ๆญฃๅจๅ ่ฝฝ่ง้ข...
่ง้ขๅ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ
Aiseeeh sikujua hili kabisa.๐๐๐๐
65,219 ๆฌก่ง็ โข 1 ๅนดๅ โขvia X (Twitter)
11 ๆก่ฏ่ฎบ

Walishtuka kitambo mbona, 2019 ilinikuta hii nimeweka simu na mikoba kwenye mchele wa 25kg, mzigo ukapotezwa nikaja kulipwa mchele tu.

- Come Around

Kuna day tumeenda kutuma mzigo tukadanganya kuna soksi japo kulikua na soks na Iphone 12 imefunikwa kwa ndani vizuri.. Mzigo haukundoka..alietakiwa kupokea akapanik.. Kurudi ofisini tunasema socks, jamaa akasema nyie nilikua nawatafuta sana mnasema socks kumbe kuna simu..

Niliwahi kufanya hii kazi ya kutuma mizigo kwenye Mabasi mizigo ya milion 4 naadika elf 70, Siku moja accidentally nikasikia sauti ya mwangwi inasema "unacheza michezo ya Hatari" Tangu hapo nikaachana na mabasi nikawa natumia malori, lori zipo safely and reasonable price๐

Nilitumiwa mzigo kutoka dar zilikuwa abaya na kanzu thamani ya laki nne na kitu halafu nikamwambia waandike laki moja ,yaani nilikuwa nasali mpk nabinuka ule mzigo ufike salama๐ ๐ ๐

Kuna mwanangu alisafirisha s25 samsung kwenye list kaandika ni powerbank๐๐๐๐

Juzi mimi nilipanda bus moja but silikumbuki jina nikawa namsikia konda anaongea na simu anasema "mteja alikuwa anatuma mzigo uliopo kweny box na alidai nguo lkn baadae mzigo ukapotea na mteja akaja kusema ilikuwa ni kinanda aloo mteja anaambiwa atalipwa nguo kama alivo dai mwanz

Sisi watumaji sasa tukisema ukweli usafr wanatupiga sana

Kuna mshikaji wangu alisafirisha Microscope mpya ya 3M akasema ni Microscope ya 800k imagine ingepotea

Simu hazitumwi kwenye mabas acheni ujinga Either kabiz konda au dereva nje ya hapo kuna couriers kibao

Bora kutumia kampuni ya usafirishaji bei rahis na mzigo unakufikia mlango kwa mlango mkoa wowowte hutaji kwenda stendi
็ธๅ ณ่ง้ข
Sikujua kama Rose Lee ni mzima kichwani kiasi hiki.๐
Hilda Newton
58,854 ๆฌก่ง็ โข 11 ไธชๆๅ
