Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Ahsante sana, Giovanni Msami. 👏
79,306 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
9 Yorum

sikutegemea km msami ni mtu bingwa anaeweza kunyoosha maneno hivi na kukataa kuwa chawa

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Angalau kuna vijana wachache wenye Akili na uthubutu wako CCM na hawapendezwi na yanayoendelea. Msami kaongea kwa utulivu na hisia sana ila utashangaa atakuja jibiwa na mwijaku lengo ikiwa ni kuendelea kupindisha ukweli. Msami Mungu akulinde wakoloni weusi wasije kukuteka

Tupate wadhamini wetu

Mama Samia from 2021-2023, she was superb. Nilimkubali sana. Wananchi tulimpenda. Mara paap.. things changed! Aangalie kama kuna mtu ambaye alipewa nafasi nyeti kwenye cabinet yake ya ushauri na maamuzi.. kuanzia kipindi hicho. Amu asses.. kuna kitu kilibadilika.

Mbele kuna mwanga ,good news ni kwamba ukombozi unakaribia

Ngoja tuendelee kunywa mtori.! Mengine tutayajua mbele ya safari

Duh hongera sana kwa udhubutu msami

Braza kaongea vizuri sana ila it's too late kwa sasa.
