ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

108,983 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 2 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

10 ๆก่ฏ„่ฎบ

Majengo SS Jamal ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
Majengo SS Jamal ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ2 ๅนดๅ‰

Mtoto wa nyoka ni nyoka, hayo si majibu ya bahati mbaya, ni matokeo ya malezi ya Mama yake

Daktari Wa Manesi ๐Ÿ’‰๐Ÿ’Š ็š„ๅคดๅƒ
Daktari Wa Manesi ๐Ÿ’‰๐Ÿ’Š2 ๅนดๅ‰

Ningemtafutia mwanasaikolojia akae nae chini usikute anapitia msongo wa mawazo

ATR Mtilingโ€™ati ็š„ๅคดๅƒ
ATR Mtilingโ€™ati2 ๅนดๅ‰

Mama ake pia kazingua aina ya maswali ndo yametoa majibu hayo. Hii Generation kazi kazi

Makuru Robert ็š„ๅคดๅƒ
Makuru Robert2 ๅนดๅ‰

Mtoto hana kosa hapo. Mjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake ndicho alichokifanya hapo. Kuna mtu humu anaweza kumuuliza hilo swali analoambiwa akamuulize baba yake ataweza kufanya hivyo?

Prince Of Mwanza ็š„ๅคดๅƒ
Prince Of Mwanza2 ๅนดๅ‰

Maswali ya kiwaki unayapa majibu ya kikuda

Mlula_Graphics ็š„ๅคดๅƒ
Mlula_Graphics2 ๅนดๅ‰

Duh aisee ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™ŒHuyu mtoto kwa majibu yake mzazi anaweza shikwa uchungu. Mara ya pili. Mungu asaidie tu aisee

TricyLove๐Ÿฆ ็š„ๅคดๅƒ
TricyLove๐Ÿฆ2 ๅนดๅ‰

Siwezi hata kuhojiana nae hivo Mungu anisaidie kwakweli kwa hizi hasira zangu sijui tu

Zee La Nyeti ๐• ็š„ๅคดๅƒ
Zee La Nyeti ๐•2 ๅนดๅ‰

Foolish age hii inasumbua sanaa

KingJames I ็š„ๅคดๅƒ
KingJames I2 ๅนดๅ‰

haya majibu watoto uwa wanayachukua moja kwa moja toka kwa wazazi, au kwa walezi,hasa Mama mzazi akiwa mropokaji kwa sana na mtoto hakemewi.

VIN ็š„ๅคดๅƒ
VIN2 ๅนดๅ‰

Mama anawezaje kumuuliza hivyo binti yako ? Majibu kayatoa Kwa mama yake .

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘