Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”

95,852 Aufrufe โ€ข vor 1 Jahr โ€ขvia X (Twitter)

11 Kommentare

Profilbild von Licado
Licadovor 1 Jahr

Kama siasa zenyewe ndiyo hivi, Watanzania tusahau viongozi kuwajibika kwa Wananchi. Viongozi watajua dola imewaweka madarakani, hivyo watawajibika kwa dola. Adui wa nchi hii ni "DOLA"

Profilbild von The mandevu
The mandevuvor 1 Jahr

#NoReformsNoElection

Profilbild von Solar Heavy
Solar Heavyvor 1 Jahr

- All I Knew

Profilbild von Edison Myinga
Edison Myingavor 1 Jahr

Bado tuseme Tz ya amani??๐Ÿ˜ญ

Profilbild von THE cyrene
THE cyrenevor 1 Jahr

Kama hawataki mfumo wa vyama vingi wafute..turudi mono party..kuliko huu uhanithi๐Ÿšฎ

Profilbild von Julius Tryphone
Julius Tryphonevor 1 Jahr

@ze_mandevu Akuna faham hii ๐Ÿ•

Profilbild von white coffee
white coffeevor 1 Jahr

Aliwaambia jeshi lijiandae kwa uchaguz magari mapya silaha mpya taifa la kwetu wote lakini kwa sababu wengne wanaona wanaonewa wanaweza kuwaalika waasi m23 ili tu taifa lianze na moja hili sio sawa kabisa dola imekubali kuchezewa

Profilbild von mtatanishi
mtatanishivor 1 Jahr

Na kadiri wanavyozidi kuwakamata kamat wapunzani na sisi wananchi ndio tunazid kuwapend wapinzani na kuwachukia masisiemuu

Profilbild von Mswazi Smart
Mswazi Smartvor 1 Jahr

Ziwa lile Ni reform, Chuchu force na Mabomu Na force sio Reform, ni Virungu na Mabomu Virungu kampenini virungu kwenye fomu Virungu hadi ziarani,kwa wapiga kura wa muhimu Yaan virungu mpaka unahisi ni uchungu Hadi unashanga sisi ni hawa si ndugu Virungu kumbe ni nguvu ya njugu

Profilbild von abbleluv
abbleluvvor 1 Jahr

Bahati Mbaya leo ! Story itakuwa Zaylisa na Manara....

Profilbild von Mkotopaje
Mkotopajevor 1 Jahr

We ni bora wa muda wote Baada ya Professor Jay

ร„hnliche Videos