ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”

95,849 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

Licado ็š„ๅคดๅƒ
Licado1 ๅนดๅ‰

Kama siasa zenyewe ndiyo hivi, Watanzania tusahau viongozi kuwajibika kwa Wananchi. Viongozi watajua dola imewaweka madarakani, hivyo watawajibika kwa dola. Adui wa nchi hii ni "DOLA"

The mandevu ็š„ๅคดๅƒ
The mandevu1 ๅนดๅ‰

#NoReformsNoElection

Solar Heavy ็š„ๅคดๅƒ
Solar Heavy1 ๅนดๅ‰

- All I Knew

Edison Myinga ็š„ๅคดๅƒ
Edison Myinga1 ๅนดๅ‰

Bado tuseme Tz ya amani??๐Ÿ˜ญ

THE cyrene ็š„ๅคดๅƒ
THE cyrene1 ๅนดๅ‰

Kama hawataki mfumo wa vyama vingi wafute..turudi mono party..kuliko huu uhanithi๐Ÿšฎ

Julius Tryphone ็š„ๅคดๅƒ
Julius Tryphone1 ๅนดๅ‰

@ze_mandevu Akuna faham hii ๐Ÿ•

white coffee ็š„ๅคดๅƒ
white coffee1 ๅนดๅ‰

Aliwaambia jeshi lijiandae kwa uchaguz magari mapya silaha mpya taifa la kwetu wote lakini kwa sababu wengne wanaona wanaonewa wanaweza kuwaalika waasi m23 ili tu taifa lianze na moja hili sio sawa kabisa dola imekubali kuchezewa

mtatanishi ็š„ๅคดๅƒ
mtatanishi1 ๅนดๅ‰

Na kadiri wanavyozidi kuwakamata kamat wapunzani na sisi wananchi ndio tunazid kuwapend wapinzani na kuwachukia masisiemuu

Mswazi Smart ็š„ๅคดๅƒ
Mswazi Smart1 ๅนดๅ‰

Ziwa lile Ni reform, Chuchu force na Mabomu Na force sio Reform, ni Virungu na Mabomu Virungu kampenini virungu kwenye fomu Virungu hadi ziarani,kwa wapiga kura wa muhimu Yaan virungu mpaka unahisi ni uchungu Hadi unashanga sisi ni hawa si ndugu Virungu kumbe ni nguvu ya njugu

abbleluv ็š„ๅคดๅƒ
abbleluv1 ๅนดๅ‰

Bahati Mbaya leo ! Story itakuwa Zaylisa na Manara....

Mkotopaje ็š„ๅคดๅƒ
Mkotopaje1 ๅนดๅ‰

We ni bora wa muda wote Baada ya Professor Jay

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘