🎥

سهم

308,714 views • 5 months ago