Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Alivyojibiwa
21,704 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 12

Mambo si Mambo.. Hali si Hali.. Sikiliza Hananja alivyojibiwa baada ya kumsema mtumishi mwenzake. Video kwa Comments 👇

Hananja

Ni aibu kabisa ni heri umelisema mtumishi wa MUNGU tunategemea hekima kutoka kwa wazee wetu na sio maneno ya mipasho mzee hananja alijikwaa kweli maana leo ni kwa gwajima kesho ni nyumbani mwake kkkt

WAKO WAPI WATUMISHI WA CALIBRE YAKO WASIMAME NA KUISEMA KWELI YA MUNGU. MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI MTALEMWA

Aminaaaa ubarikiwe mtumishi wa mungu

Umemjibu vyema sana huyu mzee bila hata kupindisha

Hekima sifuri! Turning the alter into gossiping place! Preach the gospel and move.

Ndo maana alifukuzwa kanisani @Hananja ni mshenzi kama washenzi wengine

Kwahiyo na na yeye anaomba mwenzake afe au sio 😂 na yeye pia jau

ukwel mtup

kumbe Zedekia ni tusi! 😄

Ameen amen
