Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

🚨🚨🚨🚨🚨🚨

28,120 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Sina kipengele.
Sina kipengele.1 год назад

Hiyo ni ngumu mkuu kutokea.. Kwa sababu gari nyingi ikiwa kwenye gia ya reverse inapiga alarms so wakati unataka kusoma hizo message lazima itakukera na utashituka... Sijui lakini labda kama kuna gari ukiweka reverse gia inakuwa kimya

Фото профиля Mtanganyika
Mtanganyika1 год назад

😂😂nmecheka sana. Ila huwezi acha gia kwenye reverse ule mlio(alert) ya reverse sio rahisi usiiisikie. Mi yamenikuta sana ya N (free) 😂😂

Фото профиля Mr Health💊💉
Mr Health💊💉1 год назад

Huyo sio dereva kaka 😃

Фото профиля Uncle
Uncle1 год назад

Unataka kusemaa nn apa ome boii, maana umeiweka kitaalamu sana

Фото профиля Bunda Icon
Bunda Icon1 год назад

"Pwaaaah" aiiiiiiii matak* na uso vishapumlianaa🙌😁😁

Фото профиля Houston
Houston1 год назад

Eti unamkanyaga mwarabu 😁😁 ( mafuta)

Фото профиля Mchambuzi Kipofu.
Mchambuzi Kipofu.1 год назад

Miaka 20 yote Chama changu

Фото профиля P. WAR🎧
P. WAR🎧1 год назад

Kwani hiyo gari itakuwa haina reverse beep alarm theres no way bro hapo unatupanga labda 504 Peugeot ila kwa karne hii yenye taa za road gari zote zina alarm reverse

Фото профиля OldKing
OldKing1 год назад

Hudhuria vikao ,mwanaume hatumii tissue kufuta mdomo . Unatukoseaaa ✍🏿📌

Фото профиля Ezb Classic
Ezb Classic1 год назад

Unataka kutuaminisha nini mkato

Похожие видео