Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
10 Yorum

Hiyo ni ngumu mkuu kutokea.. Kwa sababu gari nyingi ikiwa kwenye gia ya reverse inapiga alarms so wakati unataka kusoma hizo message lazima itakukera na utashituka... Sijui lakini labda kama kuna gari ukiweka reverse gia inakuwa kimya

😂😂nmecheka sana. Ila huwezi acha gia kwenye reverse ule mlio(alert) ya reverse sio rahisi usiiisikie. Mi yamenikuta sana ya N (free) 😂😂

Huyo sio dereva kaka 😃

Unataka kusemaa nn apa ome boii, maana umeiweka kitaalamu sana

"Pwaaaah" aiiiiiiii matak* na uso vishapumlianaa🙌😁😁

Eti unamkanyaga mwarabu 😁😁 ( mafuta)

Miaka 20 yote Chama changu

Kwani hiyo gari itakuwa haina reverse beep alarm theres no way bro hapo unatupanga labda 504 Peugeot ila kwa karne hii yenye taa za road gari zote zina alarm reverse

Hudhuria vikao ,mwanaume hatumii tissue kufuta mdomo . Unatukoseaaa ✍🏿📌

Unataka kutuaminisha nini mkato

