Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

83,586 views โ€ข 2 years ago โ€ขvia X (Twitter)

11 Comments

CHILLEH MR SHITCOIN's profile picture
CHILLEH MR SHITCOIN2 years ago

Huo ndio Ukweli๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ na wanajua Sema wanajizima Data Maana Kwa Asilimia Kubwa unawalinda wao Hasa Upuuzi wao Wanaofanya๐Ÿค”

HUDI's profile picture
HUDI2 years ago

๐Ÿ“ข The Draft Plan for HUDIโ€™s Relaunch: ๐ŸŒ HUDI goes multichain ๐Ÿ›ธ Mega airdrop ๐Ÿ”ฅ Token burn ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿค– Product launch: HUDI AI to talk with your data and beyond ๐Ÿ’ก What do you think? Suggestions or ideas? ๐Ÿธ Letโ€™s make HUDI great again! ๐Ÿš€ #HUDI #Crypto #binance #token #bitmart #bnb #token #launch #AirdropAlert

๐™ผ๐š๐šŠ๐š ๐š’๐š๐š‘๐š’ ืคึฐึผื ื•ึผืึตืœ ๐Ÿฉบ's profile picture
๐™ผ๐š๐šŠ๐š ๐š’๐š๐š‘๐š’ ืคึฐึผื ื•ึผืึตืœ ๐Ÿฉบ2 years ago

Polepole tu, yaani taratibu sana... Magufuli mwingine tunaye, na anazunguka huko kama wazimu akipiga kelele kila kona Kumbukeni, mwaka 1939 Hitler alishinda tuzo ya amani ya Nobel ingawaje ilikataliwa baadaye lakini awali alionekana kama mpenda Demokrasia mzuri sana

V's profile picture
V2 years ago

Nahisi samia ni mbaya zaidi ya magufuli at least magufuli aliyofanya yanaonekana kwa macho

Richard ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ's profile picture
Richard ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ2 years ago

This country needs to be MAGUFULIFIED .... and this time it should be more serious than before

Mseminary ๐Ÿค“'s profile picture
Mseminary ๐Ÿค“2 years ago

Tusipo utatua huo atakuja magufuli, pole pole mwingine, makonda wa enzi za magufuli na wengine wengi

John Ogwelo's profile picture
John Ogwelo2 years ago

Oyaaa mzee uyo Magufuli mwingine ndo tunamuomba Mungu atuletee

BENNY UNITED ๐Ÿ‘น's profile picture
BENNY UNITED ๐Ÿ‘น2 years ago

Asa si bora aje magufuri mwingine kuliko Huu usenge unao Endeleaโ€ฆ!

Boethius's profile picture
Boethius2 years ago

Daah ndo maana nchi miaka na miaka Bado hipo palepale kiuchumi. Ulimwengu unabadilika Lakini sisi mifumo yetu haibadiliki Ili kuendana na mifumo wezeshi Kwa uchumi Bora. Mfumo wa kiutawala ukabadilika TU basi tutaanza kuona nchi ikikua Kwa haraka Kwani tuna rasilimali zote.

959๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ's profile picture
959๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ2 years ago

Akaliww kule....Kuwa mpinzan sio dhambi ndio hatukatai....Lakin we kila siku utakuwa mtu wa kutafta Kasoro na mabaya ya chama tawala ? And what about mazuri wnayoyafanya,why hamyaongei?๐Ÿšฎ๐Ÿ’”

Smart and blessed.'s profile picture
Smart and blessed.2 years ago

On the making

Related Videos