Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”

95,852 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

11 Comments

Licado's profile picture
Licado1 year ago

Kama siasa zenyewe ndiyo hivi, Watanzania tusahau viongozi kuwajibika kwa Wananchi. Viongozi watajua dola imewaweka madarakani, hivyo watawajibika kwa dola. Adui wa nchi hii ni "DOLA"

The mandevu's profile picture
The mandevu1 year ago

#NoReformsNoElection

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

- All I Knew

Edison Myinga's profile picture
Edison Myinga1 year ago

Bado tuseme Tz ya amani??๐Ÿ˜ญ

THE cyrene's profile picture
THE cyrene1 year ago

Kama hawataki mfumo wa vyama vingi wafute..turudi mono party..kuliko huu uhanithi๐Ÿšฎ

Julius Tryphone's profile picture
Julius Tryphone1 year ago

@ze_mandevu Akuna faham hii ๐Ÿ•

white coffee's profile picture
white coffee1 year ago

Aliwaambia jeshi lijiandae kwa uchaguz magari mapya silaha mpya taifa la kwetu wote lakini kwa sababu wengne wanaona wanaonewa wanaweza kuwaalika waasi m23 ili tu taifa lianze na moja hili sio sawa kabisa dola imekubali kuchezewa

mtatanishi's profile picture
mtatanishi1 year ago

Na kadiri wanavyozidi kuwakamata kamat wapunzani na sisi wananchi ndio tunazid kuwapend wapinzani na kuwachukia masisiemuu

Mswazi Smart's profile picture
Mswazi Smart1 year ago

Ziwa lile Ni reform, Chuchu force na Mabomu Na force sio Reform, ni Virungu na Mabomu Virungu kampenini virungu kwenye fomu Virungu hadi ziarani,kwa wapiga kura wa muhimu Yaan virungu mpaka unahisi ni uchungu Hadi unashanga sisi ni hawa si ndugu Virungu kumbe ni nguvu ya njugu

abbleluv's profile picture
abbleluv1 year ago

Bahati Mbaya leo ! Story itakuwa Zaylisa na Manara....

Mkotopaje's profile picture
Mkotopaje1 year ago

We ni bora wa muda wote Baada ya Professor Jay

Related Videos