Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

83,586 görüntüleme • 2 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

CHILLEH MR SHITCOIN profil fotoğrafı
CHILLEH MR SHITCOIN2 yıl önce

Huo ndio Ukweli📌📌 na wanajua Sema wanajizima Data Maana Kwa Asilimia Kubwa unawalinda wao Hasa Upuuzi wao Wanaofanya🤔

HUDI profil fotoğrafı
HUDI2 yıl önce

📢 The Draft Plan for HUDI’s Relaunch: 🌐 HUDI goes multichain 🛸 Mega airdrop 🔥 Token burn 🔥 🤖 Product launch: HUDI AI to talk with your data and beyond 💡 What do you think? Suggestions or ideas? 🐸 Let’s make HUDI great again! 🚀 #HUDI #Crypto #binance #token #bitmart #bnb #token #launch #AirdropAlert

𝙼𝚏𝚊𝚠𝚒𝚍𝚑𝚒 פְּנוּאֵל 🩺 profil fotoğrafı
𝙼𝚏𝚊𝚠𝚒𝚍𝚑𝚒 פְּנוּאֵל 🩺2 yıl önce

Polepole tu, yaani taratibu sana... Magufuli mwingine tunaye, na anazunguka huko kama wazimu akipiga kelele kila kona Kumbukeni, mwaka 1939 Hitler alishinda tuzo ya amani ya Nobel ingawaje ilikataliwa baadaye lakini awali alionekana kama mpenda Demokrasia mzuri sana

V profil fotoğrafı
V2 yıl önce

Nahisi samia ni mbaya zaidi ya magufuli at least magufuli aliyofanya yanaonekana kwa macho

Richard 🇹🇿 profil fotoğrafı
Richard 🇹🇿2 yıl önce

This country needs to be MAGUFULIFIED .... and this time it should be more serious than before

Mseminary 🤓 profil fotoğrafı
Mseminary 🤓2 yıl önce

Tusipo utatua huo atakuja magufuli, pole pole mwingine, makonda wa enzi za magufuli na wengine wengi

John Ogwelo profil fotoğrafı
John Ogwelo2 yıl önce

Oyaaa mzee uyo Magufuli mwingine ndo tunamuomba Mungu atuletee

BENNY UNITED 👹 profil fotoğrafı
BENNY UNITED 👹2 yıl önce

Asa si bora aje magufuri mwingine kuliko Huu usenge unao Endelea…!

Boethius profil fotoğrafı
Boethius2 yıl önce

Daah ndo maana nchi miaka na miaka Bado hipo palepale kiuchumi. Ulimwengu unabadilika Lakini sisi mifumo yetu haibadiliki Ili kuendana na mifumo wezeshi Kwa uchumi Bora. Mfumo wa kiutawala ukabadilika TU basi tutaanza kuona nchi ikikua Kwa haraka Kwani tuna rasilimali zote.

959🇪🇸 profil fotoğrafı
959🇪🇸2 yıl önce

Akaliww kule....Kuwa mpinzan sio dhambi ndio hatukatai....Lakin we kila siku utakuwa mtu wa kutafta Kasoro na mabaya ya chama tawala ? And what about mazuri wnayoyafanya,why hamyaongei?🚮💔

Smart and blessed. profil fotoğrafı
Smart and blessed.2 yıl önce

On the making

Benzer Videolar