Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

83,586 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)

11 Kommentare

Profilbild von CHILLEH MR SHITCOIN
CHILLEH MR SHITCOINvor 2 Jahren

Huo ndio Ukweli📌📌 na wanajua Sema wanajizima Data Maana Kwa Asilimia Kubwa unawalinda wao Hasa Upuuzi wao Wanaofanya🤔

Profilbild von HUDI
HUDIvor 2 Jahren

📢 The Draft Plan for HUDI’s Relaunch: 🌐 HUDI goes multichain 🛸 Mega airdrop 🔥 Token burn 🔥 🤖 Product launch: HUDI AI to talk with your data and beyond 💡 What do you think? Suggestions or ideas? 🐸 Let’s make HUDI great again! 🚀 #HUDI #Crypto #binance #token #bitmart #bnb #token #launch #AirdropAlert

Profilbild von 𝙼𝚏𝚊𝚠𝚒𝚍𝚑𝚒 פְּנוּאֵל 🩺
𝙼𝚏𝚊𝚠𝚒𝚍𝚑𝚒 פְּנוּאֵל 🩺vor 2 Jahren

Polepole tu, yaani taratibu sana... Magufuli mwingine tunaye, na anazunguka huko kama wazimu akipiga kelele kila kona Kumbukeni, mwaka 1939 Hitler alishinda tuzo ya amani ya Nobel ingawaje ilikataliwa baadaye lakini awali alionekana kama mpenda Demokrasia mzuri sana

Profilbild von V
Vvor 2 Jahren

Nahisi samia ni mbaya zaidi ya magufuli at least magufuli aliyofanya yanaonekana kwa macho

Profilbild von Richard 🇹🇿
Richard 🇹🇿vor 2 Jahren

This country needs to be MAGUFULIFIED .... and this time it should be more serious than before

Profilbild von Mseminary 🤓
Mseminary 🤓vor 2 Jahren

Tusipo utatua huo atakuja magufuli, pole pole mwingine, makonda wa enzi za magufuli na wengine wengi

Profilbild von John Ogwelo
John Ogwelovor 2 Jahren

Oyaaa mzee uyo Magufuli mwingine ndo tunamuomba Mungu atuletee

Profilbild von BENNY UNITED 👹
BENNY UNITED 👹vor 2 Jahren

Asa si bora aje magufuri mwingine kuliko Huu usenge unao Endelea…!

Profilbild von Boethius
Boethiusvor 2 Jahren

Daah ndo maana nchi miaka na miaka Bado hipo palepale kiuchumi. Ulimwengu unabadilika Lakini sisi mifumo yetu haibadiliki Ili kuendana na mifumo wezeshi Kwa uchumi Bora. Mfumo wa kiutawala ukabadilika TU basi tutaanza kuona nchi ikikua Kwa haraka Kwani tuna rasilimali zote.

Profilbild von 959🇪🇸
959🇪🇸vor 2 Jahren

Akaliww kule....Kuwa mpinzan sio dhambi ndio hatukatai....Lakin we kila siku utakuwa mtu wa kutafta Kasoro na mabaya ya chama tawala ? And what about mazuri wnayoyafanya,why hamyaongei?🚮💔

Profilbild von Smart and blessed.
Smart and blessed.vor 2 Jahren

On the making

Ähnliche Videos