Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

23,056 views • 5 months ago •via X (Twitter)

34 Comments

Pst Frank's profile picture
Pst Frank5 months ago

@kilepi_tweve Kwa speech hii,,, mboga mboga na Ngogwe lazma wakae kikao cha HILA, ili kumtafuta huyu mwamba na kutengeneza mazingira ya kuokoa jahazi lao lililofikia mwisho,,,, Aibu kubwa inakuja.,, ni suala la Muda.

Gaidi Mzalendo🕊️'s profile picture
Gaidi Mzalendo🕊️5 months ago

Huyu mwanachadema na mwanachama wetu mpya tunaomba apewe ulinzi wa kutosha maana kaongea ukweli mtupu ili watekaji na wauwaji wasije wakamteka

Kadogo551's profile picture
Kadogo5515 months ago

Kaka Heche wahuni wa @SuluhuSamia wanakuwinda Tulishagundua kwamba Samia ana kikundi hatari cha kigaidi so kuwa makini mtumishi

Mr. Magnifico's profile picture
Mr. Magnifico5 months ago

M/Kiti hawa wananchi washikilie jenga ngome huko ili waamini CDM ni chama cha ukombozi

HAKI HUJENGA AMANI's profile picture
HAKI HUJENGA AMANI5 months ago

@kisuda_adam Mh. Makamu mwenyekiti kama ulivosikia maelezo y huyo mjumbe wa ACT wazalendo wa mkoa wakilwa ndivyo ilivyo inchi nzima.mimi nashauli wakati huu ambapo chama kimewekewa vizuizi haramu iundwe timu yasiri kwaajili ya kutengeneza wanachama na kuwakadia kadi ili kuendelea kujiimalish

dechimavasco haonga's profile picture
dechimavasco haonga5 months ago

Wanasema chadema imekufa,,acha waendelee kujidanganya

MwanaFalsafa_🇹🇿's profile picture
MwanaFalsafa_🇹🇿5 months ago

Heche taifa linakutegemea mzee, huyo jamaa kaongea kwa hisia sana

Toure's profile picture
Toure5 months ago

@lifeofmshaba Abduli na samia Wakiona hivi wanaumia na wanaweza mateka huyu baba! Na wewe pia mh

Nzalang Nacional's profile picture
Nzalang Nacional5 months ago

Dalali wa Kigoma kawachelewesha sana hawa

bwakila's profile picture
bwakila5 months ago

@lifeofmshaba Nikajua rula imenyooka kumbe huyu jamaa kanyooka zaidi

Charles Mwanyanje's profile picture
Charles Mwanyanje5 months ago

@NamdiAzikiwe CHADEMA imebeba matumaini makubwa sana ya kila mtanzania mwenye kiu ya mabadiliko ( Haki na maisha bora ) please viongozi na wanachama msije kucompromise! Imani yetu kwenu ni kubwa sana na tuna imani mtatuvusha kwa uweza wa Mungu! Inshallah 🙏✊✌ #AlutaContinua #Peoooooooooople

Chunya county's profile picture
Chunya county5 months ago

Nchi hii watu sahihi wakuongozwa wamejaa tele kilichokosekana ni watu sahihi wakuwaongoza let us fight again and again tutalikomboa taifa letu.

muuza mbao tz's profile picture
muuza mbao tz5 months ago

Huyu jamaa ukimuangalia tu utagundua kua mtu makini sana

Vailethy Shayo's profile picture
Vailethy Shayo5 months ago

Hongera makamu Mwenyekiti,tuko na wewe mpaka kieleweke

Kassala's profile picture
Kassala5 months ago

Ndg. Heche, this we can assure you, CHADEMA hamuwezi kuibomoa @ACTwazalendo kanda ya Kusini. Kama ambavyo mliwahi kuthubutu kupeleka program kabambe yenye gharama za mamilioni ya pesa (operesheni chama ni msingi) na mkafeli, ndivyo mlivyofeli na kufeli hata sasa. Mark my words!😀

simego's profile picture
simego5 months ago

Hakuna mmakonde mshamba

Makuru's profile picture
Makuru5 months ago

Na mimi ushauri wangu kwako kaka JW Heche Nilipata bahati ya kukuona kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo huko Serengeti 2011/12 hivi na tangu hapo nilikuamini na nikaiamini CHADEMA tangu hapo nikawa mfuasi wa chama hili na 2015 nilipiga kura yangu ya kwanza. Tunza imani

Daniel Samson's profile picture
Daniel Samson5 months ago

@lifeofmshaba Awe makini wanaweza wakamdaka. Hawapendi Logic, critical thinking, think-tank.

KIDUKU OFSA NGIRI's profile picture
KIDUKU OFSA NGIRI5 months ago

Kanyooka Kama Mkia Wa Ngiri

Angry Citizen's profile picture
Angry Citizen5 months ago

@mackphason This is so deep!

Babu lohaa's profile picture
Babu lohaa5 months ago

Cchadema ndo chama pekee ambacho ata Mungu anajua kinapigania haki za maskini wa nchi hii.akuna chama kitafikia chama cha chadema. Marehemu baba yangu alishaniambia chadema ni chama sio blah blah

MsumenoMkali15🇹🇿.'s profile picture
MsumenoMkali15🇹🇿.5 months ago

CDM my big party.

The Bullet's profile picture
The Bullet5 months ago

@RahmaMwita takbiiiiiiiiir.....!!?

Gidison Marco's profile picture
Gidison Marco5 months ago

Safi sanaaaa

Joblube4's profile picture
Joblube45 months ago

@Kazingumu Kijani wangekuwa na akili wangesoma alama za nyakati kulinda amani nchi hii kwa kutenda haki, kutupatia mfumo wa usawa Katiba Mpya kabla ya kulazimishwa. Ila jinsi wanavyologana sijui sioni mwanga kipitia Kijani🙆‍♂️🙆‍♂️

Mzee Mwanakijiji's profile picture
Mzee Mwanakijiji5 months ago

@LembrusMchome Kuna ujumbe wako huku matako wewe

Julius Joseph Massabo.'s profile picture
Julius Joseph Massabo.5 months ago

Wenzetu Mlienda Msibani kupiga siasa Aloooo.

Thadei Mhabuka's profile picture
Thadei Mhabuka5 months ago

Asante sana kwakweli.

Asombwile David's profile picture
Asombwile David5 months ago

Una deni kaka mkubwa Mungu akuongoze CHADEMA sio chama tena bali ni imani

Jamsheed Hemed's profile picture
Jamsheed Hemed5 months ago

Maashaallah. Hizi nondo zimeenda shule, haswaa. Watu wa Kilwa wanaitaka Chadema, na wanaamini itawavusha kutoka hapa tulipokwama. Ni wakati sahihi wa kufungua Tawi na kujenga ofisi za Chadema, Kilwa. Vijana waende wakawaeneze Sera za Chadema. Na ombi lao la wanasheria lisipuuzwe!

Lushona M's profile picture
Lushona M5 months ago

Kaka naona umeenda kufanya siasa msibani wakati sisi tumefiwa

Mrisho Abdul's profile picture
Mrisho Abdul5 months ago

Nimeamini chadema ni mpango wa mungu

Dr. philosopher 🩺's profile picture
Dr. philosopher 🩺5 months ago

Aongezewe ulinzi tafadhali

Paulo Fonyoke's profile picture
Paulo Fonyoke5 months ago

Ukomboz unakaribia wala siyo mbali nuru itawaangazia wana Kilwa.

Related Videos