Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

💔💔💔💔💔💔💔💔

95,865 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Licado
Licado1 год назад

Kama siasa zenyewe ndiyo hivi, Watanzania tusahau viongozi kuwajibika kwa Wananchi. Viongozi watajua dola imewaweka madarakani, hivyo watawajibika kwa dola. Adui wa nchi hii ni "DOLA"

Фото профиля The mandevu
The mandevu1 год назад

#NoReformsNoElection

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

- All I Knew

Фото профиля Edison Myinga
Edison Myinga1 год назад

Bado tuseme Tz ya amani??😭

Фото профиля THE cyrene
THE cyrene1 год назад

Kama hawataki mfumo wa vyama vingi wafute..turudi mono party..kuliko huu uhanithi🚮

Фото профиля Julius Tryphone
Julius Tryphone1 год назад

@ze_mandevu Akuna faham hii 🐕

Фото профиля white coffee
white coffee1 год назад

Aliwaambia jeshi lijiandae kwa uchaguz magari mapya silaha mpya taifa la kwetu wote lakini kwa sababu wengne wanaona wanaonewa wanaweza kuwaalika waasi m23 ili tu taifa lianze na moja hili sio sawa kabisa dola imekubali kuchezewa

Фото профиля mtatanishi
mtatanishi1 год назад

Na kadiri wanavyozidi kuwakamata kamat wapunzani na sisi wananchi ndio tunazid kuwapend wapinzani na kuwachukia masisiemuu

Фото профиля Mswazi Smart
Mswazi Smart1 год назад

Ziwa lile Ni reform, Chuchu force na Mabomu Na force sio Reform, ni Virungu na Mabomu Virungu kampenini virungu kwenye fomu Virungu hadi ziarani,kwa wapiga kura wa muhimu Yaan virungu mpaka unahisi ni uchungu Hadi unashanga sisi ni hawa si ndugu Virungu kumbe ni nguvu ya njugu

Фото профиля abbleluv
abbleluv1 год назад

Bahati Mbaya leo ! Story itakuwa Zaylisa na Manara....

Фото профиля Mkotopaje
Mkotopaje1 год назад

We ni bora wa muda wote Baada ya Professor Jay

Похожие видео

💔💔💔💔💔💔💔💔
0:30

Sensitive content

💔💔💔💔💔💔💔💔

jupa

58,706 просмотров • 7 месяцев назад