Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Ana-Make Sense 💯

83,586 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля CHILLEH MR SHITCOIN
CHILLEH MR SHITCOIN2 лет назад

Huo ndio Ukweli📌📌 na wanajua Sema wanajizima Data Maana Kwa Asilimia Kubwa unawalinda wao Hasa Upuuzi wao Wanaofanya🤔

Фото профиля HUDI
HUDI2 лет назад

📢 The Draft Plan for HUDI’s Relaunch: 🌐 HUDI goes multichain 🛸 Mega airdrop 🔥 Token burn 🔥 🤖 Product launch: HUDI AI to talk with your data and beyond 💡 What do you think? Suggestions or ideas? 🐸 Let’s make HUDI great again! 🚀 #HUDI #Crypto #binance #token #bitmart #bnb #token #launch #AirdropAlert

Фото профиля 𝙼𝚏𝚊𝚠𝚒𝚍𝚑𝚒 פְּנוּאֵל 🩺
𝙼𝚏𝚊𝚠𝚒𝚍𝚑𝚒 פְּנוּאֵל 🩺2 лет назад

Polepole tu, yaani taratibu sana... Magufuli mwingine tunaye, na anazunguka huko kama wazimu akipiga kelele kila kona Kumbukeni, mwaka 1939 Hitler alishinda tuzo ya amani ya Nobel ingawaje ilikataliwa baadaye lakini awali alionekana kama mpenda Demokrasia mzuri sana

Фото профиля V
V2 лет назад

Nahisi samia ni mbaya zaidi ya magufuli at least magufuli aliyofanya yanaonekana kwa macho

Фото профиля Richard 🇹🇿
Richard 🇹🇿2 лет назад

This country needs to be MAGUFULIFIED .... and this time it should be more serious than before

Фото профиля Mseminary 🤓
Mseminary 🤓2 лет назад

Tusipo utatua huo atakuja magufuli, pole pole mwingine, makonda wa enzi za magufuli na wengine wengi

Фото профиля John Ogwelo
John Ogwelo2 лет назад

Oyaaa mzee uyo Magufuli mwingine ndo tunamuomba Mungu atuletee

Фото профиля BENNY UNITED 👹
BENNY UNITED 👹2 лет назад

Asa si bora aje magufuri mwingine kuliko Huu usenge unao Endelea…!

Фото профиля Boethius
Boethius2 лет назад

Daah ndo maana nchi miaka na miaka Bado hipo palepale kiuchumi. Ulimwengu unabadilika Lakini sisi mifumo yetu haibadiliki Ili kuendana na mifumo wezeshi Kwa uchumi Bora. Mfumo wa kiutawala ukabadilika TU basi tutaanza kuona nchi ikikua Kwa haraka Kwani tuna rasilimali zote.

Фото профиля 959🇪🇸
959🇪🇸2 лет назад

Akaliww kule....Kuwa mpinzan sio dhambi ndio hatukatai....Lakin we kila siku utakuwa mtu wa kutafta Kasoro na mabaya ya chama tawala ? And what about mazuri wnayoyafanya,why hamyaongei?🚮💔

Фото профиля Smart and blessed.
Smart and blessed.2 лет назад

On the making

Похожие видео